Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

 
Yani kitu nnachokiona sasa ni kama ile movie ya Kara sevda, kila kitu kibaya kinakuwa covered na marehemu simply because hawezi kujibu!
Usijali , Mpango na Gavana bado wapo hai na wametajwa Mahakamani,kwa hiyo ni jukumu la Mahakama kuwaita au kuwafuata ili ijirizishe kabla ya kutoa hukumu!!
 
Iv kwann mwandishi hapo haja wapa hadhi yao ya elimu hayati magu na Luoga ..? Ame sema tu Dkt.Mpango ..
Angesema Dkt Magufuli, Dkt Mpango na Prof.Luoga
 
Watanzania wengi ni wagumu kuelewa ama wavivu wa kutafakari.

Sijaona mahala Sabaya akisema Mpango ama Luoga walishiriki kumtuma bali alitumwa na mamlaka yake ya uteuzi na hao jamaa aliowataja wanajua hilo.

Sioni ni kwa namna gani hao jamaa wanahusishwa.
 
Bora walio mahabusu bado wanapumua na wana Imani siku moja watakuwa huru. Je waliojifanya majeuri na sasa wako kuzimu kama akina Jpm vipi?
Hata wwe na mimi ipo siku yetu tutanyakuliwa na umauti,ni swala la muda tu!!
 
Kwa jeuri aliyokuwa nayo huyo dogo inahitaji hata degree kujua haya matendo yake na maagizo yalianzia wapi?
 
Mbona huyo Sabaya hajawai kuja kwangu!? Mpaka kawafuaata hao inamaana wanajuwana wanayofanya sirini!!
 
KIKUBWA SABAYA AKABIDHI BARUA AU NYARAKA ZINAZOTHIBITISHA HAYO
au ukitaja tu basi unakua ushahidi
 
Unasema kama ni kweli alimtuma Sabaya kufanya mambo ya hovyo ajitokeze ajisafishe?Yaani badala ya kusema kuwa ajitokeze awajibike unasema kuwa ajitokeze ajisafishe?!Tokea nizaliwe sijawahi kuona akili ndogo kama hii🚶🚶🚶
 
hakuna kesi hapo.
kama alikuwa anatekeleza majukumu yake aliyo elekezwa na aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu ktk kuhakikisha kodi ya Serikali inalipwa. sasa huo unawezaje kuuita eti ni unyang'anyi?!!
ukiangalia hii kesi kwa jicho la tatu imejaa kisasi dhidi ya sabaya kutokana na majukumu yake aliyo kuwa akiyatekeleza, kwa vyovyote vile lazima angechukiwa sana na either;
1. wafanyabiashara au wanasiasa au wote kwa pamoja. ndicho kilicho tokea.
 
Sio hawaelewi ila wanapotosha makusudi
 
Haya chadema mnajitahidi kupotosha uma kwa kuunda vimada vyenu tumeshamwelewa Sabaya alichomanisha msipotoshe na hizo tuhuma za kupora fedha mnamwekelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…