binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Lakini piaa baadhi ya wanao host vipindi hawajui ni maswali gani ya msingi kuuliza anapokua anatoa interview kwa watu wa makundi tofauti kulingana na taaluma zao
Ivo tasnia ya habari imekua ikifikiri udaku tu ndo utaweka umaarufu kwenye vipindi vyao badala ya kujua future ya tradition medicine kutoka kwa dr mwaka
Inasikitisha sana
Nasikiliza BBC World Service hapa.
Wanasema kwamba wanasayansi wa MIT wamegundua compound za dawa mpya za antibiotics kwa kutumia Artificial Intelligence.
Wameipa computer algorithm, computer imetumia algorithm kutafuta dawa mpya, imepata.
Sisi kwetu dokta anakwenda kwenye redio kuongea analala na wake wangapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Corrections: Witch Doctor aka Herbalist siyo dicta wa Hospital. Wateja zake wamama na wadadaNasikiliza BBC World Service hapa.
Wanasema kwamba wanasayansi wa MIT wamegundua compound za dawa mpya za antibiotics kwa kutumia Artificial Intelligence.
Wameipa computer algorithm, computer imetumia algorithm kutafuta dawa mpya, imepata.
Sisi kwetu dokta anakwenda kwenye redio kuongea analala na wake wangapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tushamaliza huko tangu jana.Corrections: Witch Doctor aka Herbalist siyo dicta wa Hospital. Wateja zake wamama na wadada
hata manabii walikuwa na wake wengi...ooo!!! kumbe huamini katika diniAfrika kuwa na wake wengi ni alama ya nguvu na utajiri.
Ndiyo maana machifu kiasili wana wake wengi.
Wewe kapuku uoe wake wengi utawalisha nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaza tu wanavyopendana kiasi hicho hao wake je na yeye wanampenda hivyo hivyo?Mbona hakuna pahala aliposema kama kafanya nao mapenzi kwa wakati mmoja tuwe waelewa kuna tofaut kati ya kulala na kufanya mapenzi Shadeeya mis u kipe πππ
Hivyo we waeza mdogo? πNauliza hivi mkilala kitanda kimoja ni lazima mfanye mapenzi
Hahahaaa! lol. Mdogo naona lugha zimegongana hapo.Sikukuita shadeeya bali nikimquote yeye aje ili achangie hapa
Waafrika tunapenda sana,zinaaNasikiliza BBC World Service hapa.
Wanasema kwamba wanasayansi wa MIT wamegundua compound za dawa mpya za antibiotics kwa kutumia Artificial Intelligence.
Wameipa computer algorithm, computer imetumia algorithm kutafuta dawa mpya, imepata.
Sisi kwetu dokta anakwenda kwenye redio kuongea analala na wake wangapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tapeli tu huyu. Nashangaa kapona baada ya kusakamwa na wizara ya afya..Huyu jamaa Leo kaenda clouds fm kipindi cha LEO TENA na wake zake wawili, wa pili na wa tatu. Wa kwanza hakuwepo.
Wameongea mengi kuwa wake zake wanapendana.
Ila kaulizwa swali na Geah Kuhusu kulala na wake zake chumba kimoja, jibu Lake ni kuwa wake zake wawili (isipokuwa wa kwanza) analala nao ila Kuhusu kushiriki tendo kwa pamoja hajakataa ila amesema ni mambo ya ndani.
Sasa huyu chalii ndio anamaanisha wanashiriki "threesome" na wake zake sio.
Ukiwa na hela raha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa! lol. Mdogo naona lugha zimegongana hapo.
Ila wana namna hao sio bure.
nani kafa kwani?Kwa mujibu wa dini yake hilo ni kosa tena kubwa sana, Mume haruhusiwi kufanya mapenzi na wakeze kwa wakati mmoja,
Innalillah wainna illah raji'un.
Daah!!! Jirani wacha ninyamaze tu. π·π·
Angekuwa Hana hela hao wanawake wake aliowapatia kwenye matatizo ya uzazi unadhani wangemuelewa?Ni maamuzi tu na wala sio utajiri.
unaogea pumba mkuu.Kama hao wanawake ni wake zake..
Kama wote hao wake zake hawana tatizo kulala naye kitandani wakiwa pamoja..
Nyie wengine tatizo lenu ni nini hasa?
Labda ninaloweza kumkosoa ni yeye kuongelea mambo ya chumbani kwake redioni.
Zaidi ya hapo, sina tatizo na yeyote yule alalaye kitandani mwake madhali si mtoto dogo au mtu aliyelazimishwa kulala naye.
Daah!!! Jirani wacha ninyamaze tu. [emoji40][emoji40]
Ushauri wangu jirani ukishaoa kila siku ombea wapendane kama hao wa Mwaka. π π