Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Msiba huu ukiisha tutarudi hapa. InshaallahYes 5 grand...!. Kwa lugha yetu adhimu, mimi ni baba wa watoto 8, kati ya watoto hao, kumezaliwa wajukuu 5!. Faza of 8 na Babu of 5!.
Kuna madogo kibao humu wangepaswa kuniamkia ama Shikamoo Baba ama Shikamoo Babu.
P