Georgie Jr
Senior Member
- Aug 23, 2018
- 134
- 374
Super chawa pro maxHuyu tumbatize jina la 'super Chawa'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Super chawa pro maxHuyu tumbatize jina la 'super Chawa'
Yani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Yani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Wewe ungefanyaje? Alikuwa anasimama pale wizara yake inapotajwa na pia Rais analosisitiza Nini wizara ifanye.......ungekuwa wewe ungekaa tu au siyo? Acheni hizo bwana?! Maneno mengi vitendo hakunaYani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Kwakweli siwezi kukulazimisha mtazamo wangu ambao ni investment zake zinazowafikiria watu ambao leo ni watoto kesho waone fursa za kujikomboa (long story kuelezea)Hakuna mtu ambaye sio perfect halafu awe na fikra za kimaslahi kwa watu wengi.
Mama mwenyewe juzi kasema baraza la mawaziri hakureflect muungano. Sasa hapo alikuwa perfect kwa lipi?
Kutukana watu wabaki na mavi yao?
Kuita wadogo zetu vilaza?
Kubambikia watu kesi na kuwaibia fedha zao ndo kuwa na maslahi ya wengi?
Kunyang'anya watu hela kwa madai ya kukusanya kodi ndo kuwa na maslahi na wengi?
Bora nikae kimya maana kama sielwi vile.
Kweli njaa mbaya sananjaa mbaya
Ahahahaha Legacy au siyoSiyo nidhamu wala nini. Alikuwa hategemei kubakizwa hasa ikizingatiwa kuwa hana sifa zifaazo kuvaa viatu vya kaka Mpango. Simpo. Ukiachia hili, tangu Magufuli alipoingia madarakani, ameacha legacy nyingi mojawapo ikiwa ni kuwa na watu wanaojipendekeza na kujigonga kwake ili awasiwaangukie.
Kuwa na wajukuu ni baraka...hapo ulipo Bila Shaka huna mke Wala mtoto...kazi yako ni kukalia majungu tu mitandaoni....na inawezekana huna hata shughuli ya kukuingizia kipato...kuhusu Corona dah...sidhani hata unajua Corona ni niniWee mzee tulia ulee wajukuu, pia ujilinde na korona.
Nawewe ulizidisha mno nidhamu ya kumchunga MwiguluYani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Duu! Shetani ana watoto wengi!Personal I miss Magufuli he wasn’t perfect lakini alifikiria maslahi ya wengi.
Kila nikikaa nikimkumbuka machozi yanatoka (to think siwezi kumnanga au kumsifia anymore) one of a kind.
Rest in peace shujaa, kazi ya mungu aina makosa.
Nasikia Mwigulu Alisha wahi kupiga Kofi na Jiwe.Hahaha wanaogopa maza asije kuwaita ikulu akawachapa makofi kama hayati alivyokuwa anawachapa.
Hii inaitwa nidhamu ya kinafiki.Huyu jamaa ana zalilisha sana ''Wanyiramba'' wenzake wa huko Singida.Sio kwa kujikomba huko!Nidhamu ya uwoga