Dkt. Mpango ndio aina ya wazee tunawataka kwenye Taifa. Hana makuu, hana tamaa ya madaraka

Dkt. Mpango ndio aina ya wazee tunawataka kwenye Taifa. Hana makuu, hana tamaa ya madaraka

Maybe, because as mere RC He had a lot of powers. Na jamaa alivyo kibri alitukana kila mtu aliyepita mbele yake. Isivyo bahati karudi kwenye system. Nadhani system inataka vichaa kadhaa ... Rais yeyote anayejiheshimu hawezi kuwachagua Makonda na Chalamila. They are hard working ila midomo yao ni michafu mno
Ni kama vile, tunataka viongozi wasafi, wasio na tuhuma, wasio na rushwa.

Halafu, ile ngazi ya kupanda juu kuwa kiongozi hairuhusu watu wenye sifa hizo kupanda juu, wale viongozi waungwana, wasafi, wasiopenda rushwa, ndio wanashindwa kuvuruga chaguzi, wanakosa hata ubunge, hawajui kujipendekeza kupata teuzi. Wanashindwa game la uongozi wetu

Tunabaki na mabazazi wanaopenda rushwa, kujipendekeza, siasa za majitaka, ndio wanapanda ngazi na kuongoza.
 
Kiranga anayesema haamini kwenye imani ya uwepo wa Mungu na Shetani, ndio Kiranga huyo huyo anayekuja kutuaminisha hapa kuwa Magufuli alikuwa anakumbana na nguvu za mashetani pale Ikulu ta magogoni!!

Mungu yupo jamani.
Nilijua hii hoja itakuja. Nikaivunja tangu awali kwenye post yangu.

Tatizo nimeivunja kwa kimombo na wewe kimombo hujui.

Niliandika hivi.

"This is not to say that I believe in witchcraft, this is to say there is such a thing as belief in witchcraft which has real effects."

Tatizo kimombo hujui.
 
Tehetehe, alikuwa ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, hakuna picha hata moja amepanda mti

Kazi ya Makamu wa Rais ni kupanda miti? Mbona tunajiaibisha sana kwa fikra za kipumbavu kama hizi? Kazi yetu ni kufikiria kuiba hela za umma tu na kuona huo ndio ujanja
 
Ni kama vile, tunataka viongozi wasafi, wasio na tuhuma, wasio na rushwa.

Halafu, ile ngazi ya kupanda juu kuwa kiongozi hairuhusu watu wenye sifa hizo kupanda juu, wale viongozi waungwana, wasafi, wasiopenda rushwa, ndio wanashindwa kuvuruga chaguzi, wanakosa hata ubunge, hawajui kujipendekeza kupata teuzi. Wanashindwa game la uongozi wetu

Tunabaki na mabazazi wanaopenda rushwa, kujipendekeza, siasa za majitaka, ndio wanapanda ngazi na kuongoza.

yaani ningeweza kuwapiga kipapai hawa majambazi....
 
Mcha Mungu gani au mtu mwenye ubinadamu anayeweza kukaa kimya watu wakiuwawa, kuteswa, kupotezwa?

Ni mzalendo gani anayeweza kukaa kimya rasimali zikiibwa?

Si ndio maana kaamua kuacha madaraka! Ni busara kubwa sana hii ya Mzee Mpango.
 
Za chinichini ni kwamba Jiwe alikuwa anatokewa na mauzauza Ikulu, Makonda ndiye akawa mtu pekee anayeweza kuleta waganga wa kuyatuliza mauzauza hayo.

Ndiyo maana alikuwa ana nguvu sana kwa Jiwe, nq hii ni moja ya sababu Jiwe alikazia sana issue ya kuhamia Dodoma.

This is not to say that I believe in witchcraft, this is to say there is such a thing as belief in witchcraft which has real effects.
Waganga wa makonda na walokole hawakusaidia kuondoa mauzauza,wajuao wakamwambia pa kwenda, akaenda kinondoni makao makuu ya taasisi moja ya kidini,mambo yakatulia,mhusika alilazwa muhimbili na magu alienda kumtembelea kumjulia hali
 
Maybe, because as mere RC He had a lot of powers. Na jamaa alivyo kibri alitukana kila mtu aliyepita mbele yake. Isivyo bahati karudi kwenye system. Nadhani system inataka vichaa kadhaa ... Rais yeyote anayejiheshimu hawezi kuwachagua Makonda na Chalamila. They are hard working ila midomo yao ni michafu mno
Right hand man,kazi chafu
 
Za chinichini ni kwamba Jiwe alikuwa anatokewa na mauzauza Ikulu, Makonda ndiye akawa mtu pekee anayeweza kuleta waganga wa kuyatuliza mauzauza hayo.

Ndiyo maana alikuwa ana nguvu sana kwa Jiwe, nq hii ni moja ya sababu Jiwe alikazia sana issue ya kuhamia Dodoma.

This is not to say that I believe in witchcraft, this is to say there is such a thing as belief in witchcraft which has real effects.
Sahihi
 
Si ndio maana kaamua kuacha madaraka! Ni busara kubwa sana hii ya Mzee Mpango.
Watanzania wengi wana kasumba ya false dichotomy fallacy.

Yani kwao, it is all or nothing at all.

Yani haiwezekani mtu awe nzuri anayepambana na mfumo mbaya kutoka ndani ya mfumo, na hata akiona mfumo ni mbaya akijiuzulu ili asiendelee kuwa sehemu ya mfumo mbaya, atalaumiwa tu.

Hivi hawa watu wanajua kuwa serikali ya Tanzania ukiwa mtu high profile halafu unasema ovyo inaweza hata kukuua?

Waingereza wana msemo "You can't judge a man until you walk in his shoes".

Wangapi washapata nafasi kama ya Dr. Mpango na ku deal na realpolitik za hiyo position?

Wengi wetu wangepata hiyo nafasi pengine hata kujiuzulu wasingeweza.
 
Waganga wa makonda na walokole hawakusaidia kuondoa mauzauza,wajuao wakamwambia pa kwenda, akaenda kinondoni makao makuu ya taasisi moja ya kidini,mambo yakatulia,mhusika alilazwa muhimbili na magu alienda kumtembelea kumjulia hali
Hapa kila mtu atasema lake. Wabongo wape picha tu, hata ya katuni.

Story nzima watajazia wenyewe.
 
Kile kidingi tunaelezwa na wanyetishaji kuwa ni kikuda, kizandiki na kipigaji balaa. Maza amekuja kukishtukia dakika za lala salama na kukifyatua nje, hisia za watu wa karibu na mama ni kuwa, kikiendelea kukalia kile kutu, ipo siku huenda kingetengua kiti kikuu.
Muogope Mungu
 
Kile kidingi tunaelezwa na wanyetishaji kuwa ni kikuda, kizandiki na kipigaji balaa. Maza amekuja kukishtukia dakika za lala salama na kukifyatua nje, hisia za watu wa karibu na mama ni kuwa, kikiendelea kukalia kile kutu, ipo siku huenda kingetengua kiti kikuu.
Huu uwongo ndio ameondoka walio twngeneza fitina kaz ipo....
 
Ukimuona mtu anamsema vibaya Mh Dr Mapango basi juwa nimaumivu na chuki kubwa juu yake kwa uwamuzi wakupiga chini nafasi ya Umakamu wa Rais na kurudi back benches.

Ndie waziri pekee wa fedha alie kuwa akiishi nyumbani na sio kwenye pepo za baharini na hii ndio siri yakupendwa kwake na Hayati Magufuli kiasi kupiga simu akiwa hospitali amuone na Watanzania wamuone.
Dr Mpango ndie Eng wa uchumi na mambo yote mnayaona na huyo waziri mtaka sifa pale ametemebelea sana nyota ya huyu Dr Mpango.

Uwezo na akili alizo nazo ziliwavutia wakubwa zake kumsogeza karibu kuanzia JK mpaka Magufuli.

Nimoja ya nyota na tunu tulizo nazo katika Taifa ni bahati mbaya hakushika kiti kwasababu za kibinadam au Mungu mwenyewe. Sio chawa ila nimsema kweli nainaonyesha anachukia uchawa na ameuchukia uchawa kwa maandishi. "Naomba nipumzike"

Huyu ndio aina ya kiongozi tunamuhitaji nina amini JK amelia alipojuwa huyu mwamba ameamua kupumzika ila walamba miguu tumefanya part maana alikuwa mnoko sana kuzuwia vimeo vyetu. Yes hakuna anaweza kuja nakusema vile Dr Mpango nimsumari wa moto kwa majizi ya wizarani na kwenye mfumo.

Hana deal ila peleka pesa bank ya serikali nakama una zawadi kumtunuku basi peleka kwenye akaunti yaserikali mama na mtoto wapate huduma bora ni mwana mapinduzi na mzawa wa kweli katika uzalendo kwa taifa lake.

Nafasi ya umakamu wa Rais ndio ilimtoa home sweet hoem kwenda baharini ila yaonyesha hakukupenda na ameamua rudi nyumbani. Akafuge kuku na kucheza na ujukuu wake huku akikielimisha kizazi kijacho juu ya uzalendo.

Mh Dr Mapango amekuwa mnyenyekevu nakufia ukweli huku akiepuka laana ya Hayati Magufuli kwa yote yanasemwa ameamua kuacha kabisa akijuwa hakuna atake ishi milele na mwamba alikufa akisimamia watu wake wa Tanzania kwa dam na nyama.

Alikuwa nikipenzi cha Magu na amekubali kukaaa pembeni kuipisha gharika ya pili ukiacha ile ya kwanza kwa wale wakiroho tunamuona kama mtu anayo iyona kesho baada ya uchaguzi. Yale yatatokea na kile kitatokea hataki kuwa mmoja wa hayo.

Upo msemo unasema koti lakuazima usilifanye likawa la kwako na cheo chochote kina gharama ametimiza ahadi hiyo kwa gharama kubwa kwakuamini serikali ilimuamini kwa tatizo Taifa lilitupata hivyo anawashukuru na kwarudishia cheo chao ili wengine wachukue usukani ameishinda Tamaa na amemshinda shetani.

Soma Pia: Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo

Hakutaka kufanana na Mungu pamoja na uwezo wote aliokuwa nao hakutaka makuu amejikubali naomba viongozi wote tujifunze kwa Dr Mpango.

Taifa lilikumbwa na msiba mzito nakama sio ule msiba asingekuwa makamu wa Rais je kwanini aendelee kushika nafasi kwa ubabe na fitina wakati alipewa kama hisani na upendeleo wa Mungu.

Dr Mpango moyo wake ukamkumbusha usitamani jambo hukuandaliwa na yakuwa nafasi kubwa kama yake niupendeleo toka kwa Mungu na taifa lina watu sio yeye peke yake basi akang'atuka huu ni uzalendo mkubwa sana.

Dr Mpango wajinga wachache watabeza msimamo wako ila nataka nikuhakikishie mbingu zitasimama uwone yote yatatokea ili umtukuze Mungu na uzao wako. Wewe ni mshindi wewe ni simba na Mungu azidi kukulinda kwa Makerubi wake asubuh, mchana na usiku. Amen

Ukiwa na wazee kama huyu na upole upole wake nchi itatawaliwa na wezi huo ndiyo ukweli. Sikubaliani na wewe sio kwa nchi hii
 
Labda humjui. Yule ni mwizi balaa kumzidi hata jpm aliyeficha pesa china kw aushirikiano na Biswalo
Mlicho mzushia kaondoka sasa mtamalizana wenyewe mada inajieleza.... mlidhani atajitetea yeye ameondoka.
 
Dodoma pia Anakaa Kule Zuzu

Maaurufu kama kwa Mzee Pinda


Anapenda kuishi mazingira ya kawaida sana
Watu wa aina ile wasiojikweza kweza na wasiotaka makuu hao ni watu wa Mungu !
Nikisema watu watu wa Mungu nina maana kwamba ni wale THE CHOSEN ONES 🙏🙏 !
Na tabia hizo huwa sio zile za kudanganyia watu bali huwa ni tabia zao Asili kabisa !
 
Ukimuona mtu anamsema vibaya Mh Dr Mapango basi juwa nimaumivu na chuki kubwa juu yake kwa uwamuzi wakupiga chini nafasi ya Umakamu wa Rais na kurudi back benches.

Ndie waziri pekee wa fedha alie kuwa akiishi nyumbani na sio kwenye pepo za baharini na hii ndio siri yakupendwa kwake na Hayati Magufuli kiasi kupiga simu akiwa hospitali amuone na Watanzania wamuone.
Dr Mpango ndie Eng wa uchumi na mambo yote mnayaona na huyo waziri mtaka sifa pale ametemebelea sana nyota ya huyu Dr Mpango.

Uwezo na akili alizo nazo ziliwavutia wakubwa zake kumsogeza karibu kuanzia JK mpaka Magufuli.

Nimoja ya nyota na tunu tulizo nazo katika Taifa ni bahati mbaya hakushika kiti kwasababu za kibinadam au Mungu mwenyewe. Sio chawa ila nimsema kweli nainaonyesha anachukia uchawa na ameuchukia uchawa kwa maandishi. "Naomba nipumzike"

Huyu ndio aina ya kiongozi tunamuhitaji nina amini JK amelia alipojuwa huyu mwamba ameamua kupumzika ila walamba miguu tumefanya part maana alikuwa mnoko sana kuzuwia vimeo vyetu. Yes hakuna anaweza kuja nakusema vile Dr Mpango nimsumari wa moto kwa majizi ya wizarani na kwenye mfumo.

Hana deal ila peleka pesa bank ya serikali nakama una zawadi kumtunuku basi peleka kwenye akaunti yaserikali mama na mtoto wapate huduma bora ni mwana mapinduzi na mzawa wa kweli katika uzalendo kwa taifa lake.

Nafasi ya umakamu wa Rais ndio ilimtoa home sweet hoem kwenda baharini ila yaonyesha hakukupenda na ameamua rudi nyumbani. Akafuge kuku na kucheza na ujukuu wake huku akikielimisha kizazi kijacho juu ya uzalendo.

Mh Dr Mapango amekuwa mnyenyekevu nakufia ukweli huku akiepuka laana ya Hayati Magufuli kwa yote yanasemwa ameamua kuacha kabisa akijuwa hakuna atake ishi milele na mwamba alikufa akisimamia watu wake wa Tanzania kwa dam na nyama.

Alikuwa nikipenzi cha Magu na amekubali kukaaa pembeni kuipisha gharika ya pili ukiacha ile ya kwanza kwa wale wakiroho tunamuona kama mtu anayo iyona kesho baada ya uchaguzi. Yale yatatokea na kile kitatokea hataki kuwa mmoja wa hayo.

Upo msemo unasema koti lakuazima usilifanye likawa la kwako na cheo chochote kina gharama ametimiza ahadi hiyo kwa gharama kubwa kwakuamini serikali ilimuamini kwa tatizo Taifa lilitupata hivyo anawashukuru na kwarudishia cheo chao ili wengine wachukue usukani ameishinda Tamaa na amemshinda shetani.

Soma Pia: Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo

Hakutaka kufanana na Mungu pamoja na uwezo wote aliokuwa nao hakutaka makuu amejikubali naomba viongozi wote tujifunze kwa Dr Mpango.

Taifa lilikumbwa na msiba mzito nakama sio ule msiba asingekuwa makamu wa Rais je kwanini aendelee kushika nafasi kwa ubabe na fitina wakati alipewa kama hisani na upendeleo wa Mungu.

Dr Mpango moyo wake ukamkumbusha usitamani jambo hukuandaliwa na yakuwa nafasi kubwa kama yake niupendeleo toka kwa Mungu na taifa lina watu sio yeye peke yake basi akang'atuka huu ni uzalendo mkubwa sana.

Dr Mpango wajinga wachache watabeza msimamo wako ila nataka nikuhakikishie mbingu zitasimama uwone yote yatatokea ili umtukuze Mungu na uzao wako. Wewe ni mshindi wewe ni simba na Mungu azidi kukulinda kwa Makerubi wake asubuh, mchana na usiku. Amen
Huwezi kukimbia majukumu Kwa Kisingizio Cha kung'atuka.

Na kama amefanya hivyo Ili kumkomoa mtu basi ambacho Anagombea hakitakuwa.

Mwisho wewe Jamaa kila.mara unasogeza tarehe za matukio Yako mabaya unayopenda yawatokee Viongozi ukijifanya kuwa Mungu ni Jamaa Yako Huwa mnajadiliana.

Habari za kitambaa cheupe 2025 kuja na mgombea tofauti na aliyepo zimeishia wapi?

Saizi unasogeza tukio ukidai kwamba yaliyompata Mwendazake ambayo wewe unaamini sio natural eti ndio yatatokea tena na kwamba Mpango amekataa kuwa sehemu ya hayo.

Sasa Kwa taarifa Yako kama nilivyowahi wahakikishia na wengine wakati Wanaleta ramli ni kwamba SSH is here to stay so long as Mungu ndio anapanga nani awe na nani asiwe basi hakuna lolote litamtokea na atakabidhi kijiti salama salmoni hiyo 2030.

Umchukie ,umpende havitabadili huo ukweli na ndio maana licha ya rundo la wanaomchukia Bado yule paleee na Nchi inaenda Kwa mafanikio makubwa kuliko wakati wowote.

Hiyo imetoka, mengine yataendelea kuwa wishful thinking.Tunamtakia Kila la heri bwana Mpango maana amefanya uamzi sahihi Kwa sababu zimewahi sikika tetesi kabla.
 
Back
Top Bottom