Dkt. Mpango ndio aina ya wazee tunawataka kwenye Taifa. Hana makuu, hana tamaa ya madaraka

Kimfumo ni ngumu kwenda kinyume na Boss anaekuongoza na wewe ukiwa ndani ya system!!

Swala Zima la teka teka ni kiza kulielewa coz system ndio inatujua kwa kina Sana baada ya Mungu inafuata system ya usalama ya nchie!!

Kuna watu wameonewa katika process ya upelelezi wa system nankupoteza maisha na Kuna wengine ukiambiwa uchafu wao utatamani walichofnyiwa ni sahihi!

No vile hatujui mengi na system Huwa haijielezi kwa yeyote!
 
Asante sana
 
Elimu uliyo soma kwa haki inakufanya unakuwa mtu makini sana.

Huwezi kufanya kazi na watu wanaomchafua mtangulizi wao kwa makusudi. Haijawahi kutokea watangulizi kuchafuana

Ila huyu mama na kundi la msoga…. Linamkosea heshima sana the late….. alipokuwa hai, hawakuweza kufanya hayo
 
Hakuna Uhusiano ……. Upo manipulated
 
Dr ni mtu makini sana . Kuna level fulan za maisha ukifika, vyeo na utumwa wa fikra vinakuwa havina nafasi tena
 
Hiz ni Speculation . Toa evidence ya upigaji wowote wa Mpango au toa project ya ufisadi aliyoshiriki na sisi tutoe za huyo Boss wako!

Toa kashfa yoyote ya mpango juu ya upigaji? Otherwise ni hater
 
Nini kiliwakuta na walibadilisha chochote?
Karibu wote niliowataja walipoteza vyeo vyao lakini walitengeneza aina fulani ya legacy yao. Na hii ndio hoja hapa.
Dr. Mpango hana legacy yoyote ya kimsimamo aliyoijenga au ataiacha mpaka kuamua kujiuzuru.
 
Mpango kapoa kama uji wa juzi. Kama mnampenda sana mchukueni hana tija.
 
Ila kama ni unyenyekevu (humility), ucha Mungu, Elimu/Maarifa, maadili na uzalenfo huyu dingi Mzee Mpango amebarikiwa sana.
Nimefanya ka kazi flan pale Tume ya Mipango, Mzee huyu akiwa Bosi pale, kiekweli Mzee huyu ni gifted kwenye vitu vingi.
Jiwe hakumpenda bure huyu Dingi.
 
Ni kweli, zile furniture hakupewa makonda baada ya kushindwa kulipa kodi, wizara ilizigawa kwa utaratibu wake. Makonda alikua mpaka jiwe mwenyewe anamuogopa. Wakati jiwe akiongelea hilo suala la makonda alikua akitetemeka! Sauti na sura unaona huyu mtu kasanda. Makonda mpaka kesho serikalini hawampendi na hata mawaziri wakienda Chuga wanajinyenyekeza kwake!
 
Hiz ni Speculation . Toa evidence ya upigaji wowote wa Mpango au toa project ya ufisadi aliyoshiriki na sisi tutoe za huyo Boss wako!

Toa kashfa yoyote ya mpango juu ya upigaji? Otherwise ni hater
Kwani hoja hapa ni nini?
Mleta mada ametengeneza hoja duni na mbovu ya kufikirika kuhusu msimamo wa Dr. Mpango kwenye issue za maslahi ya kitaifa.

Mimi nimehoji, ni kipi katika maslahi ya taifa Dr. Mpango aliamua kusimama nacho kiasi cha kuhisi huenda ndio kimezaa kujiuzuru kwake. Jibu HAKUNA.
 
Mkuu,

Umefanya judgement call kusema anapenda nadaraka bila kuangakia kuwa.

1. Inawezekana aliamrishwa.
2. Inawezekana alifanya vike akiamini kwa moyo wake wote jwamba ni kitu cha uzalendo, uchapakazi na uadilifu kulitumikia taifa lako hata ukiwa na haki ile.

Zaidi, mtu anayependa madaraka haandiki barua ya kujiuzulu umakamu wa rais.

Dr. Mpango si mwanasiasa, ni mtu ambaye vyeo vya kisiasa vinamfuata yeye kwa sababu ya credentials zake.

Angekuwa mwanasiasa tungeona anaendelea kuwa makamu wa rais wa Samia na pengine anajipanga kuwa rais baada ya Samia.
 
Mcha Mungu gani au mtu mwenye ubinadamu anayeweza kukaa kimya watu wakiuwawa, kuteswa, kupotezwa?

Ni mzalendo gani anayeweza kukaa kimya rasimali zikiibwa?
 
Za chinichini ni kwamba Jiwe alikuwa anatokewa na mauzauza Ikulu, Makonda ndiye akawa mtu pekee anayeweza kuleta waganga wa kuyatuliza mauzauza hayo.

Ndiyo maana alikuwa ana nguvu sana kwa Jiwe, nq hii ni moja ya sababu Jiwe alikazia sana issue ya kuhamia Dodoma.

This is not to say that I believe in witchcraft, this is to say there is such a thing as belief in witchcraft which has real effects.
 
Mkuu acha kutengeneza dhana ya kufikirika wakati uhalisia uko wazi.
Huyu mzee kwa miaka minne hii iliyokwisha muda mwingi ameutumia kulazwa, kutibiwa, kusafiri nje na kupumzishwa. Kwa kifupi, Dr. Mpango alikuwa unproductive katika utendaji wa baraza la mawaziri. Kwanini hakuachia madaraka mapema?
 
Maybe, because as mere RC He had a lot of powers. Na jamaa alivyo kibri alitukana kila mtu aliyepita mbele yake. Isivyo bahati karudi kwenye system. Nadhani system inataka vichaa kadhaa ... Rais yeyote anayejiheshimu hawezi kuwachagua Makonda na Chalamila. They are hard working ila midomo yao ni michafu mno
 
Kiranga anayesema haamini kwenye imani ya uwepo wa Mungu na Shetani, ndio Kiranga huyo huyo anayekuja kutuaminisha hapa kuwa Magufuli alikuwa anakumbana na nguvu za mashetani pale Ikulu ta magogoni!!

Mungu yupo jamani.
 
Unajuaje kwamba hakutaka kuachia mapema na kuambiwa asubiri mpaka mwaka wa uchaguzi?

Unajua hata Samia alipokosa kuelewana na Magufuli alitaka kujiuzulu umakamu wa rais, akaambiwa asubiri hapo hapo dawa inachemka?

Upo katika mfumo ambao usiri ni kawaida halafu unauliza jambo ambalo si mimi wala wewe anayeweza kuwa na majibu ya uhakika.

Halafu wewe ndiye unaniambia mimi niache kutengeneza dhana ya kufikirika?

Huoni hapo umetengeneza tuhuma za "nyani haoni kundule" ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…