Hana jipya....hizo tantalila tuu.Vijana wakaidi hata hekima hizi za mzee watazipuuza. Ni huzuni sana.
Kamari wao wenyewe mbona waliashauti wazifungie wananywea baada ya kuambia Kodi baba Kodi🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana jipya....hizo tantalila tuu.Vijana wakaidi hata hekima hizi za mzee watazipuuza. Ni huzuni sana.
Wazee hamtaki kung'atuka huko serikalini hadi kwenye chama mnataka vijana wawe wakabaji ? Ngoja watumie fursa ya kuruka na mishangazi ili maisha yasonge mbele.Wakuu mmesikia huko alichokisema Dkt. Mpango kuhusu Mashangazi?
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philiph Mpango, amesema zinahitajika tafiti za kina pamoja na mikakati katika kufanya mapinduzi ya kitamaduni kubadili tabia na mazoea yasiyofaa yanayojitokeza katika Jamii hivi sasa ambayo ni kikwazo kwa maendeleo.
Nakubaliana na yote aliyoongea lakini kuhusu hili la Mishangazi naomba aniache!Wakuu mmesikia huko alichokisema Dkt. Mpango kuhusu Mashangazi?
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philiph Mpango, amesema zinahitajika tafiti za kina pamoja
Soma: Kuhusu utafiti wa tatizo la ajira, Dkt. Mpango usihadae Watanzania
Asante kiongoziKwa sababu hizi ni hansard ni rejea kwa vizaz na vizaz big up comrade
Nimekasirika sana.Wakuu mmesikia huko alichokisema Dkt. Mpango kuhusu Mashangazi?
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philiph Mpango, amesema zinahitajika tafiti za kina pamoja na mikakati katika kufanya mapinduzi ya kitamaduni kubadili tabia na mazoea yasiyofaa yanayojitokeza katika Jamii hivi sasa ambayo ni kikwazo kwa maendeleo.
Dkt Mpango amesema hayo wakati akifungua mkutano wa kusherehekea miaka 30 ya Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) uliyofanyika Jijini Dar es salaam ambapo ametaja baadhi ya mazoea na tabia hizo ni pamoja na kutojali muda, kutokuwa na uaminifu mahali pa kazi pamoja na kutumia njia zisizofaa katika kupata kipato.
Makamu wa Rais ameitaka ESRF pamoja na Watalaam wa Fikra Tunduizi (Think Tank) kuangazia pia tabia za hivi karibuni za Vijana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Wanawake waliyowazidi umri (Mashangazi) kama njia rahisi ya kujikimu, kutumia muda mwingi bila kufanya kazi kwa kushinda Vijiweni, uchezaji kamari, utupaji taka ovyo, uchomaji moto ovyo wa nyasi na misitu pamoja na ubinafsi.
Pia Makamu wa Rais amesema ni muhimu kuangazia tabia nyingine kama vile matumizi makubwa ya fedha katika anasa kuliko kuweka akiba ikiwemo uchangiaji zaidi katika matukio ya sherehe na tafrija kuliko kusaidia gharama za elimu na matibabu kwa familia za kipato cha chini.
Soma: Kuhusu utafiti wa tatizo la ajira, Dkt. Mpango usihadae Watanzania
Mzee alisoma Uzi wako.Atupangiwi maisha
Kizazi cha Kupenda Mteremko, kupenda Kitonga, Kupenda utelezi..!
Kizazi kipo bize Kubet..! Kufanya Kazi aaah..
Vizazi vya late 90's 2000's havijapata benefits ya vilivyotangulia.Wakuu mmesikia huko alichokisema Dkt. Mpango kuhusu Mashangazi?
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philiph Mpango, amesema zinahitajika tafiti za kina pamoja na mikakati katika kufanya mapinduzi ya kitamaduni kubadili tabia na mazoea yasiyofaa yanayojitokeza katika Jamii hivi sasa ambayo ni kikwazo kwa maendeleo.
Dkt Mpango amesema hayo wakati akifungua mkutano wa kusherehekea miaka 30 ya Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) uliyofanyika Jijini Dar es salaam ambapo ametaja baadhi ya mazoea na tabia hizo ni pamoja na kutojali muda, kutokuwa na uaminifu mahali pa kazi pamoja na kutumia njia zisizofaa katika kupata kipato.
Makamu wa Rais ameitaka ESRF pamoja na Watalaam wa Fikra Tunduizi (Think Tank) kuangazia pia tabia za hivi karibuni za Vijana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Wanawake waliyowazidi umri (Mashangazi) kama njia rahisi ya kujikimu, kutumia muda mwingi bila kufanya kazi kwa kushinda Vijiweni, uchezaji kamari, utupaji taka ovyo, uchomaji moto ovyo wa nyasi na misitu pamoja na ubinafsi.
Pia Makamu wa Rais amesema ni muhimu kuangazia tabia nyingine kama vile matumizi makubwa ya fedha katika anasa kuliko kuweka akiba ikiwemo uchangiaji zaidi katika matukio ya sherehe na tafrija kuliko kusaidia gharama za elimu na matibabu kwa familia za kipato cha chini.
Soma: Kuhusu utafiti wa tatizo la ajira, Dkt. Mpango usihadae Watanzania
AhahahMzee alisoma Uzi wako.
Hahahahah waziri mpango kaingilia mipango ya watuTena huyo BABU KIZEE atukome kabisa mashangazi, kwani nani amemtuma? Kiherehere chake tu.
Sisi mashangazi tunapinga vikali kauli ya huyo BABU KIZEE MPANGO, TUNASEMAJEEEEE, atuache na vibenteni wetuu.
Hivi anaujua utamu wa vibenteni kweli huyu au anabwata tu? Baadaye nitatoa TAMKO RASMI.
Cc: FaizaFoxy Mbaga Jr Kapeace Kalpana Extrovert dronedrake fundi bishoo Lamomy Nyani Ngabu
Hatari sana mzee 🤣🤣🤣🤣 unashangaa wanamiminika kwako😂😂😂😂😂 Et fweza..
Sema mkuu mashangazi yana mapepo makali sana ukishaanza kuyapa utamu wanasimuliana sijui
HahahahahaHahahahah waziri mpango kaingilia mipango ya watu
Watu hawataki shida ndogondogo😂😂 ngoma droo hii
Alafu kweli bana.. 😂😂😂😂Hatari sana mzee 🤣🤣🤣🤣 unashangaa wanamiminika kwako
Shida ya mashangazi ni kutodumu nalo kwa muda mrefu!!! Halafu likiamua linakupiga chini na huna Cha kufanya 🤣🤣🤣🤣🤣Duh! Hadi makamu anajua kuna mashangazi, hii kali! Mashangazi yana hela, vijana wanaona bora wayakimbilie kuliko kung'ang'ana na vibinti vyenye njaa kali na vidangaji ni visumbufu kutwa kutaka hela na hela zenyewe hakuna. Mashangazi nayo yanawapenda vijana kwa kupeleka moto wa uhakika mwanzo hadi mwisho hadi lishangazi liseme lenyewe imetosha
Aliyoongea asilimia 90 yanafanywa na wao MAFISADI.Vijana wakaidi hata hekima hizi za mzee watazipuuza. Ni huzuni sana.
Kwa vijana kweli ni source of income, kwa mimi mzee nikitongoza Mshangazi lazima nimpe hela nyingi hadi za kuhonga Serengeti boys.Kumbe mashangazi ni sources of income
Huyu naye akaage kimya tu, bora kipi vijana wajiegeshe kwa mashangazi au wajiegesha kwa Pdidy?Wakuu mmesikia huko alichokisema Dkt. Mpango kuhusu Mashangazi?
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philiph Mpango, amesema zinahitajika tafiti za kina pamoja na mikakati katika kufanya mapinduzi ya kitamaduni kubadili tabia na mazoea yasiyofaa yanayojitokeza katika Jamii hivi sasa ambayo ni kikwazo kwa maendeleo.
Dkt Mpango amesema hayo wakati akifungua mkutano wa kusherehekea miaka 30 ya Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) uliyofanyika Jijini Dar es salaam ambapo ametaja baadhi ya mazoea na tabia hizo ni pamoja na kutojali muda, kutokuwa na uaminifu mahali pa kazi pamoja na kutumia njia zisizofaa katika kupata kipato.
Makamu wa Rais ameitaka ESRF pamoja na Watalaam wa Fikra Tunduizi (Think Tank) kuangazia pia tabia za hivi karibuni za Vijana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Wanawake waliyowazidi umri (Mashangazi) kama njia rahisi ya kujikimu, kutumia muda mwingi bila kufanya kazi kwa kushinda Vijiweni, uchezaji kamari, utupaji taka ovyo, uchomaji moto ovyo wa nyasi na misitu pamoja na ubinafsi.
Pia Makamu wa Rais amesema ni muhimu kuangazia tabia nyingine kama vile matumizi makubwa ya fedha katika anasa kuliko kuweka akiba ikiwemo uchangiaji zaidi katika matukio ya sherehe na tafrija kuliko kusaidia gharama za elimu na matibabu kwa familia za kipato cha chini.
Soma: Kuhusu utafiti wa tatizo la ajira, Dkt. Mpango usihadae Watanzania
Alafu wenzako hawapo hivi kadhi..Kwa vijana kweli ni source of income, kwa mimi mzee nikitongoza Mshangazi lazima nimpe hela nyingi hadi za kuhonga Serengeti boys.