Anaongea kama mtoto mdogo alievaa pampasi ambae hajui la kufanya!Kwa hiyo kwa akili yake anafikiri kuwa wanasayansi wanaweza kutengeneza chanjo ambayo haifanyi kazi katika mazingira ya joto halafu wakurupuke na kusema kuwa hiyo chanjo ipelekwe Afrika?Hiyo ndiyo maana ya sayansi?
Yeye kikubwa alipaswa aongelee suala la tatizo la COVID-19 virus variants ambalo tayari wanasayansi wa chanjo wanalijua vizuri sana na wanajua namna ya kupambana nalo.He is a creepy asshole fool ambae anaongea kama mtoto mdogo mwenye elimu ya chekechea.Halafu hawa ndiyo viongozi tunaotegemea watuvushe?Mimi huwa najiuliza sana,how possible Taifa lenye watu zaidi ya million hamsini tunaishia kupata viongozi vichaa kila kona kuanzia pale top?!