Dkt. Mwaka akiri kulala na wakeze wawili chumba kimoja. Ashikwa kigugumizi kuhusu kushiriki nao tendo kwa pamoja 'Threesome'



Kuhoji ni special skill ambayo clearly wana habari wengi wa kibongo hawana, ni wachache sana wanaoweza hili.
 


Mwaka sio Daktari, ni mjinga anayewadanganya wajinga wenzake kupata fedha, watu kama hawa ni kuwafungia maisha. Dr. Kigwangala alimfungia sijui iliishia wapi. Huyu anacheza na afya za watu, tapeli hatari kabisa

 
Corrections: Witch Doctor aka Herbalist siyo dicta wa Hospital. Wateja zake wamama na wadada
 
Mbona hakuna pahala aliposema kama kafanya nao mapenzi kwa wakati mmoja tuwe waelewa kuna tofaut kati ya kulala na kufanya mapenzi Shadeeya mis u kipe 😘😘😘
Nawaza tu wanavyopendana kiasi hicho hao wake je na yeye wanampenda hivyo hivyo?

Nipo Kipenzi jana nililala mida ile nakuja amka ndio nakuta jumbe zako Mdogo. 😍😍😍

Umewaona wake wa Dr lakini?
 
Waafrika tunapenda sana,zinaa
 
Tapeli tu huyu. Nashangaa kapona baada ya kusakamwa na wizara ya afya..
 
unaogea pumba mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…