Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
why that quest?Chanjo ya Ndui ilifanyiwa majaribio Dar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
why that quest?Chanjo ya Ndui ilifanyiwa majaribio Dar?
**** na wewe una assume? Nilidhani labda una uhakikaUnajuaje kama yeye kapewa taarifa na madakitari ndo maana kaongea, au ndio mnaitwa wa kukurupuka?
Mnalaumu bila kutumia akili zenu.
Nyie mnatangaza watu wamekufa na korona sasa hiyo taarifa huwa mnatoa nyie ni madakitari?
Ndiyo sababu majaribio ya chanjo yameanzia huko, endapo majaribio hayo yatafanikiwa basi huku kwenye joto virus vitaondolewa kwa urahisi kama kumsukuma mlevi!sasa mbona sehemu za baridi ndio wanaongoza kufa kwa Corona kuliko sehemu za joto?
Yeye ni.kiongozi anweza kupewa taarifa, sasa nyie taarifa huwa mnapewa na nani?**** na wewe una assume? Nilidhani labda una uhakika
Kwani Mwigulu ni msemaji wa serikali, mbona unatoa povu kama kichaa!Unajuaje kama yeye kapewa taarifa na madakitari ndo maana kaongea, au ndio mnaitwa wa kukurupuka?
Mnalaumu bila kutumia akili zenu.
Nyie mnatangaza watu wamekufa na korona sasa hiyo taarifa huwa mnatoa nyie ni madakitari?
Nadhani sio sahihi.Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.
Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Nadhani sio sahihi. Hizi chanjo uazijatengenezwa kwaajili ya watu wanaoishi maeneo ya baridi tuu, bali zinatakiwa kuhifadhiwa ktk hali ya ubaridi. Hivyo kama tunaweza kuzihifadhi ktk hali ya ubaridi unaotakiwa hakuna tatizo.Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.
Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Hoja ipingwe kwa hoja ,acha siasaKwenye hil la Corona kila mtu kageuka Daktari, hili ndilo linatuponza Watanzania.
Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto. Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo. Chanzo: Clouds 360 Maendeleo hayana vyama!
Sasa huyu naye ni Ph D holder wa mataahira. Ni chanjo gani kati ya zile zinazotumika hapa Tanzania zilijaribiwa hapa? Simshangai Sana kwani alishaapa bungeni kuwa ana ushahidi wa kuaminika dhidi ya Alfred Lwakatare na atautoa hata duniani na mbinguni tena mbele ya bunge. Na hatimaye mahakama ikaitupilia mbali hiyo kesi kwa kukosekana kwa ushahidi ili hali Huyu Tutusa Mwigulu akiwa yupo na ushahidi duniani na mbinguniHuyu naye kadanganywa, huko penyewe chanjo haitoshi ndio maana wanaanza na watu muhimu kwanza tena wananchi wao. Sasa watajuaje ubora wa chanjo bila jaribisha kwetu nchi za joto?
Ha ha you nailed it man.Nchi za baridi lakini binadam ni yule yule body temp ni 37°C
Kwani ni dawa gani hazijaanzia kwenye nchi za baridi, tuache ujuaji
Bado una assume tu kuwa kwasababu ni kiongozi anaweza (hii ni assumption)Yeye ni.kiongozi anweza kupewa taarifa, sasa nyie taarifa huwa mnapewa na nani?
MWIGULUI NI DOKTA IN PHDKwenye hil la Corona kila mtu kageuka Daktari, hili ndilo linatuponza Watanzania.
Nani alimpa PhD huyu jamaa? There is something wrong somewhere!Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.
Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Bahati mbaya waliovalia njuga na kutoa matamko ya CORONA ni madaktari wa uchumi, sheria na walimu.Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.
Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
SA ni Port Elizabeth?Kule port Elizabeth huwa inafika mpaka -8 degree celcius