TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

R.I.P.
Hata mtu awe mwema ama mbaya lazima afe. Mara tu unapozaliwa unaanza kukielekea kifo...Kifo si adhabu, ni timizo la maandiko. Unatoka mavumbini, unarudi mavumbini.. Hatujui kwanini wengine hufa vibaya ( mfano kuuwawa, na wengine hufa kitandani tu wakiwa usingizini, hivo hatuna sababu ya kucomment sana kwenye vifo vya watu. Ni fumbo kubwa sana).We are all matching towards death..No one is immune to it
 
RIP Dr Mwele Malecela. Pole Mzee John Malecela na familia nzima. Pole Rais Samia na watanzania wote. Tumepoteza kijana mfano wa kuigwa. Mtanzania aliyekuwa ngazi za juu katika Umoja wa Mataifa. Hakika tumepoteza kitu cha thamani kama Taifa. Ulale salama dada.
 
Kuna taarifa kuwa Dk Mwele Malechela,mtoto was Wazirri Mkuu Mstaafu John Malechele ameaga Dunia Leo Jioni!
Taarifa zaidi tembelea Instagram page ya Mwanae Mange Kimambi!
RIP DK
Ni mwanae kivipi?
 
View attachment 2115127
Mwele Ntuli Malecela (alizaliwa tarehe 26 Machi 1963) alikuwa mkurugenzi wa taasisi ya tafiti za kiafya Tanzania (NIMRI).

Aliwania nafasi ya mgombea wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Kuanzia Aprili 2017 Mwele Malecela amekua akifanya kazi na Shirika la Afya Duniani (WHO) upande wa Afrika kama msimamizi wa maswala ya utawala, sera na ushauri wa kidiplomasia.

Pia, soma:

1) Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela

2) Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

3) Dr. Mwele Malecela aula WHO

4) Dr. Mwelecele (aka Mwele) Malecela pamoja na Dr. Kigwangala wamechukua fomu ya kugombea Urais wa JMT
Ni taarifa ya kuhuzunisha mno hii. Pole nyingi ziwafikie wale wote wanaoguswa na msiba huu mkubwa, hasa familia yake, ndugu, jamaa na marafiki wa karibu wa Dr. M.N Malecela.
 
Ukifuata kwa undani mafundisho ya kiimani ndio unaelewa maana hasili ya siku za kuishi ni chache, hata ile miaka 70 bado ni chache hivyo unagundua kuwa maisha haya sisi tu kama maua ila tumepewa uwezo wa kutambua kuwa yanapochanua basi palepale kumbuka kunyauka kuko karibu sana!

Naangalia mtu kama huyu ana access ya dawa yoyote itakayohitajika, kipimo chochote hata kabla ya kuugua (check up), daktari aliye bora nk, lakini siku ikitimia huna budi kuondoka. Funzo kubwa la kupambana na haya madhila ni kutendea haki maisha kwa kuishi kwa tabia za kibinadamu. Kutosababisha huzuni au kujisikia vibaya kwa binadamu mwenzio, japo ni ngumu lakini ni kujaribu kadiri uwezavyo. Mfano kama mtu aliyekuwa anahusika na viroba vya koko bichi leo naye haya yanamfikia atajisikiaje?

Mungu awatie nguvu familia na hasa Mzee wetu Samuel, ukivaa viatu vyake utaelewa
 
She is very beautiful woman🥰🥰🥰
16445139023821.png
 
Apumzike kwa amani.
Amefariki.
Alikuwa anaumwa kwa muda mrefu.
Nafikiri ni zaidi ya mwezi alikuwa hospital.
Ila Mange nae jamaniiiii.
Ngoja aombeleze tutamchamba siku nyingine.
RIP DEAR SISTER
 
Rip dr mwale, pascal nimeona mange akipiga ukunga eti mama yake kafa, ni mama wa hiyari au mama mzazi? Lakini pia nikakumbuka kifo cha jpm nikamkumbuka mange.

Anyway sote njia moja
Mama yake wa kambo
 
Back
Top Bottom