The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Mke akichepuka anastahili mawiliMwaka ametaka mali?
Mwaka anatake msaliti aendelee kuwa kwenye himaya yake.
Mnamkandamiza mwanaume mwenzenu kwa kutishwa na machozi?
Wewe mke achepuke kirahisi akimbilie kuomba talaka?
Ninasimama na mwaka.
Siku Mwaka akifunua mdomo mtaaibika sana watetezi wa mwansmke huyu
1.taraka
2.kusamehewa
Kukusaliti ni sababu
1.hafai kuwa mke
2.hakupendi
3.humridhishi kingono
Mke sio Mali yako ni binadamu mlieingia mkataba akivunja huruhusiwi hata mpiga kibao unapaswa umwache .sheria ya nchi n'a dini hazitambui ndoa kama undugu .mm dadangu akusaliti umpige utajua ulioa kwa wanaume,muacheee!!!