Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Mzee Malecela alijaaliwa watoto wenye akili sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhabeshi unajikakamua na lugha ya queenWe are praying for him to get well soon
Ndio hivyo first born Senyangwa alikufa akiwa udsm kichwa kweli,akaja cathe,ippi,kuna mwingine binti,sasa huyu mwele ,watoto watano!!!!!!,Mungu amtie nguvu plus mkewe wa ndoa,
Samahani baba nilipitiwaTumia lugha ya heshima kwa wazazi wako kuwa Dingi ndio alikuwa anafukuzia, hatimaye akamtokea, akakubaliwa, taratibu zikafutwa ndipo na wewe ukaletwa duniani.
P
Mzee mwenyewe ni kichwa hasa usimchukulie poa,hata lemutuz ni kichwa sema bange tuMzee Malecela alijaaliwa watoto wenye akili sana.
Asante Nakadori , kiukweli najisikia raha sana kuitwa Baba na hawa madogo humu wa umri wa kuwazaa. Asante.Samahani baba nilipitiwa
It's true naunga mkono hoja, ila sii wengi wanaomjua Le Mutus kwa karibu, ni kichwa mbaya!, hata huko kuonekana kama bangi, ndio kipaji chenyewe, lakini Le Mutuz mwenyewe in reality, sio tuu havuti bangi, bali havuti hata sigara, na sio mlevi kabisa!, hanywi pombe hivyo hana ulevi wa pombe, na ule ulevi mwingine wa ma babez, naomba huu nisiuzungumzie kulinda his right to privacy, ila ni mtu poa sana.Yeye mwenyewe ni kichwa hasa usimchukulie poa,hata lemutuz ni kichwa sema bange tu
Usaliti wa wazi kabisa[emoji2]Asante sana sumbai , Mzee Mayalla (RIP) ni Msukuma aliyeoa Uchaggani, na both walikuwa ofisi moja. Hizi mixed tribe marriages ndizo zilizoua kabisa ule ukabila m baya wa Tanzania. Kaskazini kulimfanya dingi ajanjaruke kidogo na kumpunguza ushamba wa Kisukuma, hivyo watoto wote tumezaliwa mjini, tumekulia mjini, tumesomea mjini, hivyo kujenga kada mpya ya Wasukuma wajanja wa mjini.
Hata yule "jamaa yetu", Brother wangu yule, alikuwa na mambo ya kishamba sana, nikajitahidi sana kumshauri, mambo mengi, likiwemo hili, Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? na hili Imeshika kasi: Tuendelee Ushujaa wa "Ka-Corona, tusitishane, tuchape kazi" tukiteketea; au tubadili msimamo na tusitisishe Mikusanyiko tuokoke?
na hiliHaya mambo ya kufanya siri na Mficha maradhi, matokeo sote tunayajua, mwisho wa siku, ndio kama vile, lile dubwana likala kichwa!.Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!
Wanabodi, Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni Rais wa JMT Waziri Mkuu Waziri wa Afya Msemaji Mkuu wa Serikali Hivi wajameni hii siyo taarifa ya status ya ugonjwa wa Corona na wala sio update ya Corona, hili ni angalizo la...www.jamiiforums.com
P
Sawasawa..It's true naunga mkono hoja, ila sii wengi wanaomjua Le Mutus kwa karibu, ni kichwa mbaya!, hata huko kuonekana kama bangi, ndio kipaji chenyewe, lakini Le Mutuz mwenyewe in reality, sio tuu havuti bangi, bali havuti hata sigara, na sio mlevi kabisa!, hanywi pombe hivyo hana ulevi wa pombe, na ule ulevi mwingine wa ma babez, naomba huu nisiuzungumzie kulinda his right to privacy, ila ni mtu poa sana.
P
It's true nikiwa mdogo nilikuwa nakuja sana Railway Gerezani, Mzee Kafwimbi (RIP), ni Baba Mkubwa. Enzi hizo nilikuwa primary, basi na wewe ni wa longi!. Utakuwa ni wa 70s, mimi ni wa 60s.
P
Basi kama unamfaham Rehema basi tulikuwa darasa moja vipi unaweza kujua classmates wetu wengine wako wapi Sasa hivi Mwanaidi Schmidt, Mwajuma Brooks, Tatu Waters, Mwamvua Maguire na Namsifu Cummings
Kabisaa,kuna siku alikuja changanyikeni kwenye msiba noah yake ikapata pancha,nikamsaidia kufix tyre mwisho wa siku akataka kunipa elfu kumi nikakataa.tulipiga story kama tunajuana kitambo.It's true naunga mkono hoja, ila sii wengi wanaomjua Le Mutus kwa karibu, ni kichwa mbaya!, hata huko kuonekana kama bangi, ndio kipaji chenyewe, lakini Le Mutuz mwenyewe in reality, sio tuu havuti bangi, bali havuti hata sigara, na sio mlevi kabisa!, hanywi pombe hivyo hana ulevi wa pombe, na ule ulevi mwingine wa ma babez, naomba huu nisiuzungumzie kulinda his right to privacy, ila ni mtu poa sana.
P
Hii hesabu ya wap jombi. Hyu hajafikisha 59 ila alikuwa anaelekea. Ni sawa na hesabu za decimal. 2.8 haiwez kuwa 3 neverSio kweli, amefariki na miaka 59, tarehe 26 March 2022 angeanza mwaka wake wa 60.
Hata mimi watoto wangu wote 8, primary wamesoma Olympio.Shule gani hiyo Mkuu , Primary nilisoma. olyimpio nikasoma tuition kariakoo
.....Hadi tarehe 26/03/1964 alikuwa amehitimisha mwaka moja, sasa endelea na hesabu utapata jibu. Hesabu za miaka zinasumbua wengi na hauko peke yako.Hii hesabu ya wap jombi. Hyu hajafikisha 59 ila alikuwa anaelekea. Ni sawa na hesabu za decimal. 2.8 haiwez kuwa 3 never
Dah!...vipi wewe umejitahidi kuwaweka pamoja watoto wako?1,2, 5,6 ni RIP. 4 ni Jaji ila pia ana changamoto. Enzi za udogoni LE hakuwahi kuishi pale. Wazee wetu wa Kiafrika ndio zetu!. Mimi mwenyewe kuna ndugu zangu nimekuja kuwajulia msibani kwa Dingi. Hivyo anaweza kuwa na wengine besides wale wa home niliocheza nao udogoni.
P
Hauna mtoto wa kike ambaye amefikia umri wa kuolewa....upate mkwe hapa....natanguliza shukraniHata mimi watoto wangu wote 8, primary wamesoma Olympio.
P
Hata yeye ni Mzee mwenye akili sana, ukimuondoa Nyerere Malecela ni mtu ninayemkubali sana,Mzee Malecela alijaaliwa watoto wenye akili sana.