Dkt. Mwele Malecela afikisha 50k followers Twitter mara baada ya kuongelewa na Rais Magufuli

Dkt. Mwele Malecela afikisha 50k followers Twitter mara baada ya kuongelewa na Rais Magufuli

tzkwanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
1,568
Reaction score
3,610
Jana baada ya JPM kumchamba binti wa kigogo sio kigogo 2014, Mwelentuli Malecela ndio kwanza kamuongezea umaarufu huko Twitter.

Kwa siku moja tu ya jana followers wake wameongezeka kutoka 40,000 hadi 52,000.

Ombi langu mh. JPM wewe ni mtu mkubwa acha kupoteza muda kuchambana na wanawake.

Ona sasa umemuongezea umaarufu badala ya kumpunguzia.

Screenshot_20200606-123951.jpeg
 
Kama alikua anatumika asiambiwe
Alikuwa anatumika na nani? Wivu tu na roho mbaya. Umemtumbua mtu ili kumkomoa matokeo yake UN wanamuajiri.

Hao UN ambao Magufuli anawaita mabeberu kila siku anamtuma Kabudi na Mpango kuwaomba hela.

Tarehe 10 mabeberu wanakaa kutujadili kama watupe hela au wasitupe. Kama Magu jeuri mwambie a-cancel hayo maombi.
 
Nahisi mzee Kati ya aliowatumbua huyu ana m-pain Hadi leo yaani inamuuma sana [emoji848].

Nahisi labda alitaka huyo mama achezee msoto kitaa kwa kukosa kazi ili aje alambe miguu lakini naona huyo mama wa kigogo kakaza so mzee anakuwa frustrated (Kama anavyosemaga Yuko frustrated tumuombee)

Ndio maana Kama sio Mara ya tatu Basi ya nne Sasa still anamuongela akiwa podium ana address

Au Kuna .......maza ka............mzee......[emoji3166](najiwazia tu)

Maana sio kwa kichambo anachopewa huyo mama[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom