Dkt. Mpango ndio aina ya wazee tunawataka kwenye Taifa. Hana makuu, hana tamaa ya madaraka

Dkt. Mpango ndio aina ya wazee tunawataka kwenye Taifa. Hana makuu, hana tamaa ya madaraka

Uongo.

Huyu alikuwa waziri wa fedha aliyefilisi wafanyabiashara enzi ya jiwe, bora aondoke
Ndio huyo huyo alisimamia kuongeza tozo 2021/2022 harafu akaja kulaumiwa Samia na Mwigulu.

Ndio huyo huyo amewahi kiri Hadharani kwamba wao waliweza kupata Mapato ya Juu kabisa Kwa mwezi 1.5T/M tena Kwa mwezi mmja ila Kwa Samia imekuwa 2 times within less than 4 years.

Lakini Mpando ndio alisimamia sera za Uchumi ambazo zilifukiza Wawekezaji,kwangu binafsi hakufaa nafasi ya Waziri wa Fedha.

Namshangaa mtoa mada kudai eti Nchemba anatembelea nyota ya VP Mpango ,this is nonsense.
 
Yaani Dr. Mpango amekuwa mrundi baada tu ya kuwa makamu wa rais?
Huyo dingi amekuwa kwenye system nyeti za serikali tangu kipindi cha Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia na kipindi chote hatukujua ni mrundi? Nani sasa ni mtanzania?

Okay, leo ndio tumegundua ni mrundi kwanini sasa mpaka November ataendelea kuwa makamu wa rais, na baada ya hapo ataendelea kupewa stahiki zote za makamu wa rais yeye na mkewe mpaka kaburini?
Ni mchakato tu
 
Si ndio maana kaamua kuacha madaraka! Ni busara kubwa sana hii ya Mzee Mpango.
Nani kakuambia Dr. Mpango kaachia madaraka?
Nani kakuambia Dr. Mpango kaachia madaraka kwa sababu za misimamo ya kisiasa?
Kuna tetesi zozote ulizisikia hapo kabla kuwa Dr. Mpango anataka kuachia madaraka?

Tulichoambiwa, tena aliyetuambia ni mtu yule yule aliyemteua ni kuwa, Kwa sababu za kiafya (uzee na kutaka kuendelea kuishi), basi ingwe inayokuja Dr. Mpango hayupo kwenye mkakati wa utawala wake. Wewe unashindwa kuunganisha dots hapo kuona kuwa Dr. Mpango katumbuliwa kimtindo?
 
Yaani Dr. Mpango amekuwa mrundi baada tu ya kuwa makamu wa rais?
Huyo dingi amekuwa kwenye system nyeti za serikali tangu kipindi cha Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia na kipindi chote hatukujua ni mrundi? Nani sasa ni mtanzania?

Okay, leo ndio tumegundua ni mrundi kwanini sasa mpaka November ataendelea kuwa makamu wa rais, na baada ya hapo ataendelea kupewa stahiki zote za makamu wa rais yeye na mkewe mpaka kaburini?
Ni Kwa masikitiko makubwa alipopewa kuwa VP Burundi walifanya sherehe na ilirupotiwa na vyombo vya habari hususani BBC./DW

Bahati mbaya sana Ile habari sikuihifadhi na baadae nilijaribu sana kutafuta imefutwa kwenye media so siwezi weka ushahidi ila that is how it was and reported.
 
Kazi ya Makamu wa Rais ni kupanda miti? Mbona tunajiaibisha sana kwa fikra za kipumbavu kama hizi? Kazi yetu ni kufikiria kuiba hela za umma tu na kuona huo ndio ujanja
Kumbe hujui hilo?
Fahamu tu, Kwa katiba ya Tanzania, makamu wa rais ndio anapaswa kuwa mpandaji miti mkuu.
 
Ni Kwa masikitiko makubwa alipopewa kuwa VP Burundi walifanya sherehe na ilirupotiwa na vyombo vya habari hususani BBC./DW

Bahati mbaya sana Ile habari sikuihifadhi na baadae nilijaribu sana kutafuta imefutwa kwenye media so siwezi weka ushahidi ila that is how it was and reported.
Hata Obama alipochaguliwa kuwa rais wa USA karibu Kenya nzima ilifanya sherehe.
Samia alipoapishwa kuwa rais wa Tanzania, Oman ililipuka kwa shangwe.

Hiyo imekaaje?
 
Ni Kwa masikitiko makubwa alipopewa kuwa VP Burundi walifanya sherehe na ilirupotiwa na vyombo vya habari hususani BBC./DW

Bahati mbaya sana Ile habari sikuihifadhi na baadae nilijaribu sana kutafuta imefutwa kwenye media so siwezi weka ushahidi ila that is how it was and reported.
Wee hujui ki asili warundi ni watoto wa waha? Waha ndio baba zao
 
Hata Obama alipochaguliwa kuwa rais wa USA karibu Kenya nzima ilifanya sherehe.
Samia alipoapishwa kuwa rais wa Tanzania, Oman ililipuka kwa shangwe.

Hiyo imekaaje?
Kwao Iko wazi huko kwetu unadhani Kwa nini inafutwa futwa? Wale waliweka taarifa zao wazi za asili na inajulikana hivyo,huku kwetu mnaficha ficha Kwa sababu ni wahamiaji haramu.
 
Ilikuwaga nchi moja ile kabla haijakatwa na waingereza after ww1
Swala ni Kwa nini taarifa zifichwe fichwe kwamba mtu huyu alizaliwa Burundi na kuvuka boda au alizaliwa na Tanzania na wazee Warundi waliobuka boda nk.

Unapoficha asili manake wewe ni mtu harafu.
 
Tunaongea uhalisia mkuu ameitemdea kazi nafasi alizo pewa
Hakuna cha uadilifu hapo wote sawa tu. Unasema kastaafu wakati anajengewa nyumba mshahara yeye na mkewe kila baada ya miaka sijii 3 sijui 5 gari zake 3 mpya na unaweza shangaa anateuliwa mkurugenzi wa shirika moja...
Watanzania bwana...
Bila shaka hajastaafu kastaafishwa ila kusema kastaafishwa isingeleta picha nzuri.
Tanzania hii hakuna mtu mwenye uwezo wa kukataa ulaji wa makamu rais.
 
Swala ni Kwa nini taarifa zifichwe fichwe kwamba mtu huyu alizaliwa Burundi na kuvuka boda au alizaliwa na Tanzania na wazee Warundi waliobuka boda nk.

Unapoficha asili manake wewe ni mtu harafu.
Dr. Mpango amezaliwa kabla ya Uhuru, tena Tanganyika. Tunahoji nini tena hapo kuhusu uraia wake?
Amekulia Tanzania, amesomea Tanzania, maisha yake yote amefanya kazi Tanzania, ameoa na kuzaa Tanzania, amejenga Tanzania na sasa anazeekea Tanzania.

Sasa urundi wake unatokea wapi?
Una faida gani kwake au kwa warundi?
 
Yaani Dr. Mpango amekuwa mrundi baada tu ya kuwa makamu wa rais?
Huyo dingi amekuwa kwenye system nyeti za serikali tangu kipindi cha Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia na kipindi chote hatukujua ni mrundi? Nani sasa ni mtanzania?

Okay, leo ndio tumegundua ni mrundi kwanini sasa mpaka November ataendelea kuwa makamu wa rais, na baada ya hapo ataendelea kupewa stahiki zote za makamu wa rais yeye na mkewe mpaka kaburini?
Kufanya kosa siyo kosa bali kurudia kosa.

Waliompa vyeo hivyo hawakujua, lakini hawa wa sasa wamejuzwa na mfumo. Nenda UHAMIAJI na TISS utaikuta ripoti ya Wahamiaji zaidi ya 600 ambao uraia wao haujakaa vizuri.
 
Jamaa alivyokuwa Waziri wa Fedha alimuwekea mustendi Makonda alipe kodi za vifaa vya shule, kodi ambayo Makonda alitaka kutuzungusha asilipe.

Wakati huo Makonda mtoto mpendwa wa Magufuli kila mtu alikuwa anamuogopa, ila Dr. Mpango akamuondolea uvivu.
SIJUI NI KWANINI HUWA NAKUAMINI SANA,SIJUI NI KWANINI.MOJA YA WATU WENYE AKILIZA AJABU NA PEKEE SANA.MUNGU AKUPE UHAI MREFU.UWE NA UHAI MREFU.
 
Jamaa alivyokuwa Waziri wa Fedha alimuwekea mustendi Makonda alipe kodi za vifaa vya shule, kodi ambayo Makonda alitaka kutuzungusha asilipe.

Wakati huo Makonda mtoto mpendwa wa Magufuli kila mtu alikuwa anamuogopa, ila Dr. Mpango akamuondolea uvivu.
Hapa ndio huwa nakukubali, Kama ana integrity unampa heshima yake.

Kama hana, una mpatia bakola nzito😂
 
Back
Top Bottom