Kwa nini au mmoja ana akili mwingine hanaUkiambiwa huyu na LeMutuzi Baba mmoja huwezi amini
Tumshauri mwenyekiti wetu aache kuchambana na wanawake. Yeye ni mtu mkubwa, badala ya kuongelea matatizo ya waalimu yeye anamsengenya mdada wa watu! Shenz.i kabisa!Haya mambo ya ushabiki maandazi ndio anayoyakataa Pascal Mayalla!
isingekuwa ujinga wake , le mutuz leo angekuwa na cheo kikubwa hapa nchini, kwanza amesoma, pili ana jiba kubwa ,tatu ukimskia anaongea unaweza kujuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana ki akili, ila hajachelwa akibadilika hata sasa anaweza kufaidikaMagufuli ampe ulaji Lemutuz ili amkomesha .... Natania tu
wote wana akili kubwa mno ila mmoja kuna wakati channel zina scramble
Alikuwa anatumika na nani? Wivu tu na roho mbaya. Umemtumbua mtu ili kumkomoa matokeo yake UN wanamuajiri.Kama alikua anatumika asiambiwe
Una wivu wa kike.Haya mambo ya ushabiki maandazi ndio anayoyakataa Pascal Mayalla!
Atakua yupo ccm tuwote wana akili kubwa mno ila mmoja kuna wakati channel zina scramble
Anayakataa kama nani?...waacheni watu waishi maisha yao.Haya mambo ya ushabiki maandazi ndio anayoyakataa Pascal Mayalla!