Dkt. Mwele Malecela afikisha 50k followers Twitter mara baada ya kuongelewa na Rais Magufuli

Dkt. Mwele Malecela afikisha 50k followers Twitter mara baada ya kuongelewa na Rais Magufuli

isingekuwa ujinga wake , le mutuz leo angekuwa na cheo kikubwa hapa nchini, kwanza amesoma, pili ana jiba kubwa ,tatu ukimskia anaongea unaweza kujuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana ki akili, ila hajachelwa akibadilika hata sasa anaweza kufaidika
Huenda hataki/ hapendi vyeo vya kisiasa.
 
Kasomeni publications zinazoongelea kuwepo kwa viashiria vya zika bongo, cases za microcephaly zipo tu sema hakuna anayeziripoti na kuzihusisha na zika. Kuna mama mmoja nafikiri wa kule Mtwara ana watoto kama 3 wote wana vichwa vidogo na wana ulemavu wa akili. Kuna kipindi huwa anakuja dar anapewa misaada na raia.....kwa hiyo tusikimbilie tu kukanusha kwamba hatuna magonjwa bila kuwa na concrete evidence...
Mwambie dokta wa maganda ya korosho maana ndio anaongoza kwa ubishi
 
Ni aibu sanaa mwanaume mzima kila ukipata podium basi ni kashfa kwa wanawake na vijembe tuu. Hii ni kuonyesha dhahiri kua hajui wajibu wake kwa jamiii anayo dai kutumikia.

Ikiwa anajaza mavisasi hivi kichwani kwake, huo muda wa kutafakari mambo ya msingi ya kitaifa anao kweli! !!.

Asili ya watu Bara sio mashindano na wanawake kamweee, yeye huyu vipi. ?
 
Iko hivi ukitumbuliwa na magu kesho ukapata shavu kwenye mashirika ya kitaifa anachukia sana na atakutaftia platfom aseme ulikuwa unatumika.
Roho mbayaaaaa tuuu. Uzuri ni kua kiujazao moyo wa mtu ndicho kimtokacho
 
Alikuwa anatumika na nani? Wivu tu na roho mbaya. Umemtumbua mtu ili kumkomoa matokeo yake UN wanamuajiri.

Hao UN ambao Magufuli anawaita mabeberu kila siku anamtuma Kabudi na Mpango kuwaomba hela.

Tarehe 10 mabeberu wanakaa kutujadili kama watupe hela au wasitupe. Kama Magu jeuri mwambie a-cancel hayo maombi.

Sasa hiyi zica aliyoitangaza iko wapi jamani mnona hata hatuioni hapo kafeli alitaka kutumika na kina Bill kisha watuletee chanjo zao kama india walivyopelwka za polio akafie mbele huko hana uzalendo
 
Jana baada ya JPM kumchamba binti wa kigogo sio kigogo 2014, Mwelentuli Malecela ndio kwanza kamuongezea umaarufu huko Twitter.

Kwa siku moja tu ya jana followers wake wameongezeka kutoka 40,000 hadi 52,000.

Ombi langu mh. JPM wewe ni mtu mkubwa acha kupoteza muda kuchambana na wanawake.

Ona sasa umemuongezea umaarufu badala ya kumpunguzia.

Hii ni aibu kwa aliyemkashifu
 
Sasa hiyi zica aliyoitangaza iko wapi jamani mnona hata hatuioni hapo kafeli alitaka kutumika na kina Bill kisha watuletee chanjo zao kama india walivyopelwka za polio akafie mbele huko hana uzalendo
Huyo aliyemuweka mtoto wake hazina ili waibe vizuri ndio mzalendo?

Anayemsifia hawara yake hadharani badala ya kusifia madaktari na wauguzi ndio mzalendo?

Anayetumia kodi za wananchi kununua wabunge na madiwani wa upinzani ndio mzalendo?
 
Back
Top Bottom