Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?

Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?

Hvi NIMRI wanafanya nn au nao wanajifukiza? Kwa nn maghufuli asiifute NIMR na kuwafukuza wote kazi ...mpak sa hv hawajaonyesha effort yyte ya wao nao kutafta chanjo ...wamekaa tu kusikiliza matamko ya Wana siasa
Beyond their scope...[emoji23][emoji23][emoji23] yaaani am sure hawana hata idea waanzie wapi na hakuna hata aliyewaza even for a second laba hata wajaribu kukisoma kirusi ndani ya maabara.
 
Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.

Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.

Chanzo: Clouds 360

Maendeleo hayana vyama!
Mwambie Mwigulu kuwa kinachoangaliwa ni aina ya virus na chanjo yake.
 
Joto la binadamu ni 36.9oC bila kujali yupo wapi.
Wadudu wa maradhi hutegemea hali ya nchi mfano Ulaya na marekani wadudu wa malaria hawawezi ku survive sababu ya baridi kali wanastawi maeneo ya ki tropic kwenye joto kali.Waziri yuko sahihi utafiti wameufanya kwenye maeneo yenye baridi kali ya ulaya na marekani
 
Anaongea kama mtoto mdogo alievaa pampasi ambae hajui la kufanya!Kwa hiyo kwa akili yake anafikiri kuwa wanasayansi wanaweza kutengeneza chanjo ambayo haifanyi kazi katika mazingira ya joto halafu wakurupuke na kusema kuwa hiyo chanjo ipelekwe Afrika?Hiyo ndiyo maana ya sayansi?

Yeye kikubwa alipaswa aongelee suala la tatizo la COVID-19 virus variants ambalo tayari wanasayansi wa chanjo wanalijua vizuri sana na wanajua namna ya kupambana nalo.He is a creepy asshole fool ambae anaongea kama mtoto mdogo mwenye elimu ya chekechea.Halafu hawa ndiyo viongozi tunaotegemea watuvushe?Mimi huwa najiuliza sana,how possible Taifa lenye watu zaidi ya million hamsini tunaishia kupata viongozi vichaa kila kona kuanzia pale top?!
Aibu naona mimi....ukute tunadeal na kiongozi ambae haelewi chochote kuhusu ugonjwa matokeo anaropoka tu. [emoji57][emoji57][emoji57]
 
Anajua factor zinazo tumika wakati wa majaribio au ana ongea tuu maadam yuko mbele ya kamera?
Kuna mambo mengine wana siasa mnatakiwa kukaa kimya.
By the way hakuna chanjo inayo hifadhiwa kwenye moto. Zote huhifadhiwa kwenye fridge..
na zote hufanyia kazi kwenye baridi pia.
 
Mwigulu ni aheri angeficha ujinga wake. Hizo chanjo nyingine, Dar, Njombe, Arusha, Kenya, kila mahali Wana chanjo yao ya polio, surua au tetenasi?
 
Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.

Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.

Chanzo: Clouds 360

Maendeleo hayana vyama!
Kwenye hizo nchi za baridi binadamu joto la mwili ni 30'? Chanjo ya kifua kikuu imetengenezwa Tanga?
Huyu kasoma sheria na uchumi, sasa huku kwenye tiba kaingiaje au ilikuwa topic kwenye uchumi?
 
Shida kubwa ya nchi zetu ni pale wanasiasa wanapoamua kujifanya ni wataalam wa kila kitu na kuwapuuza wataalam, huku wataalam nao wakiamua kujitoa ufahamu kulinda ulaji wao.

Mambo mengine ni aibu kabisa kila mtu sasa anajifanya daktari ilimradi apate la kuongea kumuunga mkono JPM.
Kwa kweli inasikitisha! Wazungu walikufa sana na Polio hadi walipogundua chanjo ambayo imetumika hadi wakati huku. Hii ilikuwa ni Marekani 1955. Labda wakati huo nchi za wazungu zilikuwa hazijaanza kuwa na baridi!
 
Wadudu wa maradhi hutegemea hali ya nchi mfano Ulaya na marekani wadudu wa malaria hawawezi ku survive sababu ya baridi kali wanastawi maeneo ya ki tropic kwenye joto kali.Waziri yuko sahihi utafiti wameufanya kwenye maeneo yenye baridi kali ya ulaya na marekani
Bahati mbaya virus wa corona yupo katika nchi za joto na Baridi, tofauti na virus wa malaria.
 
Nyie mn
Kwenye hil la Corona kila mtu kageuka Daktari, hili ndilo linatuponza Watanzania.
Nyie mnaotangaza watu kufa na corona wakati sio madakitalihuwa mmepewa idhini na nani?
Na huwa mmetumia vipimo gani wakati nyie wenyeqe hata kulipia kipimo hamuwezi?
 
Hii ni chanjo ya kwanza kujaribiwa eneo lenye baridi?

Anayemhoji ameuliza hili swali au la?
Anayemuhoji mwenyewe anavizia udc,udas na uded...
Hawezi uliza swali lenye kumoutshine waziri.
 
Bahati mbaya virus wa corona yupo katika nchi za joto na Baridi, tofauti na virus wa malaria.
sasa mbona sehemu za baridi ndio wanaongoza kufa kwa Corona kuliko sehemu za joto?
 
Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.

Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.

Chanzo: Clouds 360

Maendeleo hayana vyama!
Aache ukilaza huyo Zinjanthropus. Awe anauliza wanaojua kabla hajahorojoka. Aibu nimeona mimi sasa dah!

Vaccination experiments zinakuwa subjected to different weather prototypes kabla hazijatumika kwenye climate husika!
 
Shida kubwa ya nchi zetu ni pale wanasiasa wanapoamua kujifanya ni wataalam wa kila kitu na kuwapuuza wataalam, huku wataalam nao wakiamua kujitoa ufahamu kulinda ulaji wao.

Mambo mengine ni aibu kabisa kila mtu sasa anajifanya daktari ilimradi apate la kuongea kumuunga mkono JPM.
Unajuaje kama yeye kapewa taarifa na madakitari ndo maana kaongea, au ndio mnaitwa wa kukurupuka?

Mnalaumu bila kutumia akili zenu.
Nyie mnatangaza watu wamekufa na korona sasa hiyo taarifa huwa mnatoa nyie ni madakitari?
 
Back
Top Bottom