Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

Hao wengine unawaondoaje bila wenyewe kujiondoa
 
Yani kitu nnachokiona sasa ni kama ile movie ya Kara sevda, kila kitu kibaya kinakuwa covered na marehemu simply because hawezi kujibu!
Marehemu aliyataka mwenyewe. Huko aliko moto una double
 
Bora yako wewe yote yaliyokukuta lakini upo uraiani ukiwa huru,kuliko walio mahabusu kama Sabaya,Mbowe na wengine wasio jua hatma yao.beti kistaarabu kamali ni bahati tu.
Bora walio mahabusu bado wanapumua na wana Imani siku moja watakuwa huru. Je waliojifanya majeuri na sasa wako kuzimu kama akina Jpm vipi?
 
Kwanza kutumwa Na mamlaka sio shida je alifanya makosa hayo au hakufanya. Je maagizo hayo yalikua halali yanathibitika.
Naona kuna jinai nyingi Kwa Sabaya basi liandaliwe file maalumu ahojiwe matukio yote aliyofanya nafahamu alifanya pia kwa kina Mehboob wa Tanga Na kuiba zaidi ya milioni mia tatu. Vyombo vya dola mtafuteni kijana Ally Mehboob wa Tanga atatoa maelezo mazuri. Hili lilikua genge la uhalifu likitumia kivuli cha Rais.
 
Mnajikuta miungu sana nyie, anaehukumu ni Mungu na sio mwanadamu, hata wewe utakufa ila huna uhakika kama hutaenda motoni!
Matendo yake yanamhukumu. Ukiwa wa dhambi utaishia motoni tu.
 
Under Magufuli kulikuwa na magenge mengi ya uhalifu.
 
Wwe uhakimu hakufai kabisa! Sabaya ndiyo kasema alitumwa na Mamlaka kufanya kazi maalumu,na ameisema ni kazi gani aliyotumwa,ikiwa na pamoja kufuatilia watu wenye mtambo wa kutengenezea noti bandia! Jirizishe kwanza hapo je ni kweli alitumwa na Mamlaka kwa kazi hiyo!? Au ni porojo tu!? Alafu ndiyo uje na malalamiko yako ya kumtuhumu Sabaya!!
 
 
Afungwe tu
Ufahamu wake wa kutambua mema na mabaya aliupeleka wapi?
Afungwe tuu.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Afungwe kivipi wakati hakuna ushahidi wa kutosha kumfunga!? Labda Mpango aje Mahakamani aseme hawajawai kumtuma Sabaya kufanya kazi maalumu ya kuwasaka wahujumu Uchumi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…