Pre GE2025 Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu Rais akimaliza muda wake, Rais Samia aridhia ombi hilo

Pre GE2025 Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu Rais akimaliza muda wake, Rais Samia aridhia ombi hilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani mwenda zake yy alimkubali Samia?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Ndiyo principle mkuu. Huwezi ku mu outsmart boss wako. Ndo mana hata padre haruhusiwi kuwa na mahubiri yanayomzidi askofu wa jimbo husika. Padre haryluhisiwi kuwa na homilia yenye mvuto kumzidi askofu wake
Never outshine your master.
 
Mpango akili kubwa.sana haya.anayofanyia.siasa kitila ya.dira.yalianzia na.dr Phillip Isdory Mpango.

Akili kubwa huwezi kuchanganya na.akili ya kushtua. Bora akae pembeni aendelee kufanya consultancy.za world bank na Afdb
 
Hii inaeleweka wazi tangu mwanzo Samia hakumkubali kabisa dr mpango mana yupo yupo tu hana mikakati wala mbinu
Labda kama humjui mpango, ethics alizonazo haziendani na kinachoendela. Hayo maamuzi ni the best for him
 
Hii inaeleweka wazi tangu mwanzo Samia hakumkubali kabisa dr mpango mana yupo yupo tu hana mikakati wala mbinu

Mipango alilipinga bwawa..

Alileta maneno kwamba mkandarasi hana ubora. Mama akakasirika

Hivyo ilikuwa swala la muda tu atolewe kazini.

Lile bwawa ndio karata kuu ya mama kwenye kampeni na kupata sifa africa nzima.. hivyo ukiliponda tu unapoteza kazi.

CAG na yeye alionywa akakaa kimya hajarudia tena kuliongelea
 
CCM Wanapofanya Mambo Hawatumii Akili Hata Kidogo
Walishindwa Nini Kukaa Kimya Muda Uishe Mpango Akapumzike
Sasa Wao Wakaona Wamtangaze, Wamvunjie Heshma
Mkuu nipo nawe kabisa,kama alikua tayari keshaomba kupumnzika,kulikua hakuna ya kumfedhehesha pale........ Mama ana hofu sana
 
Mipango alilipinga bwawa..

Alileta maneno kwamba mkandarasi hana ubora. Mama akakasirika

Hivyo ilikuwa swala la muda tu atolewe kazini.

Lile bwawa ndio karata kuu ya mama kwenye kampeni na kupata sifa africa nzima.. hivyo ukiliponda tu unapoteza kazi.

CAG na yeye alionywa akakaa kimya hajarudia tena kuliongelea
Mama hata asipipiga kampeni bado atakuwa rais
 
Back
Top Bottom