TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

Kwahiyo kurud salama ndio akawa jasus mbobezi?? Wabongo wakikupenda aisee vyeo vyote watakupa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sikutaka kueleza kiundani,kwa nn alitumwa kule ,nn kilimkuta akiwa live na idd Amin,alikaa siku 5 akiwa bado huko Uganda .ni stor ndefu ,nimefupisha tu mkuu.kwenda kwa hasimu wako ambae mmekamiana kivita ,na ukamfanya adui akufurahie na kukupokea na kukuzungusha mjini mkiwa wawil tu na walinzi wachache ,halafu akushushe hadharani na kukukubali mbele ya raia wake,sio kitu kidogo. unaambiwa Amin alipokuwa na malecela ikulu kwake ,alimuimba watoke yy na malecela tu,John alijua jamaa anakwenda kumaliza kazi,Amin aliwasha gari ikagoma kuwaka,akachukua ya pil ikagoma pia ,hapo John alishukuru izmegoma,lkn ghafra mlinzi akasogeza nyingine ikakubali kuwaka wakaondoka .
 
mm mwenyewe adui yangu ,akifeli najiskiaga burudani!!
 
Mwele alikuwa ni mwajiriwa, amefariki akiwa katika kituo chake cha kazi!! Hapo mwajiri ndiye anawajibika kusafirisha na gharama za maziko. Raha ya kuajiriwa
Umuuombee afya njema .
 
Sifa nyingine za Mzee Sigwemisi ni graduate wa Cambridge, moja ya vyuo vikuu vichache bora duniani.

..hili linahitaji uchunguzi zaidi.

..zipo taarifa kwamba alisoma na kuhitimu India.

..Cambridge walikwenda kwa short course kama maandalizi ya kuja kushika nafasi mbalimbali baada ya uhuru wa Tanganyika.
 
Tumempoteza mwana sayansi mwenye viwango vya kimataifa..
Na ni wachache mno kutoka nchi ya utopoloni...
Na alibezwa na yule mwenye phd feki ya utopolo ....
R.I.P Clinical Scientist...
 
Tuwaombee wooote waliofiwa ikiwemo ndugu wa marehemu dokta Mwele
 
Dr mwele ametangulia kwa Mungu ila amemuacha baba ake hapa duniani .Wanasema usiombe mzazi azike mtoto .Mzee malecela alikuwa na Mtoto wake Dr mwele mpaka alipofariki .Mungu akiamua ameamua .Amen
Mhh...Malechela yupo Dar anasuniri mwili,na alisema,mwenyewe kuwa waliopo hiko ni wanawe ....na akaeleza,kuwa wanapigiana simu na WHO ,Geneva ,kuhusu taratibu ...au Sea View siku hizi ipo Geneva!?
 
Kweli awamu ya kwanza na ya nne zilijua kubinya fikra za watanzania na kujiona wao ni miungu.
 
Hata yeye ni Mzee mwenye akili sana, ukimuondoa Nyerere Malecela ni mtu ninayemkubali sana,
Ni yeye na SAS Ndio walifaa sana kuwa Marais wa Tanzania baada ya Nyerere.
Kwanini unasema hivi? Huyu si alikataliwa na Nyereere
 
Pole mzee Malecela. Ila huyu mzee alimmaindigi Lowasa akiwa kijana baada ya kumuibia kwenye deal walifanya kadhia iyo akaiweka moyoni hadi kijana wake naye lemutuz alikuwa nayo chuki kwa Lowasa...
Ngoja Pascal Mayalla atupe ufafanuzi. Ninachokumbuka ni kwamba le mutuz alikuwa upande wa lowasa. Alipokatwa akalaum saana kisha baadae akaanza kumsapot the late magu
 
Sio kweli, amefariki na miaka 59, tarehe 26 March 2022 angeanza mwaka wake wa 60.
Miaka 59 angefikisha 26 March 2022. Wewe ukizaliwa tarehe 31 March 2000 ikifika tarehe 10 February 2001 utasema una umri gani? Utakuwa umeshafikisha mwaka 1?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…