Kihonda Kanisani
Member
- Sep 1, 2024
- 37
- 173
Mmewanyima ajira vijana wamekaa kimya wameamua kujishikiza kwa mashangazi na kubeti bado mnawafuatilia na huko. Wakiandamana napo mnawapiga. Waacheni waweke stake chamsingi washaurini waweke mechi chache odds za uhakika.