The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Chawa huyuYani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Siyo nidhamu wala nini. Alikuwa hategemei kubakizwa hasa ikizingatiwa kuwa hana sifa zifaazo kuvaa viatu vya kaka Mpango. Simpo. Ukiachia hili, tangu Magufuli alipoingia madarakani, ameacha legacy nyingi mojawapo ikiwa ni kuwa na watu wanaojipendekeza na kujigonga kwake ili awasiwaangukie.Yani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Mm nadhan tumwite BIG CHAWAHuyu tumbatize jina la 'super Chawa'
Huyu ni mtalaamu na bingwa wa kucheza na biti za kinafiki....Huyu tumbatize jina la 'super Chawa'
Huyu ni mtalaamu na bingwa wa kucheza na biti za kinafiki....
Watu watafanya unafiki lkn Kwa mwigulu nchemba ni Baba Lao Kwenye hiyo sekta
Hakuna mtu ambaye sio perfect halafu awe na fikra za kimaslahi kwa watu wengi.Personal I miss Magufuli he wasn’t perfect lakini alifikiria maslahi ya wengi.
Kila nikikaa nikimkumbuka machozi yanatoka (to think siwezi kumnanga au kumsifia anymore) one of a kind.
Rest in peace shujaa, kazi ya mungu aina makosa.
Dalili ya UnafikiYani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Great Thinker I salute you mkuuuPersonal I miss Magufuli he wasn’t perfect lakini alifikiria maslahi ya wengi.
Kila nikikaa nikimkumbuka machozi yanatoka (to think siwezi kumnanga au kumsifia anymore) one of a kind.
Rest in peace shujaa, kazi ya mungu aina makosa.
Ungezikwa nae ili kuonyesha unaupendo wa kupitiliza sana kwake.Personal I miss Magufuli he wasn’t perfect lakini alifikiria maslahi ya wengi.
Kila nikikaa nikimkumbuka machozi yanatoka (to think siwezi kumnanga au kumsifia anymore) one of a kind.
Rest in peace shujaa, kazi ya mungu aina makosa.