Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hata hawa waganga wa kienyeji wana nafasi zao kutuelimisha kuhusu mitishamba.Lakini piaa baadhi ya wanao host vipindi hawajui ni maswali gani ya msingi kuuliza anapokua anatoa interview kwa watu wa makundi tofauti kulingana na taaluma zao
Ivo tasnia ya habari imekua ikifikiri udaku tu ndo utaweka umaarufu kwenye vipindi vyao badala ya kujua future ya tradition medicine kutoka kwa dr mwaka
Inasikitisha sana
Mbona hata dawa mpya zinatoka kwenye mitishamba hiyo hiyo.
Tatizo hata huko tunafulia.