kifusi boy
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 1,141
- 1,752
Hata kigogo hana izo wewe uzipateje?Mimi nina 1.2 M twitter
Ha ha ha huyu kiongozi ni wa ajabu sana. Halafu haoni aibu kuongea uongo hadharani.Iko hivi ukitumbuliwa na magu kesho ukapata shavu kwenye mashirika ya kitaifa anachukia sana na atakutaftia platfom aseme ulikuwa unatumika.
Mitandao ikifungwa nyie mataga mtakula wapi???Haya mambo ya ushabiki maandazi ndio anayoyakataa Pascal Mayalla!
Mzee Mtei ameitwa Takukuru!Mitandao ikifungwa nyie mataga mtakula wapi???
Mtoto wa makamu mwenyekiti wa CCM mstaafu!huyu dada kwani ndie nani hasa???
Nimezichanga tu nikazipata!Hata kigogo hana izo wewe uzipateje?
amekuwaje mpaka jiwe kumzungumzia???Mtoto wa makamu mwenyekiti wa CCM mstaafu!
sawaTulia sindano ikolee, utamjua tu!
Mkuu, yule Kigogo 2014 wa Twitter ni mwanao?Ngoja na mm nikamfollow huko Twitter
Wanajielewa basi!! Wamemazana kukata hadi matawi waliyokalia.Mitandao ikifungwa nyie mataga mtakula wapi???