Dkt. Mpango: Vijana achaneni na kupenda mashangazi

Mmewanyima ajira vijana wamekaa kimya wameamua kujishikiza kwa mashangazi na kubeti bado mnawafuatilia na huko. Wakiandamana napo mnawapiga. Waacheni waweke stake chamsingi washaurini waweke mechi chache odds za uhakika.
Weee ungekua kua kigonda godauni hapa ungekua na soda yako mkuu..

Naona unaongea madini mno
 
Kila jambo lina sababu ya chanzo chake, hao vijana hawajajitakia, ila kuna dosari kwenye mfumo wetu wa maisha ndiyo umetengeneza hayo mambo

Halafu haya mambo ya kuibuka na misamiati mipya kwenye matukio maalumu siyo poa, ni bora kuanzishwe radio programs za kueneza maneno mapya yote ya kiswahili badala ya kuchomeka misamiati kwenye speech muhimu
 
Kuna mambo ambayo ni vigumu kuacha kama hili kwa maana
Mashangazi rika lao yaan wajomba hawana uwezo wa kukimbiza mchaka mchaka maana mjomba ana kitambi akimuweka shangazi doggie style tumbo lishafika kwenye tako hata kabla ya mkuyunge kuzama matokeo yake ni pigo moja na style moja daily unadhani shangazi akikutana na kijana anamkunja mikonjo yote atamuacha kirahisi?

Lakini kitu kingine vijana mtaani hawana ajira hawajishugulishi wamebaki kubeti na kutunza msemo wa MJINI MSINGI KIUNO UKIMKAMATA MMAMA HAKIKISHA UNASUGUA KATERERO KWELI KWELI wakiwa na dhana kuwa akina na mshangaz atapata chochote kitu kuanzia kulishwa kuvalishwa na kupewa mahitaji madogo madogo huku yeye kazi ake ni kuendesha treni toka kigoma mpka dasalama
 
Hatuelewi .. ujue
 
Anakutana na kijana anamkunja kunja mpaka anajuta kwanini hakutafuta mapema dogo dogo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…