Mke akichepuka anastahili mawiliMwaka ametaka mali?
Mwaka anatake msaliti aendelee kuwa kwenye himaya yake.
Mnamkandamiza mwanaume mwenzenu kwa kutishwa na machozi?
Wewe mke achepuke kirahisi akimbilie kuomba talaka?
Ninasimama na mwaka.
Siku Mwaka akifunua mdomo mtaaibika sana watetezi wa mwansmke huyu
😂😂😂Tulizoea wanawake ndo wanaachika siku hizi hata na wao wanaachika vilevileWanaume design ya Dr Mwaka ni makatili. Ndo haya unayoyaona hata humu jf yanakwambia mwanamke asifanye kazi. Ili yapate nguvu ya kuendelea kumnyanyasa mwanamke.
Wanawake wajifunze, ukiwa huna kitu unategemea mwanaume akutunze mwishowe ndo hivo linajiona kama baba ako. Wahed
Barikiwa sanaNimegundua huyu mama ana hekima sana
Yalipofikia Dr ndo anaonekana mbaya atoe yeye hiyo talaka ama atoe mkewe, kamuacha mwaka mzima hajiulizi anaishije?Huyo mama ameshapata bwana wa kumuoa na hiyo ndiyo ilikuwa sababu kubwa ya shekh mkuu wa dar kuondolewa madaraka.
Dr Mwaka sio kwamba anashindwa kumuacha ila anaogopa Kuna stahiki za mwanamke lazima atapata kama mgao wa mali na kadharika .. Dr Mwaka anataka aachwe yeye apewe yeye taraka anajua akiachwa yeye kuna vitu vingi atafaidika navyo kuliko mwanamke.
NB:Huyu mwanamke ni msanii kiislam kama mwanaume hataki kutoa taraka mwanamke anao uwezo wa kutoa taraka,Sasa yeye mwanamke anashindwa nini kutoa taraka apate hiyo amani ya moyo anayotaka?
Wanapenda mwanamke awasujudu😂😂😂Tulizoea wanawake ndo wanaachika siku hizi hata na wao wanaachika vilevile
Naomba nisiseme sana sijui undani wa jambo hili.Mke akichepuka anastahili mawili
1.taraka
2.kusamehewa
Kukusaliti ni sababu
1.hafai kuwa mke
2.hakupendi
3.humridhishi kingono
Mke sio Mali yako ni binadamu mlieingia mkataba akivunja huruhusiwi hata mpiga kibao unapaswa umwache .sheria ya nchi n'a dini hazitambui ndoa kama undugu .mm dadangu akusaliti umpige utajua ulioa kwa wanaume,muacheee!!!
Kama nakumbuka sawa sawa, huyu mama alienda na wenzake kudai talaka. Sifurahii anayopitia lakini pia kama suala liko kwenye vyombo vya sheria kwann anaongea Tena na vyombo vya habari? Nadhan angeweka nguvu kubwa kwenye kudai talaka yake mahakamani.Kuna vitu vitatu muhimu sana kwenye hili sakata
1. Mwanamke ndio anataka talaka
2. Hataki kudhalilishana kwenye mitandao ya kijamii( hili nimempa big up sana)
3. Hataki kugombea mali anataka amani ya moyo aachwe alee wanae!
Kwa hizo point tatu unaweza kuona wazi tatizo liko upande gani
Ya kweli hayo alimuacha mwaka mzima? Isijekuwa anataka hurumaYalipofikia Dr ndo anaonekana mbaya atoe yeye hiyo talaka ama atoe mkewe, kamuacha mwaka mzima hajiulizi anaishije?
Lisemwalo lipoYa kweli hayo alimuacha mwaka mzima? Isijekuwa anataka huruma
Kwanini aoe zaidi ya wawili?Wanawake wana roho nao.Wacha yamkute.Lakini kwanini sisi hatujwahi kuipenda kweli watu wangu?
Kosa la Mwaka liko wapi?
Unajua mwanaume unapokuwa na mke wako unamhudumia kwa kila hali halafu ghafla unamfumania analiwa na jitu labda limehonga mafuta ya 50k tu ni sawa?
Kwanini hamvai kiqtu cha Mwaka?
Kama Mwaka ana makosa na wameahindwa kusuluhishwa hapo sawa.
Lakini kwa ishu ya uzinzi tutetee uovu wanangu?
Ajabu sana🤣🤣🤣Yanajifanya wababe lakini wakiambiwa kuachwa wanang'ang'ania
Na wanaacha kweliLisemwalo lipo
Daah mmefika mbali...dini yao inaruhusuKwanini aoe zaidi ya wawili?Wanawake wana roho nao.Wacha yamkute.
Shida ni kwamba navyoona hapa kwa sheria za Kiislam mwanamke ana uwezo pia wa kumwacha (kumpa talaka mwanaume) mwanaume but mke wa Mwaka hataki kumwacha Dr Mwaka kwa sababu anajua atapoteza stahiki zake ikiwa ni pamoja na mali wanazomilikiNikisoma comment za watu humu jf nagundua kila siku kwamba kuna baadhi ya wanaume ni very weak. Nahisi hata neno weak halitoshi! Very pathetic.
Sasa kama mwanamke ndo anataka mwaka amuache tena anataka aondoke peke yake asichukue chochote unasemaje mwanamke ni msanii? Huwa mnaona upande wa mwanamke ndo wenye tatizo siku zote.
Mnaosema kataa ndoa mngeanza kwanza kukataza ndoa za mitala sijui wake wanne ni ushenzi tu! Kama huwezi kumudu wanawake hata wawili basi usijifanye unafatisha dini kumbe unataka kufanya unyanyasaji tu.
Ona wapuuzi watakavyokuja na povu. I hate misogynists na sichoki kuvurugana na nyie ili kutetea haki ya mwanamke anaeonewa. Dr mwaka si umuache huyo mama unamkomalia ili umuue au?
Hapa ndio Kuna shidaShida ni kwamba navyoona hapa kwa sheria za Kiislam mwanamke ana uwezo pia wa kumwacha (kumpa talaka mwanaume) mwanaume but mke wa Mwaka hataki kumwacha Dr Mwaka kwa sababu anajua atapoteza stahiki zake ikiwa ni pamoja na mali wanazomiliki
Uislam na sheria zake zoote zipo kwenye maandishi(qur an) naomba uniwekee hiyo aya uliyonukuu kuwa mwanamke anatakiwa arudishe kila alichopewa na mmewe akiwa ndoani ili aweze kujikomboa (kutoa talaka)Unaongelea sheria za nchi gani dada angu? Kama ulikua ujui sheria za ndoa na mahusiano zinamlinda zaidi mwanamke. Uyo mwanamke afate utaratibu tu talaka atapata kwa mujibu wa dini yao mwanamke anaweza kutoa talaka ila atawajibika kulipa kila kitu alichopewa na mwanaume kuanzia mahari na mali zingine kama alipewa.
Si kweliAliyetoa pesa ya kununua nyumba ndie mwenye mali
Kuzini kupo ila kuna taratibu zake ktk dini ya kiislam ambazo si huyo Juma Mwaka wala yeyote yule anaweza kuzitimiza ili kuuita kuwa ni uzinzi na ikithibitika kuwa amezini ni kuwa automatical kuwa huyo si mke tenaMkuu hivi umwjiuliza chanzo cha mgogoro ni nini?
Mwanamke amezini halafu akimbilie kuomba talaka?
Mwaka ndiye aliyepaswa kuomba talaka sio huyu mnayemhurumia.
Mnadannganywa na machozi?
Nikuwekee aya wewe kama nani yaani nifanye kazi ya kusoma kitabu kizima ili nikuletee iyo aya? Mimi nakumbuka mtililiko wa nilichokisoma sifanyi kazi ya kukalili mistari ya kitabu kizima kama unataka aya nenda kamuulize kiongozi wako wa diniUislam na sheria zake zoote zipo kwenye maandishi(qur an) naomba uniwekee hiyo aya uliyonukuu kuwa mwanamke anatakiwa arudishe kila alichopewa na mmewe akiwa ndoani ili aweze kujikomboa (kutoa talaka)