gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Bwashee kwa rika lako na hii kazi unayofanyishwa huku mtandaoni, tofauti yako na kaka 'ake Mwele ni ndogo sana.Mzee Mtei ameitwa Takukuru!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee kwa rika lako na hii kazi unayofanyishwa huku mtandaoni, tofauti yako na kaka 'ake Mwele ni ndogo sana.Mzee Mtei ameitwa Takukuru!
Tofauti yake na Wazaramo ni jazba tu.Kwa alivo huyu jamaa.... si bure... ana chembe chembe za Uzaramo. Jaffo atakuwa ana siri kubwa sana
Sasa Mtei siyo mdhamini?Bwashee kwa rika lako na hii kazi unayofanyishwa huku mtandaoni, tofauti yako na kaka 'ake Mwele ni ndogo sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiambiwa huyu na LeMutuzi Baba mmoja huwezi amini
...umefikiria nini kuandika haya? Mbona unaamini tuUkiambiwa huyu na LeMutuzi Baba mmoja huwezi amini
Huenda hataki/ hapendi vyeo vya kisiasa.isingekuwa ujinga wake , le mutuz leo angekuwa na cheo kikubwa hapa nchini, kwanza amesoma, pili ana jiba kubwa ,tatu ukimskia anaongea unaweza kujuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana ki akili, ila hajachelwa akibadilika hata sasa anaweza kufaidika
Sasa haya unayoyasema hapa utayasemea wapi tena kama mitandao itafungwa kama unavyotaka wewe na Pascal Mayalla ?Mzee Mtei ameitwa Takukuru!
Ye' mwenyewe shabiki maandaziHaya mambo ya ushabiki maandazi ndio anayoyakataa Pascal Mayalla!
Mwambie dokta wa maganda ya korosho maana ndio anaongoza kwa ubishiKasomeni publications zinazoongelea kuwepo kwa viashiria vya zika bongo, cases za microcephaly zipo tu sema hakuna anayeziripoti na kuzihusisha na zika. Kuna mama mmoja nafikiri wa kule Mtwara ana watoto kama 3 wote wana vichwa vidogo na wana ulemavu wa akili. Kuna kipindi huwa anakuja dar anapewa misaada na raia.....kwa hiyo tusikimbilie tu kukanusha kwamba hatuna magonjwa bila kuwa na concrete evidence...
Kwani jaffo ni mke?
Ben saanane kokote aliko, mungu ambariki
wote wana akili kubwa mno ila mmoja kuna wakati channel zina scramble
Roho mbayaaaaa tuuu. Uzuri ni kua kiujazao moyo wa mtu ndicho kimtokachoIko hivi ukitumbuliwa na magu kesho ukapata shavu kwenye mashirika ya kitaifa anachukia sana na atakutaftia platfom aseme ulikuwa unatumika.
Alikuwa anatumika na nani? Wivu tu na roho mbaya. Umemtumbua mtu ili kumkomoa matokeo yake UN wanamuajiri.
Hao UN ambao Magufuli anawaita mabeberu kila siku anamtuma Kabudi na Mpango kuwaomba hela.
Tarehe 10 mabeberu wanakaa kutujadili kama watupe hela au wasitupe. Kama Magu jeuri mwambie a-cancel hayo maombi.
Hii ni aibu kwa aliyemkashifuJana baada ya JPM kumchamba binti wa kigogo sio kigogo 2014, Mwelentuli Malecela ndio kwanza kamuongezea umaarufu huko Twitter.
Kwa siku moja tu ya jana followers wake wameongezeka kutoka 40,000 hadi 52,000.
Ombi langu mh. JPM wewe ni mtu mkubwa acha kupoteza muda kuchambana na wanawake.
Ona sasa umemuongezea umaarufu badala ya kumpunguzia.
Huyo aliyemuweka mtoto wake hazina ili waibe vizuri ndio mzalendo?Sasa hiyi zica aliyoitangaza iko wapi jamani mnona hata hatuioni hapo kafeli alitaka kutumika na kina Bill kisha watuletee chanjo zao kama india walivyopelwka za polio akafie mbele huko hana uzalendo