Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?

Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?

Haha haaa....
Mkuu president alishaisemea hii. Ipo nimr watu wananunua machupa Kwa machupa.
Kuita chanjo nilikuwa natania tu, ni dawa ya maji mfano wa Ile ya Antananarivo sasa Kwa taasisi ya utafiti kama nimr badala ya kujihangaisha kutafuta chanjo yetu wenyewe wao Wana deal na tiba mbadala zaidi.
Ngoja na Mimi nikachukue chupa mbili tatu
 
Mi kikubwa napumua tu kwa kweli.....hizo siasa zenu pelekeni kidimbwi
 
Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.

Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.

Chanzo: Clouds 360

Maendeleo hayana vyama!
Za polio, ndui, tetanus etc zilifanyiwa tafiti nchi za joto?
 
Nchi za baridi lakini binadam ni yule yule body temp ni 37°C
Kwani ni dawa gani hazijaanzia kwenye nchi za baridi.. tuache ujuaji
... eti majaribio yamefanyika nchi za baridi! Kwa hiyo anataka kutuambia dawa zote tunazotumia Tanzania ambazo zimetengenezwa nchi za baridi ni matoleo maalumu kwa ajili ya nchi za joto? Kwamba, kila dawa inakuwa na matoleo angalau mawili; version ya nchi za baridi na ya nchi za joto? Tuna viongozi wa ajabu sana!
 
Hvi NIMRI wanafanya nn au nao wanajifukiza? Kwa nn maghufuli asiifute NIMR na kuwafukuza wote kazi ...mpak sa hv hawajaonyesha effort yyte ya wao nao kutafta chanjo ...wamekaa tu kusikiliza matamko ya Wana siasa
Hao NIMR ni kimeo tu.
  1. Miaka yote zaidi ya 40 ya uwepo wa NIMR, wameongeza nini katika ufahamu wa mambo ya tiba Tanzania? Ni utafiti gani waliowahi kuufanya ukaleta tija katika kupunguza au kuondoa tatizo lolote la kiafya? Jibu ni zero.
  2. Hivi kuna dawa yoyote sokoni (dawa ya maana yenye viwango stahiki, na siyo ile michanganyiko ya pilipili kichaa na tangawizi waliyoiga kutoka kwa waganga wa kienyeji) au vifaatiba hospitalini au maarifa mapya yoyote ya tiba yaliyowahi kugunduliwa na NIMR? Jibu ni hakuna.
  3. Nina jamaa zangu nimesoma nao History na English pale Mlimani, eti nao wanafanya kazi NIMR wananiambia wanaitwa "Research Scientist". Hiki ni kituko! Scientist wa history, english, kiswahili, sociology na political science anafanya nini kwenye MEDICAL research? Ingekuwa HEALTH research ningewaelewa kwa kuwa afya ni suala mtambuka lenye mambo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yanayoathiri afya, lakini medical research ni mambo ya maabara, madawa, mawodini huko wanakotibiwa wagonjwa, operations mpya mpya kama hizi za moyo na figo nk. Tunasikia huko Jakaya Kikwete institute, Benjamin Mkapa Hospital na hata MOI wakifanya innovations mpya mpya, lakini mchango wa NIMR kwenye hizi innovations uko wapi?
  4. Mkurugenzi wa NIMR ni profesa wa Marine Biology. Hii ndiyo medical research? Hakuna medical researcher nchi hii mwenye sifa ya kuwa mkurugenzi wa NIMR? Sasa marine biologist na medical research wapi na wapi? Ndio chanzo cha kwenda kudesa michanganyiko ya waganga wa kienyeji na kutuambia ni dawa za korona!
  5. Kwa ujumla NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu.
 
Hvi NIMRI wanafanya nn au nao wanajifukiza? Kwa nn maghufuli asiifute NIMR na kuwafukuza wote kazi ...mpak sa hv hawajaonyesha effort yyte ya wao nao kutafta chanjo ...wamekaa tu kusikiliza matamko ya Wana siasa
Hao NIMR ni kimeo tu.
  1. Miaka yote zaidi ya 40 ya uwepo wa NIMR, wameongeza nini katika ufahamu wa mambo ya tiba Tanzania? Ni utafiti gani waliowahi kuufanya ukaleta tija katika kupunguza au kuondoa tatizo lolote la kiafya? Jibu ni zero.
  2. Hivi kuna dawa yoyote sokoni (dawa ya maana yenye viwango stahiki, na siyo ile michanganyiko ya pilipili kichaa na tangawizi waliyoiga kutoka kwa waganga wa kienyeji) au vifaatiba hospitalini au maarifa mapya yoyote ya tiba yaliyowahi kugunduliwa na NIMR? Jibu ni hakuna.
  3. Nina jamaa zangu nimesoma nao History na English pale Mlimani, eti nao wanafanya kazi NIMR wananiambia wanaitwa "Research Scientist". Hiki ni kituko! Scientist wa history, english, kiswahili, sociology na political science anafanya nini kwenye MEDICAL research? Ingekuwa HEALTH research ningewaelewa kwa kuwa afya ni suala mtambuka lenye mambo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yanayoathiri afya, lakini medical research ni mambo ya maabara, madawa, mawodini huko wanakotibiwa wagonjwa, operations mpya mpya kama hizi za moyo na figo nk. Tunasikia huko Jakaya Kikwete institute, Benjamin Mkapa Hospital na hata MOI wakifanya innovations mpya mpya, lakini mchango wa NIMR kwenye hizi innovations uko wapi?
  4. Mkurugenzi wa NIMR ni profesa wa Marine Biology. Hii ndiyo medical research? Hakuna medical researcher nchi hii mwenye sifa ya kuwa mkurugenzi wa NIMR? Sasa marine biologist na medical research wapi na wapi? Ndio chanzo cha kwenda kudesa michanganyiko ya waganga wa kienyeji na kutuambia ni dawa za korona!
  5. Kwa ujumla NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu.
 
Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.

Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.

Chanzo: Clouds 360

Maendeleo hayana vyama!
Hapa ndio mwigulu anajiharibia kabisa.. kwa taaluma yale ya PHD anaongea umbea kama huu kwenye chombo cha habari kama clouds.


Haya mambo anatakiwa awe muungwana tuu na kumwachia waziri wa afya ayatolee majibu, yeye ajikite kwenye sheria zake huko.

Tatizo la mwigulu anautaka Urais sana na kwa mbinde, bahati mbaya kwa ujinga huu yanaweza mpata yaliyo mpata makonda.
 
Hapa ndio mwigulu anajiharibia kabisa.. kwa taaluma yale ya PHD anaongea umbea kama huu kwenye chombo cha habari kama clouds.


Haya mambo anatakiwa awe muungwana tuu na kumwachia waziri wa afya ayatolee majibu, yeye ajikite kwenye sheria zake huko.

Tatizo la mwigulu anautaka Urais sana na kwa mbinde, bahati mbaya kwa ujinga huu yanaweza mpata yaliyo mpata makonda.
Kubadili wizara kwanza!
 
Wataalam wa afya watching waongee sasa Dr wa uchumi wapi na wapi .Dr HK kwenye page yake ya IG amechambua vizuri tu kuhusu chqnjo nimemwelewa .Kumbe ukiwa ndani ya system hakini ina fubaa ukitoka wanaongea senses
 
Ipo hoja ndani yake .....
SOUTH AFRIKA KUNA BARIDI AU JOTO?
South Africa iliwakataa na ndio maana wamestop, majaribio ya kwanza watu 2000, hayakufanikiwa walipojaribu waliambukizwa wote, fatulia media au sema nikupe link.
 
Nchi za baridi lakini binadam ni yule yule body temp ni 37°C
Kwani ni dawa gani hazijaanzia kwenye nchi za baridi.. tuache ujuaji

mie nimemwelewa kuwa zeruzeru wa kizungu akija dar anakuwa sio zeruzeru tena

lakini labda niseme jambo moja kuwa inaelekea kuna watu wanajaribu kutuchonganisha kwa kuproke community ili kupima kina?
 
Wewe unajua process ya chanjo yoyote inapitia algorithm ipi mpaka ifikir kuitwa chanjo?
Nina elimu kidogo sana na virology ispokuwa chanjo mpaka WHO iipitishe huwa na mchakato mrefu kidogo maana huwa na muda wa majaribio katika maeneo mbalimbali mfano kwenye ukanda wa ikweta nk,baada ya mchakato huo ndipo matokeo jumuishi huchukuliwa kwa ajili ya tathmini kabla ya kuidhinishwa rasmi sasa hili la korona kila nchi inafanya kivyake kutokana na ubaya wa tatizo baada ya WHO kukatwa mkono na TRUMP
 
South Africa iliwakataa na ndio maana wamestop, majaribio ya kwanza watu 2000, hayakufanikiwa walipojaribu waliambukizwa wote, fatulia media au sema nikupe link.
Nimejibu kutokana na mtoa mada hapo juu isome mada kwanza>>>>
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Polio ilifanyiwa uchunguzi wapi.. Ifike kipindi tukae kimya au tufanye wenyewe hizi tafiti
 
just-when-i-think-you-cant-be-any-dumber-you-go-and-do-something-like-this-and-totally-redeem-...jpg
 
Back
Top Bottom