Dkt. Mwaka ajitafakari. Upendo ukiisha ni busara kukubali kuachia na maisha yaendelee

Dkt. Mwaka ajitafakari. Upendo ukiisha ni busara kukubali kuachia na maisha yaendelee

Kila jambo lina pande 2. Machozi ya mwanamke si ya kuamini sana.
Uko sahihi,ingawa wachache watakuelewa hapa,mara nyingi wamekuwa wakiyatumia ili kupata sympathy hasa pale wanapokuwa wamekwama,ila ukija kufatilia kwa undani unaweza kukuta labda yeye ndio mwenye tatizo.Hapa umakini unahitajika ili kutatua hili sakata lao,kwani maswala ya ndoa huwa ni magumu sana...
 
Wanaume wa siku hizi hawaachiko kirahisi mpk zifanywe drama nyingi[emoji23][emoji23][emoji23] kinachomuums dr makanjanja ni kutoa talaka akijua kuna mtu atachukua zigo[emoji23][emoji23],,

Hapa piga ua talaka yangu utatoa, atoe talaka wanaume wachukue zigo[emoji23]
Yanajifanya wababe lakini wakiambiwa kuachwa wanang'ang'ania
 
Ila utaratibu wa kiislam ni simple sana kwenye kuachana, kama mke hamtaki mume basi AJIVUE yaani GHLUUW kwa kurudisha mahali ya mume na basi wanakuwa wameachana.

I don’t understand why huyo mwanamke hajashauriwa hivyo mpaka sasa. Na huyo Dr Mwaka akubali kuachika ili maisha yaendelee. Huko ni kumdulumu huyo mwanamke na ataulizwa na ﷲ siku ya Qiyama.

Ila hakika si kila chozi la mwanamke ni la kuliamini
 
Uko sahihi,ingawa wachache watakuelewa hapa,mara nyingi wamekuwa wakiyatumia ili kupata sympathy hasa pale wanapokuwa wamekwama,ila ukija kufatilia kwa undani unaweza kukuta labda yeye ndio mwenye tatizo.Hapa umakini unahitajika ili kutatua hili sakata lao,kwani maswala ya ndoa huwa ni magumu sana...
Sasa kama Mme ndiyo tena mwaka unakatika anapikiwa tu misosi anafuliwa lakini hakuna cha maana jogoo hana ndevu[emoji7][emoji7][emoji7]
 
Ila utaratibu wa kiislam ni simple sana kwenye kuachana, kama mke hamtaki mume basi AJIVUE yaani GHLUUW kwa kurudisha mahali ya mume na basi wanakuwa wameachana.

I don’t understand why huyo mwanamke hajashauriwa hivyo mpaka sasa. Na huyo Dr Mwaka akubali kuachika ili maisha yaendelee. Huko ni kumdulumu huyo mwanamke na ataulizwa na ﷲ siku ya Qiyama.

Ila hakika si kila chozi la mwanamke ni la kuliamini
Hiyo mahali kama doti ya khanga inakuwaje?
 
Mama alikuwa anataka abaki na nyumba alelee watoto kaamua kuiachia,
We Mwaka chukua manyumba yako na magari yako, toa talaka.
Itamtafuna sana huyo Dr. Mwaka laiti angejua kuna siku itafika atakuwa hoi kitandani na mtu ambaye anaweza kuwa msaada ni huyo mwanamke basi angetulia. Hakunaga mapenzi kwenye nyakati za starehe na burudani bali utapeli mtupu.

Huyo anayemuona ana mahaba na mbora wa kila kitu ndio nyoka hasa ambaye atakuja kumpa suprise ya ajabu na dunia nzima itashangaa. Siku zote mkataa pema pabaya panamuita.
 
Back
Top Bottom