TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

Mkuu Mwaikibaki , asante kuni tag, it's so sad!.
Dr. Mwele ananihusu sana, kwanza nimesoma nae Primary, yeye alitangulia darasa moja, mimi nikisoma Class moja na mdogo wake, Mwendwa (Jaji). Kisha tukakutana Tambaza yeye
A-Level mimi O-Level, kisha mimi nikaja kuwa MC wa harusi yake!. Hivyo msiba huu umenigusa sana !.
Pole sana familia ya Mzee Malecela na mwana JF mwenzetu Mkuu william Malecela.
RIP Dr. Mwele Malecela.
P
Pole sana Kaka Pasco!
Apumzike kwa amani Dr. Mwele
 
Wakuamkie wakati mtu mwenyewe ulikuwa tayari kumuangamiza mwenzio kwa sababu ya kuwafurahisha watawala madikteta
Mkuu JembeKillo , mimi ni muumini mkubwa wa kitu kinachoitwa karma, ukimuangamiza mwenzio, karma ya maangamizi itakurudia na wewe itakuangamiza. Hivyo kama ni kweli mimi nimemuangamiza mwenzagu, then sibiria kushuhudia maangamizi yangu, na malipo ya karma ni hapa hapa duniani!.
P
 
Its very true, tumesoma shule moja na watoto wa rais, Makamo, Waziri Mkuu, mawaziri na walikuwa just like ordinary people, nothing special. Siku hizi.... Watoto wengine wote wa Mzee Malecela, with exception ya yule KB,
they are always down to earth.

P
KB ndio yupi huyo mkuu?
 
Mungu katuficha mengi wakati tunasaga meno chato kuna wengine walikuwa bar wakisherekea.

Dah mtari mmoja kwenye biblia, ecclesiastes chp 3. Time for everything, ukiusoma wote 3-10 utakutana na maneno wakati wa kulia, wakati wa kucheka.

Mungu umetuficha mengi.nakuomba mungu baba nisiwe na kiburi, nikuamini na kukuheshimu.
Lakini hata huyo mliokua mnamlilia huko Chato alizuia Lissu asifanyiwe maombi nae aliwaza hatakufa?
 
Hivi unaanzaje kufurahia kufa kwa binadamu mwenzako? Una guarantee na Mungu utaishi milele! Hii kasumba mbaya sana sijui tumeirithi kwa nani!!
 
Pole sana kuna cancer ukigundua mapema zina zaidi ya 90< kupona mfano tezi dume mheshimiwa kikwete na mzee wangu waliwahi wakatolewa tezi dume bila hivyo ingekuwa ngumu.

Cancer ya maziwa na tumbo nayo ukifanya screening mapema inasaidia sana. Kuna tofauti sana na cancer ya stage 1 na cancer ya stage 3 au 4. Na mimi sisemi kwa hisia kuna data za kuthibitisha haya. Kosa tutakalo fanya ni kusema stage 1 and stage 3 au 4 ni sawa.
Mzee wako alitolewa tezi dume, ilikuwa na vimelea vya cancer? Sio kila tezi dume ikivimba inakuwa na cancer, lakini kama tezi imeshavimba na ina vimelea vya cancer na mtu akachelewa tiba...chances za surviving ni negligible mkuu.
 
No sijuani na kila mtu, ila kwa nature ya kazi yangu ya uandishi wa habari Tanzania ndani ya miaka 30 newsroom, nimekutana na wengi ikiwemo kuwahoji marais wote 6 wa Tanzania, tukianzia kwa Nyerere, hivyo nawajua watu wengi sio kwa kusoma nao bali kukutana nao.
P
We si spy mzee baba paskali

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
We si spy mzee baba paskali

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ila kwa miaka 30 ya kazi yako yaani toka mwaka 1991 au 1992 Nyerere hakuwa rais maana alistaafu 1985. Labda ulimhoji akiwa amestaafu na hana wadhifa serikalini, vinginevyo unatuongopea tu hapa kutaka ujiko iliuonekane na wewe ni maarufu. Hebu weka rekodi zako vizuri, ulimhoji Baba wa Taifa akiwa na wadhifa gani wakati huo. Halafu ulisema ulikuwa darasa moja nyuma ya marehemu Dr Mwele, mara unasema alipokuwa Tambaza Form Five wewe ikuwa Form Three. Mimi nidhani kama mlikuwa mnapishana darasa moja toka Primary basi wakati yeye akiwa Form Five, wewe ungekuwa Form Four! Najua kweli ulikulia kwa Mzee Kasanga yule wa mikocheni na ulisoma Tambaza na akina Edwin Kasanga, na ukaanza kazi RTD mkiwa mnaishi nyumba moja ya kupanga na Aboubakary Liongo. Mengine hapa unatuchanganya tu maana mimi nakufaamu sanaaa! Ulilelewa kama mtoto yatima na mzee Kasanga wa Mikocheni mkiwa mnaishi na akina Edwin Kasanga, Isaack Kasanga, Dereck Kasanga, Harieth Kassanga na Lucy Kasanga.
 
Mkuu Mwaikibaki , asante kuni tag, it's so sad!.

Dr. Mwele ananihusu sana, kwanza nimesoma nae Primary, yeye alitangulia darasa moja, mimi nikisoma Class moja na mdogo wake, Mwendwa (Jaji). Kisha tukakutana Tambaza yeye.

A-Level mimi O-Level, kisha mimi nikaja kuwa MC wa harusi yake!. Hivyo msiba huu umenigusa sana!.

Pole sana familia ya Mzee Malecela na mwana JF mwenzetu Mkuu william Malecela.

RIP Dr. Mwele Malecela.
P
Utakuwa umesoma na Seche
 
Mkuu JembeKillo , mimi ni muumini mkubwa wa kitu kinachoitwa karma, ukimuangamiza mwenzio, karma ya maangamizi itakurudia na wewe itakuangamiza. Hivyo kama ni kweli mimi nimemuangamiza mwenzagu, then sibiria kushuhudia maangamizi yangu, na malipo ya karma ni hapa hapa duniani!.
P
Ila kwa miaka 30 ya kazi yako yaani toka mwaka 1991 au 1992 Nyerere hakuwa rais maana alistaafu 1985. Labda ulimhoji akiwa amestaafu na hana wadhifa serikalini, vinginevyo unatuongopea tu hapa kutaka ujiko iliuonekane na wewe ni maarufu. Hebu weka rekodi zako vizuri, ulimhoji Baba wa Taifa akiwa na wadhifa gani wakati huo. Halafu ulisema ulikuwa darasa moja nyuma ya marehemu Dr Mwele, mara unasema alipokuwa Tambaza Form Five wewe ikuwa Form Three. Mimi nidhani kama mlikuwa mnapishana darasa moja toka Primary basi wakati yeye akiwa Form Five, wewe ungekuwa Form Four! Najua kweli ulikulia kwa Mzee Kasanga yule wa mikocheni na ulisoma Tambaza na akina Edwin Kasanga, na ukaanza kazi RTD mkiwa mnaishi nyumba moja ya kupanga na Aboubakary Liongo. Mengine hapa unatuchanganya tu maana mimi nakufaamu sanaaa! Ulilelewa kama mtoto yatima na mzee Kasanga wa Mikocheni mkiwa mnaishi na akina Edwin Kasanga, Isaack Kasanga, Dereck Kasanga, Harieth Kassanga na Lucy Kasanga.
 
Senyagwa ndio wa kwanza kwao, Mwele ni wa pili, Mwendwa ni wa tatu, mwendwa ndio darasa moja na mimi, Ippy ni wa mwisho. Tukiwa primary alitutangulia, Mimi nimejiunga Tambaza form 1, Senyagwa yuko form V - PCM. Nikiwa form III, Mwele akaja Tambaza PCB.
P
Umemwacha Seche hapo kabla ya Mwendwa na huyo ndio uliuefuatana naye darasa
 
Back
Top Bottom