captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 634
"Mwigulu amesema ndio maana watu 'waliotoroka' wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo"
Kwahiyo serikali inawaona wale walioenda kupata chanjo ni 'WALITOROKA'.????
Viongozi wamegeuka kama mashabiki wa mpira wa bongo pale timu yao inapokuwa imefungwa ,kila mtu anageuka kocha..
NCHI NGUMU HII...
Kwahiyo serikali inawaona wale walioenda kupata chanjo ni 'WALITOROKA'.????
Viongozi wamegeuka kama mashabiki wa mpira wa bongo pale timu yao inapokuwa imefungwa ,kila mtu anageuka kocha..
NCHI NGUMU HII...