Pre GE2025 Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu Rais akimaliza muda wake, Rais Samia aridhia ombi hilo

Pre GE2025 Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu Rais akimaliza muda wake, Rais Samia aridhia ombi hilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amemwandikia barua ya kuomba apumzike Umakamu wa Rais ambapo amesema baada ya kutafakari ameridhia ombi hilo.

Lakini kwa sasa Dkt. Mpango ataendelea kuwa Makamu wa Rais hadi utakapofanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025.

Soma:Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Akiongea leo January 19,2025 kwenye Mkutano Mkuu Maalum Jijini Dodoma, Rais Samia amesema

""Dkt. Philip Mpango ndiye Makamu wa Rais miezi ya karibuni hapa amekuja kuniona kuniomba apumzike, ana sababu kadhaa lakini sio za kazi, anasema yeye sasa ana miaka 68 na angependa kuishi zaidi kwahiyo naomba nipumzisheni.

Nikambishia bishia Wiki iliyopita hapa akanikabidhi barua yangu hii ( ya kujiuzulu?) na barua sikumjibu, nilipoenda kwenye Kamati Kuu nikawaeleza hiyo hali na kwa pamoja wote tukakubali tumpumzishe"
IMG-20250109-WA0009.jpg

Sio Bure! Mpango kuna kitu amekiona, You Know 🥃
 

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amemwandikia barua ya kuomba apumzike Umakamu wa Rais ambapo amesema baada ya kutafakari ameridhia ombi hilo.

Lakini kwa sasa Dkt. Mpango ataendelea kuwa Makamu wa Rais hadi utakapofanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025.

Soma:Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Akiongea leo January 19,2025 kwenye Mkutano Mkuu Maalum Jijini Dodoma, Rais Samia amesema

""Dkt. Philip Mpango ndiye Makamu wa Rais miezi ya karibuni hapa amekuja kuniona kuniomba apumzike, ana sababu kadhaa lakini sio za kazi, anasema yeye sasa ana miaka 68 na angependa kuishi zaidi kwahiyo naomba nipumzisheni.

Nikambishia bishia Wiki iliyopita hapa akanikabidhi barua yangu hii ( ya kujiuzulu?) na barua sikumjibu, nilipoenda kwenye Kamati Kuu nikawaeleza hiyo hali na kwa pamoja wote tukakubali tumpumzishe"
Msimu wa kupigwa tindikali huu🤣 kashasoma alama za Nyakati!
 
Kwa kuwa makamu wameshapendekeza kutokea bara,
Je miezi 6 ni mingi sana, yakitokea ya kutokea halafu yeye akaamua asingombee kiti cha urais na yeye anatokea Zanzibar je itabidi mgombea urais atokee Zanzibar au Itabidi awe Emmanuel Nchimbi na makamu sasa apendekezwe mwingine? Au kwenye plan za Ccm mgombea urais wa JMT atakuwa Mwinyi?
Ccm wana mipango mingi hakuna jambo linalowashinda kwa swali jepesi kama lako
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amemwandikia barua ya kuomba apumzike Umakamu wa Rais ambapo amesema baada ya kutafakari ameridhia ombi hilo.

Lakini kwa sasa Dkt. Mpango ataendelea kuwa Makamu wa Rais hadi utakapofanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025.

Akiongea leo January 19,2025 kwenye Mkutano Mkuu Maalum Jijini Dodoma, Rais Samia amesema

""Dkt. Philip Mpango ndiye Makamu wa Rais miezi ya karibuni hapa amekuja kuniona kuniomba apumzike, ana sababu kadhaa lakini sio za kazi, anasema yeye sasa ana miaka 68 na angependa kuishi zaidi kwahiyo naomba nipumzisheni.

Nikambishia bishia Wiki iliyopita hapa akanikabidhi barua yangu hii ( ya kujiuzulu?) na barua sikumjibu, nilipoenda kwenye Kamati Kuu nikawaeleza hiyo hali na kwa pamoja wote tukakubali tumpumzishe"


View attachment 3206674

Source: Millard Ayo
Cha kufia nini? Mzee wa watu anapenda kuishi. Walimnywesha sumu akaponea chupuchupu, ameona bora asepe zake wachawi wa CCM wasije wakammaliza.
 
Hii inaeleweka wazi tangu mwanzo Samia hakumkubali kabisa dr mpango mana yupo yupo tu hana mikakati wala mbinu
Kama unafikiria Kwa Akili bila mihemko na uchawa.

Unadhan ni nani Kati ya Samia na Dkt Mipango ,mwenye Kichwa kilicho kisafi na mipango Bora?.


Nilimsikia jaan Et naye anasema 'mimi pia ni mwanauchumi "
 
Dr. Mpango ni Smart Sana Upstairs. Hawezi Kukaa pamoja na Genge la wauza nchi na Malafi.
Amevumilia inatosha!
Nani kauza nchi bwashee. Uwekezaji kwako ni kuuza nchi? Sasa nchi gani haina wawekezaji. Shile shule shule
 
Elewa maana ya wauza nchi na Malafi. Hakuna Sehemu nimeandika Wawekezaji!!!
Sasa nchi imeuzwa lini. Mbona bado nchi ni yetu mimi na wewe vinginevyo usingepata uhuru huu wa kuandika ukilinganisha na kilindi kile cha giza chini ya jpm
 
Back
Top Bottom