Kihonda Kanisani
Member
- Sep 1, 2024
- 37
- 173
Kwahiyo aache tupendane tu ausio πKizazi cha Kupenda Mteremko, kupenda Kitonga, Kupenda utelezi..!
Kizazi kipo bize Kubet..! Kufanya Kazi aaah..
Weee ungekua kua kigonda godauni hapa ungekua na soda yako mkuu..Mmewanyima ajira vijana wamekaa kimya wameamua kujishikiza kwa mashangazi na kubeti bado mnawafuatilia na huko. Wakiandamana napo mnawapiga. Waacheni waweke stake chamsingi washaurini waweke mechi chache odds za uhakika.
Wewe Unadhani Vijana wanafuata nini huko kama siyo fweza? πKumbe mashangazi ni sources of income
πππππ Et fweza..Wewe Unadhani Vijana wanafuata nini huko kama siyo fweza? π
Si kweliTatizo pesa
Piga kazi, tusichague zile rahisi na kuwa na matarajio makubwa mafanikio yanakuja mdogo mdogoTatizo pesa
Anapenda vijanaHawatapenda kusikia kauli hii ya mashangazi kabisa, Mshangazi mwenyewe unasemaje?
ππ kisa utamu wa dogo dogoTutaandamana mashangazi wote hadi Mirembe
Kila jambo lina sababu ya chanzo chake, hao vijana hawajajitakia, ila kuna dosari kwenye mfumo wetu wa maisha ndiyo umetengeneza hayo mamboMakamu wa Rais ameitaka ESRF pamoja na Watalaam wa Fikra Tunduizi (Think Tank) kuangazia pia tabia za hivi karibuni za Vijana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Wanawake waliyowazidi umri (Mashangazi) kama njia rahisi ya kujikimu, kutumia muda mwingi bila kufanya kazi kwa kushinda Vijiweni, uchezaji kamari, utupaji taka ovyo, uchomaji moto ovyo wa nyasi na misitu pamoja na ubinafsi.
Hatuelewi .. ujueKila jambo lina sababu ya chanzo chake, hao vijana hawajajitakia, ila kuna dosari kwenye mfumo wetu wa maisha ndiyo umetengeneza hayo mambo
Halafu haya mambo ya kuibuka na misamiati mipya kwenye matukio maalumu siyo poa, ni bora kuanzishwe radio programs za kueneza maneno mapya yote ya kiswahili badala ya kuchomeka misamiati kwenye speech muhimu
Anakutana na kijana anamkunja kunja mpaka anajuta kwanini hakutafuta mapema dogo dogo ππππKuna mambo ambayo ni vigumu kuacha kama hili kwa maana
Mashangazi rika lao yaan wajomba hawana uwezo wa kukimbiza mchaka mchaka maana mjomba ana kitambi akimuweka shangazi doggie style tumbo lishafika kwenye tako hata kabla ya mkuyunge kuzama matokeo yake ni pigo moja na style moja daily unadhani shangazi akikutana na kijana anamkunja mikonjo yote atamuacha kirahisi?
Lakini kitu kingine vijana mtaani hawana ajira hawajishugulishi wamebaki kubeti na kutunza msemo wa MJINI MSINGI KIUNO UKIMKAMATA MMAMA HAKIKISHA UNASUGUA KATERERO KWELI KWELI wakiwa na dhana kuwa akina na mshangaz atapata chochote kitu kuanzia kulishwa kuvalishwa na kupewa mahitaji madogo madogo huku yeye kazi ake ni kuendesha treni toka kigoma mpka dasalama
πππππ Hakuna kitu kama hicho...Hapo naona wamegawana
Mabinti wa 2000 wanapenda Wanaume Wazee
Wakati huo huo Vijana wa kiume nao wana-date Mashangazi
Kweli Bongo Nyoso π