TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

Salamu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Naomba kutoa pole nyingi kwa familia ya Dr Mwele Malecela,madaktari wa Afya ya Jamii,umoja wa madaktari wanawake Tanzania na mikoa iliyoathirika kwa magonjwa yasiyopewa kipaumbele.
Kuna mikoa ilisifika sana kwa mabusha mfano Tanga,Dar na Pwani lakini kwa sasa sifa hiyo imeondoka...
Haijaondoka hivi hivi bali kwa juhudi za wanafamilia wa afya ya jamii wakiongozwa na Dr Mwele Malecela na kampeni yake kubwa ya kutokomeza matende na mabusha.
Hili pekee kwangu linatosha kumpa heshima ya kipekee Dr Mwele Malecela nchini Tanzania na katika viunga vya dunia ikiwemo shirika la Afya duniani.

RiP Dr Mwele Malecela....Wakazi wa Uzunguni Arusha Tutakumiss!
Sasa unataka tuyape kipaumbele wakati hayapo Ni ya kutunga tu ili watu wajipigie hela. Mfano zika ambayo haijawi kuwepo Tanzania lakini ikalazimishwa itangazwe hivyohivyo ili watu wapige hela mwamba akashtukia.

Kwanza kimsingi magonjwa hayapaswi kugongewa debe mana ni disaster na hivyo tunayaombea yasiwepo kabisa.
Ni sawa baadhi ya makanisa eti wanafanya advertisement wakati ile Ni service tu mtu anapaswa aende yeye mwenyewe siyo atafutiwe matatizo wakati yeye hayaoni.
 
Salamu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Naomba kutoa pole nyingi kwa familia ya Dr Mwele Malecela,madaktari wa Afya ya Jamii,umoja wa madaktari wanawake Tanzania na mikoa iliyoathirika kwa magonjwa yasiyopewa kipaumbele.
Kuna mikoa ilisifika sana kwa mabusha mfano Tanga,Dar na Pwani lakini kwa sasa sifa hiyo imeondoka...
Haijaondoka hivi hivi bali kwa juhudi za wanafamilia wa afya ya jamii wakiongozwa na Dr Mwele Malecela na kampeni yake kubwa ya kutokomeza matende na mabusha.
Hili pekee kwangu linatosha kumpa heshima ya kipekee Dr Mwele Malecela nchini Tanzania na katika viunga vya dunia ikiwemo shirika la Afya duniani.

RiP Dr Mwele Malecela....Wakazi wa Uzunguni Arusha Tutakumiss!
Kwani nini kimetokea tena?
 
😢😢😢😢😢
Sikujua kama ni mkubwa hivyo , nilisoma na ndugu zako wakina Rehema kama nakumbuka vizuri walinizidi madarasa matatu walikua wanakaa nyumba za Railway ukivuka Taa za Kamata Kariakoo nilishawai kukuona pale nikiwa mdogo
Kumbe wewe ni Baba na Babu na sio Kaka
It's true nikiwa mdogo nilikuwa nakuja sana Railway Gerezani, Mzee Kafwimbi (RIP), ni Baba Mkubwa. Enzi hizo nilikuwa primary, basi na wewe ni wa longi!. Utakuwa ni wa 70s, mimi ni wa 60s.
P
 
1,2 na 6 ndio wameshatangulia, sio?
Pamoja na Le Mutuz, Mzee Malecela alikuwa na watoto 7 tu ama kuna wengine?
1,2, 5,6 ni RIP. 4 ni Jaji ila pia ana changamoto. Enzi za udogoni LE hakuwahi kuishi pale. Wazee wetu wa Kiafrika ndio zetu!. Mimi mwenyewe kuna ndugu zangu nimekuja kuwajulia msibani kwa Dingi. Hivyo anaweza kuwa na wengine besides wale wa home niliocheza nao udogoni.
P
 
😢😢😢😢😢
Sikujua kama ni mkubwa hivyo , nilisoma na ndugu zako wakina Rehema kama nakumbuka vizuri walinizidi madarasa matatu walikua wanakaa nyumba za Railway ukivuka Taa za Kamata Kariakoo nilishawai kukuona pale nikiwa mdogo
Kumbe wewe ni Baba na Babu na sio Kaka
Basi kama unamfaham Rehema basi tulikuwa darasa moja vipi unaweza kujua classmates wetu wengine wako wapi Sasa hivi Mwanaidi Schmidt, Mwajuma Brooks, Tatu Waters, Mwamvua Maguire na Namsifu Cummings?
 
1,2, 5,6 ni RIP. 4 ni Jaji ila pia ana changamoto. Enzi za udogoni LE hakuwahi kuishi pale. Wazee wetu wa Kiafrika ndio zetu!. Mimi mwenyewe kuna ndugu zangu nimekuja kuwajulia msibani kwa Dingi. Hivyo anaweza kuwa na wengine besides wale wa home niliocheza nao udogoni.
P
4 anachangamoto ya nini?
 
Tumia lugha ya heshima kwa wazazi wako kuwa Dingi ndio alikuwa anafukuzia, hatimaye akamtokea, akakubaliwa, taratibu zikafutwa ndipo na wewe ukaletwa duniani.
P
Vile vile pole saana kaka paskali kwa msiba wa mama.
Wewe ni msukuma uliye changanya na kaskazini?
 
Vile vile pole saana kaka paskali kwa msiba wa mama.
Wewe ni msukuma uliye changanya na kaskazini?
Asante sana sumbai , Mzee Mayalla (RIP) ni Msukuma aliyeoa Uchaggani, na both walikuwa ofisi moja. Hizi mixed tribe marriages ndizo zilizoua kabisa ule ukabila m baya wa Tanzania. Kaskazini kulimfanya dingi ajanjaruke kidogo na kumpunguza ushamba wa Kisukuma, hivyo watoto wote tumezaliwa mjini, tumekulia mjini, tumesomea mjini, hivyo kujenga kada mpya ya Wasukuma wajanja wa mjini.

Hata yule "jamaa yetu", Brother wangu yule, alikuwa na mambo ya kishamba sana, nikajitahidi sana kumshauri, mambo mengi, likiwemo hili, Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? na hili Imeshika kasi: Tuendelee Ushujaa wa "Ka-Corona, tusitishane, tuchape kazi" tukiteketea; au tubadili msimamo na tusitisishe Mikusanyiko tuokoke?
na hili Haya mambo ya kufanya siri na Mficha maradhi, matokeo sote tunayajua, mwisho wa siku, ndio kama vile, lile dubwana likala kichwa!.
P
 
Da mzee Malecela kaona mengi sana, Mungu ampe nguvu, amezika watoto wengi tena vichwa hasa. Nadhani kabaki lemutuz na wachache
Duh,serious!?
Pole yake masikini,badala watt wawazike wazazi imekuwa vice versa
 
Back
Top Bottom