GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Jana baada ya JPM kumchamba binti wa kigogo sio kigogo 2014, Mwelentuli Malecela ndio kwanza kamuongezea umaarufu huko Twitter.
Kwa siku moja tu ya jana followers wake wameongezeka kutoka 40,000 hadi 52,000.
Ombi langu mh. JPM wewe ni mtu mkubwa acha kupoteza muda kuchambana na wanawake.
Ona sasa umemuongezea umaarufu badala ya kumpunguzia.
Ni aibu kuchambana na mwanamke hadharani, mtu mwenye heshima kama rais. wamshauri vyema.Haya mambo ya ushabiki maandazi ndio anayoyakataa Pascal Mayalla!
Jana baada ya JPM kumchamba binti wa kigogo sio kigogo 2014, Mwelentuli Malecela ndio kwanza kamuongezea umaarufu huko Twitter.
Kwa siku moja tu ya jana followers wake wameongezeka kutoka 40,000 hadi 52,000.
Ombi langu mh. JPM wewe ni mtu mkubwa acha kupoteza muda kuchambana na wanawake.
Ona sasa umemuongezea umaarufu badala ya kumpunguzia.
wote wana akili kubwa mno ila mmoja kuna wakati channel zina scramble
😃😃Alikuwa anatumika na nani? Wivu tu na roho mbaya. Umemtumbua mtu ili kumkomoa matokeo yake UN wanamuajiri.
Hao UN ambao Magufuli anawaita mabeberu kila siku anamtuma Kabudi na Mpango kuwaomba hela.
Tarehe 10 mabeberu wanakaa kutujadili kama watupe hela au wasitupe. Kama Magu jeuri mwambie a-cancel hayo maombi.
😃😃😃Wanajielewa basi!! Wamemazana kukata hadi matawi waliyokalia.
😃😃 najiuliza ana nufaika nao vipi. ..? wana muingizia pesa?Kwahiyo kwa hao ' Followers ' wake sasa ndiyo ameshakuwa tayari Rais wa Tanzania kwa Tiketi ya Vyama vya Upinzani na Wameshika Dola rasmi?
👏👏👏1. Huwezi kuacha kusema ukweli kwa hofu ya kumuongezea mtu umaarufu. Kitendo cha Mwele kutangaza uwepo wa ugonjwa ambao haukuwepo kilikuwa cha ajabu kupata kufanywa na mwanasayansi.
2. Sio kila umaarufu ni honorable. Osama bin Laden alikuwa maarufu kuliko mtu yeyote in recent memory, lakini umaarufu wake ulikuwa dishonorable.
Wewe unajua zika ni nini?Sasa hiyi zica aliyoitangaza iko wapi jamani mnona hata hatuioni hapo kafeli alitaka kutumika na kina Bill kisha watuletee chanjo zao kama india walivyopelwka za polio akafie mbele huko hana uzalendo
Ni maisha aliyochagua kuishi. Tuheshimu choices za watu, hata wewe upo huru kuchagua life style utakayo.isingekuwa ujinga wake , le mutuz leo angekuwa na cheo kikubwa hapa nchini, kwanza amesoma, pili ana jiba kubwa ,tatu ukimskia anaongea unaweza kujuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana ki akili, ila hajachelwa akibadilika hata sasa anaweza kufaidika
Nyie bado hamjamwelewa Magufuli,.... Rais anamfahamu vizuri sana huyo dada... Hata toka akiwa mdogo..... Anafahamu vizuri babaake ni former PM wa nchi hii, na hata pension ya mzee wake pamoja na ulinzi anapewa..., huyo dada ni type moja na akina nape ambao wamekua chini ya uangalizi wa CCM.... Chama kimehangaika kwa sehemu kubwa na future zao walizo nazo, hata baake ni shaidi.. Hizo nafasi hawakuzipata hivi.... CCM ndio ilikuwa grooming pool kwaajili Yao.Nahisi mzee Kati ya aliowatumbua huyu ana m-pain Hadi leo yaani inamuuma sana [emoji848].
Nahisi labda alitaka huyo mama achezee msoto kitaa kwa kukosa kazi ili aje alambe miguu lakini naona huyo mama wa kigogo kakaza so mzee anakuwa frustrated (Kama anavyosemaga Yuko frustrated tumuombee)
Ndio maana Kama sio Mara ya tatu Basi ya nne Sasa still anamuongela akiwa podium ana address
Au Kuna .......maza ka............mzee......[emoji3166](najiwazia tu)
Maana sio kwa kichambo anachopewa huyo mama[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kishapita umri wa kustaafu??isingekuwa ujinga wake , le mutuz leo angekuwa na cheo kikubwa hapa nchini, kwanza amesoma, pili ana jiba kubwa ,tatu ukimskia anaongea unaweza kujuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana ki akili, ila hajachelwa akibadilika hata sasa anaweza kufaidika
Jana baada ya JPM kumchamba binti wa kigogo sio kigogo 2014, Mwelentuli Malecela ndio kwanza kamuongezea umaarufu huko Twitter.
Kwa siku moja tu ya jana followers wake wameongezeka kutoka 40,000 hadi 52,000.
Ombi langu mh. JPM wewe ni mtu mkubwa acha kupoteza muda kuchambana na wanawake.
Ona sasa umemuongezea umaarufu badala ya kumpunguzia.
Unaamini kabisa Lemutuz amesoma?isingekuwa ujinga wake , le mutuz leo angekuwa na cheo kikubwa hapa nchini, kwanza amesoma, pili ana jiba kubwa ,tatu ukimskia anaongea unaweza kujuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana ki akili, ila hajachelwa akibadilika hata sasa anaweza kufaidika