Umetetea ujinga tupu...!! Kazi Yao ni nini ,? Kwa hyo wapo pale kusubir kauli ya Raisi , acheni exaggeration kwenye vtu vya msingi....kwamba Raisi alikuwa amekataa aisee....Hivi unadhania suala la chanjo ni kazi rahisi tu?!!chanjo za mabusha na matende tu zimewashinda sembuse chanjo ya VIRUS?!!Hii nchi kwa sasa hadi meko atoe kauli ndio , wotee wanalalia huko!huwezi jiuliza juzi tu aliposema mambo ya mask, sasa hivi hata kwenye tv, wale wataalam wa njia tiba mbadala wameanza kuonekana tena!!kwani wameshajua kuwa sasa jamaa amekubali kuwa kuna covid19!!hapo mwanzo wote walikuwa wanaogopa!!
Nchi za baridi lakini binadam ni yule yule body temp ni 37°C
Kwani ni dawa gani hazijaanzia kwenye nchi za baridi, tuache ujuaji
Ipo hoja ndani yake SOUTH AFRIKA KUNA BARIDI AU JOTO?
Tatizo mnajifanya mnajua kila kitu. Plasmodia ni endoparasites. Anaishi popote pale ambapo mwenye nao ataishi. Ambaye haishi kwa baridi ni mbebaji wa pili wa plasmodia, yaani mbu, anopheles.Wadudu wa maradhi hutegemea hali ya nchi mfano Ulaya na marekani wadudu wa malaria hawawezi ku survive sababu ya baridi kali wanastawi maeneo ya ki tropic kwenye joto kali.Waziri yuko sahihi utafiti wameufanya kwenye maeneo yenye baridi kali ya ulaya na marekani
Nimuulize zile chanjo nyengine zinazotumika kwenye cold chain hapa nchini zilitengenezwa na ku testiwa wapi?Pale mwanasiasa anapojaribu kuingilia suala la kisayansi ili kulinda tu ugali wake.
Kwa hiyo Mwigulu anataka kutuaminisha ya kwamba yeye ana akili kuliko hao scientist?
Umekosea sana. watu wa nchi za baridi body temp zao ni minus 10. Ahaaa just kiding!Nchi za baridi lakini binadam ni yule yule body temp ni 37°C
Kwani ni dawa gani hazijaanzia kwenye nchi za baridi, tuache ujuaji
Hawa watu ni wapuuzi tu. Kwanza hawajui hata majaribio yalifanyika wapi. Wanafikiri majaribio yalifanyikia sehemu moja. Kuna nchi zenye joto kama nchi za Uarabuni? Mbona wameshanja watu wao wengi tu. Lakini huyu simshangai sana. Ndiye aliyesema tusitoe takwimu na kupewa uwaziri,.Marekani yote ni baridi? Japan je? China je? Iran jee Israel je? huko pia ni baridi?
Wangemuuliza kwanini kila chanjo yetu (TB, Pepopunda, tetanus, Surua, ndui etc.) imeletwa na mabeberu? Lini zamu yetu na sisi wa nchi za Joto kutengeneza yetu?Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.
Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Muulizeni Mwigulu, utafiti wa chanjo ya polio ilifanyikia Sudan?. Kama ni ulaya, mbona yeye na watt wake wafanyiwa chanjo hiyo?.Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.
Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Africa umeenda mbali. Marekani je? JeIpo hoja ndani yake SOUTH AFRIKA KUNA BARIDI AU JOTO?