Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio yeye tu ni wengi hata akina Lugola wamechezea vitasa vya jamaa. Ila jamaa alikuwa mbabe dahhh 😂😂😂Nasikia Mwigulu Alisha wahi kupiga Kofi na Jiwe.
Hiyo mimi hainihusu sana,it is personal,huwezi kumzuia mtu asifanye analotaka kwa kuonyesha hisia zake.Jambo la msingi zaidi ni output,tunataka Trillioni 2,ili tuweze kuzitumia kuwaletea Watanzania maendeleo.Yani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Watu bana!Yani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Longido boyIle ndio utaratibu mkuu,
Kiongozi kama yule anapokupa maelekezo unapaswa kuonesha kuyapokea na kutii maagizo yake kwa namna kama ile kwa wanasiasa huko kwenye kada nyingine wenyewe wanafahamu wanavyofanya.
Yani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Kijana mbona umeruka kwani umechomwa wapi?Kwani akiinamisha kichwa hata mara 100 wewe binafsi inakuathiri nini?
Twapenda kuchunguza sana mambo madogo ambayo hayana impact yoyote katika maisha yetu.
Ebo, tusiwe kama mafarisayo, maana wao pia walipenda kufuatilia mambo yasiyo na tija - mapokeo ya wazee.
Mf: mtu alipotoka sokoni au sinagogini lazima anawe mikono hadi kwenye viwiko na kinyume chake mtu alihesabiwa kuwa hajanawa kabisa hata kama kanawa mikono yake!
Acheni hayo mambo yenu.
Nchemba ni Waziri wa Wizara ya Fedha mkuu,sio Afya.Ndio maana amepata uteuzi wa wizara ya afya
Makovu ni mengi sana!Personal I miss Magufuli he wasn’t perfect lakini alifikiria maslahi ya wengi.
Kila nikikaa nikimkumbuka machozi yanatoka (to think siwezi kumnanga au kumsifia anymore) one of a kind.
Rest in peace shujaa, kazi ya mungu aina makosa.
Unateseka ukiwa wapi?Yani Mama Samia Rais wa jamhuri ya muungano alipokuwa akihutubia waziri mpya wa fedha na mipango Mwigulu Nchemba mara kwa mara alikuwa akisimama na kuinamisha kichwa na kukaa. Hata wajapani kwa nidhamu hii hawana. Jamaa alizidisha sana. Mara moja tu yatosha. Nidhamu ya uwoga.
Chooni mkuu nikikata gogo. Nilishindilia na kubugia viporo vya mikate mikavu sasa hivi naisikiliziaUnateseka ukiwa wapi?
We jamaa acha utani hahahaHahaha wanaogopa maza asije kuwaita ikulu akawachapa makofi kama hayati alivyokuwa anawachapa.
Hayo matatizo yapo kwenye vichwa vyenu tu but not factual.Makovu ni mengi sana!
Mgawanyiko wa kikanda na kikabila ulikuwa mkubwa!
Ubinafsi nao ulikuwa mkubwa sana!
karibu mama Samia tibu makovu na umeanza vyema sana. Mungu anaipenda sana Tz