Mrundi yuleDr. Mpango ni Smart Sana Upstairs. Hawezi Kukaa pamoja na Genge la wauza nchi na Malafi.
Amevumilia inatosha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrundi yuleDr. Mpango ni Smart Sana Upstairs. Hawezi Kukaa pamoja na Genge la wauza nchi na Malafi.
Amevumilia inatosha!
Na raia wa Oman unamsemaje, au Hukuwaona wajomba Zake!Mrundi yule
Tangu lini Diploma tena ya sweken ikawa bora kuliko PHD brazaHii inaeleweka wazi tangu mwanzo Samia hakumkubali kabisa dr mpango mana yupo yupo tu hana mikakati wala mbinu
Issue ni understanding capacity siyo vyeti. Dr mpango ana vyeti ili uelewa sifuriTangu lini Diploma tena ya sweken ikawa bora kuliko PHD braza
Never outshine your master.Ndiyo principle mkuu. Huwezi ku mu outsmart boss wako. Ndo mana hata padre haruhusiwi kuwa na mahubiri yanayomzidi askofu wa jimbo husika. Padre haryluhisiwi kuwa na homilia yenye mvuto kumzidi askofu wake
ukisha ingia Kigoma ujue na uraia wako unabadilika...Burundi mojaMrundi yule
Muumini wa mwenza zakeDr. Mpango ni Smart Sana Upstairs. Hawezi Kukaa pamoja na Genge la wauza nchi na Malafi.
Amevumilia inatosha!
Labda kama humjui mpango, ethics alizonazo haziendani na kinachoendela. Hayo maamuzi ni the best for himHii inaeleweka wazi tangu mwanzo Samia hakumkubali kabisa dr mpango mana yupo yupo tu hana mikakati wala mbinu
Dr. Mpango ni Smart Sana Upstairs. Hawezi Kukaa pamoja na Genge la wauza nchi na Malafi.
Amevumilia inatosha!
Mbona wewe uko ccm sana whether you like it or notCCM wote ni haohao mkuu, muungwana hawezi kuwa CCM hata siku moja
Hii inaeleweka wazi tangu mwanzo Samia hakumkubali kabisa dr mpango mana yupo yupo tu hana mikakati wala mbinu
Mkuu nipo nawe kabisa,kama alikua tayari keshaomba kupumnzika,kulikua hakuna ya kumfedhehesha pale........ Mama ana hofu sanaCCM Wanapofanya Mambo Hawatumii Akili Hata Kidogo
Walishindwa Nini Kukaa Kimya Muda Uishe Mpango Akapumzike
Sasa Wao Wakaona Wamtangaze, Wamvunjie Heshma
PoleHiki cha Dr Mpango kimeniuma sana
Mama hata asipipiga kampeni bado atakuwa raisMipango alilipinga bwawa..
Alileta maneno kwamba mkandarasi hana ubora. Mama akakasirika
Hivyo ilikuwa swala la muda tu atolewe kazini.
Lile bwawa ndio karata kuu ya mama kwenye kampeni na kupata sifa africa nzima.. hivyo ukiliponda tu unapoteza kazi.
CAG na yeye alionywa akakaa kimya hajarudia tena kuliongelea
Dahh, mbona kama umevuka alama za sawa sawa, ! Sijui umri wako ila viungo vyake ungevipumzishaa!Yule bibi kajaza matiti tu kifuani ila akili hana kabisa,ndo maana kapigwa pasi hana hata tako