Dkt. Mpango: Vijana achaneni na kupenda mashangazi

Duh! Hadi makamu anajua kuna mashangazi, hii kali! Mashangazi yana hela, vijana wanaona bora wayakimbilie kuliko kung'ang'ana na vibinti vyenye njaa kali na vidangaji ni visumbufu kutwa kutaka hela na hela zenyewe hakuna. Mashangazi nayo yanawapenda vijana kwa kupeleka moto wa uhakika mwanzo hadi mwisho hadi lishangazi liseme lenyewe imetosha
 
Mkuu una ongea madini sana...
Naomba nianze kufatilia nyuzi zako tafadhari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ajikite k Ajikite kwenye mambo ya msingi ya Nchi kuliko personal affairs,haipendezi

View: https://www.instagram.com/p/DBaqlaWtY_3/?igsh=MTR1dnFlMTJmY2cwOQ==
 
Mmewanyima ajira vijana wamekaa kimya wameamua kujishikiza kwa mashangazi na kubeti bado mnawafuatilia na huko. Wakiandamana napo mnawapiga. Waacheni waweke stake chamsingi washaurini waweke mechi chache odds za uhakika.
Haaa umeua lile gap la marehemu la kutoajir for 5 years halitozibika ever viongoz wachague watu sahihi kwa uiongoz nchi huwez kubadili utamaduni hata iweje yote haya yameanzia hapo
 
Kwa sababu hizi ni hansard ni rejea kwa vizaz na vizaz big up comrade
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…