Dkt. Mwigulu, inakuwaje mnatuambia Miradi ya Hayati Dkt. Magufuli inaendeshwa kwa mikopo mikubwa na migumu kuhimilika?

Dkt. Mwigulu, inakuwaje mnatuambia Miradi ya Hayati Dkt. Magufuli inaendeshwa kwa mikopo mikubwa na migumu kuhimilika?

Mwenda zake aliacha akikusanya kodi ya shillingi trillioni 1.9,toka ameondoka machi, april makusanyo yamefikia trillioni 1.3,na kwa sa hv hizi mbio za covid zinazoanzishwa tutafikia bilioni mia 800 hadi 900 mwisho wa mwaka.

Wakati katika kila mwezi tunatakiwa tulipie bilioni 700 kwa ajili ya madeni tu.

Mwendazake aliacha trilioni 9 hazina sasa zipo 6.

Kazi iendelee
Acha kudanganya watu lini, serikali ilikusanya 1.9? Makadiilio yalikuwa yanakwenda 1.6-1.9 lakini makusanyo halisi yalikuwa kwenye 73%tu, na hiyo mikopo itatuumiza sana miaka mingi, kwani huwezi ukajenga miradi mikubwa hivyo kwa kwenda kukopa kwenye ma bank ya kibiashara ambayo utaanza kulipa riba miezi sita tu toka umekopa, wakati miradi hiyo hadi ianze kujiendesha ni miaka mingi wakati kuna mikopo ambayo nchi itaanza kuilipa baada ya miaka 20!??
 
Kodi ya Railway Levy haitoshi au kazi yake nini??
 
Tatizo Magufuli alikua mlaghai. Huu utaratibu ulitakiwa uwepo tangu mwanzo. Wananchi washiriki kujenga inchi yao. Kwa uongo wa magufuli kwamba miradi inajengwa na fedha za ndani ilibidi waumie wachache kwa kuporwa fedha zao na kunambikia watu kesi za uhujumu uchumi, kudhurumu haki za wafanyakazi , uporaji kwwnye beural de change nk
mimi naona mtu huchagua cha kuamini kama Magufuli alidanganya kinachokufanya umuamini Mwigulu kuwa ni mkweli ni hasa kwa kuwa sioni kipya zaidi ya mzigo wa kodi juu ya kodi tu sasa rasilimali tulizonaz humfaidisha nani? sisi ni wafuata upepo tu
 
“Hatujaweka kodi kwenye laini za simu kama ambavyo baadhi ya wananchi wamekuwa wakichanganya, hata kule Bungeni wanachanganya wanasema sasa kila siku itakuwa inakatwa shilingi 10 mpaka 200 kwa hiyo kama ni 200 kwa siku 30 ni shilingi 6000, halafu hata kama hukuweka fedha, siku ukiweka inakatwa kama nipige tafu, hatukuweka hivyo”, alieleza Dkt. Nchemba.

Alibainisha kuwa haimaanishi kwamba shilingi 10 sio mzigo lakini Serikali iliangalia matatizo yaliyopo na kugundua kuwa yanagharimu zaidi, kuliko thamani ya shilingi 10 itakayotozwa kama kodi.

Alifafanua kuwa miradi mikubwa inayotekelezwa nchi ukiwemo wa mradi wa Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere ambao unahitaji zaidi ya shilingi trililioni nne na ujenzi wa Reli ya Kisasa unaohitaji zaidi ya shilingi trilioni 20 ili kukamilika, iwapo fedha zote zitategemea mikopo nchi itapitiliza uwezo wa kukopa na kutokukopesheka hivyo ushiriki wa wananchi ni muhimu.

My Take:
Leo mmeamua kutuvisha zigo la kujenga Reli na Bwawa la Stiegglers kupitia simu zetu wakati mlituambia fedha ipo na mipango ilikuwa tayari mezani. What went wrong?? (In Dk Mpamire`s voice).
Yaani hawa watu ni wa ajabu sana! Wao hawalipi kodi yeyote. Vocha wananunuliwa na umeme wananunuliwa sisi ndiyo tulipie hiyo miradi! Si walisema hela wanazo? Zimeenda wapi? Wapinzani walisema mnasema mabeberu sasa nani mabeberu hapa?
 
Acha mawazo mgando wewe, kwa hiyo unaona 2030 ni mbali sana? SGR na Bwawa la umeme Rufiji ni miradi muhimu sana itakayoboost uchumi wa nchi.
Hata kwenye gesi tuliambiwa uongo unaozidi huu. Muda ulipofika mkaumbuka
 
“Hatujaweka kodi kwenye laini za simu kama ambavyo baadhi ya wananchi wamekuwa wakichanganya, hata kule Bungeni wanachanganya wanasema sasa kila siku itakuwa inakatwa shilingi 10 mpaka 200 kwa hiyo kama ni 200 kwa siku 30 ni shilingi 6000, halafu hata kama hukuweka fedha, siku ukiweka inakatwa kama nipige tafu, hatukuweka hivyo”, alieleza Dkt. Nchemba.

Alibainisha kuwa haimaanishi kwamba shilingi 10 sio mzigo lakini Serikali iliangalia matatizo yaliyopo na kugundua kuwa yanagharimu zaidi, kuliko thamani ya shilingi 10 itakayotozwa kama kodi.

Alifafanua kuwa miradi mikubwa inayotekelezwa nchi ukiwemo wa mradi wa Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere ambao unahitaji zaidi ya shilingi trililioni nne na ujenzi wa Reli ya Kisasa unaohitaji zaidi ya shilingi trilioni 20 ili kukamilika, iwapo fedha zote zitategemea mikopo nchi itapitiliza uwezo wa kukopa na kutokukopesheka hivyo ushiriki wa wananchi ni muhimu.

My Take:
Leo mmeamua kutuvisha zigo la kujenga Reli na Bwawa la Stiegglers kupitia simu zetu wakati mlituambia fedha ipo na mipango ilikuwa tayari mezani. What went wrong?? (In Dk Mpamire`s voice).
Wakubwa huwa hawasemi uongo bali huwa wanateleza [emoji1787] "ukikua utajua kuwa hata wachawi huwa wanafiwa"
 
Yaa kwa vipande vyote,Magu ni kimeo sana bora hizi pesa ambazo tayari zimewekwa kwenye sgr ambayo inaweza kukamilika 2030 zingewekwa kwenye barabara tungeshafika mbali sana
Kwa akili Kama hizi kweli Kama taifa tuna safari ndefu Sana Bora ungekaa kimya ndugu yangu sio kila kitu Ni Cha kukosoa.
 
Ipigwe Harambee ya wazi itakayowashirikisha wenzetu waliounga mkono juhudi, wabunge, wazalendo wa Twitter na makundi kama hayo. Watakapoishia waliobaki watazajazia
Hao wazalendo wa Twitter wakichangia hata mil 100 unitag mkuu.
 
Mwenda zake aliacha akikusanya kodi ya shillingi trillioni 1.9,toka ameondoka machi, april makusanyo yamefikia trillioni 1.3,na kwa sa hv hizi mbio za covid zinazoanzishwa tutafikia bilioni mia 800 hadi 900 mwisho wa mwaka.

Wakati katika kila mwezi tunatakiwa tulipie bilioni 700 kwa ajili ya madeni tu.

Mwendazake aliacha trilioni 9 hazina sasa zipo 6.

Kazi iendelee
Acha siasa wewe hata kama ni ushabiki usijiondolee ufahamu! Hata aibu huoni?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Tulisema humu kwamba dhalimu mwendazake ni janga kubwa la Taifa. Tukaambiwa hatuna uzalendo, tunatumika na BEBERUS, wachochezi blah blah! Sasa ukweli wa maneno yetu UMETHIBITIKA.
“Hatujaweka kodi kwenye laini za simu kama ambavyo baadhi ya wananchi wamekuwa wakichanganya, hata kule Bungeni wanachanganya wanasema sasa kila siku itakuwa inakatwa shilingi 10 mpaka 200 kwa hiyo kama ni 200 kwa siku 30 ni shilingi 6000, halafu hata kama hukuweka fedha, siku ukiweka inakatwa kama nipige tafu, hatukuweka hivyo”, alieleza Dkt. Nchemba.

Alibainisha kuwa haimaanishi kwamba shilingi 10 sio mzigo lakini Serikali iliangalia matatizo yaliyopo na kugundua kuwa yanagharimu zaidi, kuliko thamani ya shilingi 10 itakayotozwa kama kodi.

Alifafanua kuwa miradi mikubwa inayotekelezwa nchi ukiwemo wa mradi wa Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere ambao unahitaji zaidi ya shilingi trililioni nne na ujenzi wa Reli ya Kisasa unaohitaji zaidi ya shilingi trilioni 20 ili kukamilika, iwapo fedha zote zitategemea mikopo nchi itapitiliza uwezo wa kukopa na kutokukopesheka hivyo ushiriki wa wananchi ni muhimu.

My Take:
Leo mmeamua kutuvisha zigo la kujenga Reli na Bwawa la Stiegglers kupitia simu zetu wakati mlituambia fedha ipo na mipango ilikuwa tayari mezani. What went wrong?? (In Dk Mpamire`s voice).
 
hawa wameamua kutafuta kichaka cha kutukamulia, sidhani kama hata angekuepo mwendazake wangekuja na hii ajenda mfu.

Lkn kwa Mwendazake Matajiri wangekiona na kesi za ajabu ajabu zingekuwa nyingi tu hasa za uhujumu uchumi

At least hawa wameamua kuwa wawazi ‘mbesa’ hakuna na miradi iliishaanza kwahiyo tujikamue tu wenyewe kumalizia

Hapa ndo kina Sabaya walikuwa nao wanapigia na pesa zao maana mkuu alikuwa kama ana lazimisha ili mambo yaende kwa ku deal na hasa private sector
 
tulitutiwa hasara huku yeye anatafuta sifa
 
Mwenda zake aliacha akikusanya kodi ya shillingi trillioni 1.9,toka ameondoka machi, april makusanyo yamefikia trillioni 1.3,na kwa sa hv hizi mbio za covid zinazoanzishwa tutafikia bilioni mia 800 hadi 900 mwisho wa mwaka.

Wakati katika kila mwezi tunatakiwa tulipie bilioni 700 kwa ajili ya madeni tu.

Mwendazake aliacha trilioni 9 hazina sasa zipo 6.

Kazi iendelee
Tutamkumbuka Daima Hayati Magufuli
 
Back
Top Bottom