Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Kuna maneno yanatrend mtandaoni kua Mwigulu anasema kwamba hahitaji kupendwa na wengi wapigakura wake wanatosha kumpenda. Hii ni baada ya bajeti yake kuzua taharuki kubwa kuhusu kuongeza tozo kwenye miamala ya line simu.Anadai kua yeye amependekeza bajeti ili mambo yaende hajali watu wanaumia kiasi gani.
Kama kweli haya maneno ni yake, hiki ni kiburi cha hali ya juu sana hahitaji kua waziri wa fedha. Hatuwezi kua na mtu kwenye wizara nyeti kama ya fedha na kujiona kama Mungu mtu. Hizi dharau si nzuri kwa watanzania, hajawahi kuyaishi maisha magumu ndio maana anatoa kauli hizi ambazo kimsingi hazina tofauti na zile za Albert Chalamila.
"Napendekeza kuongeza ushuru wa miamala na vocha, katika hili nawaonea HURUMA sana watanzania kwa kubebeshwa mzigo, naweza kuwa unpopular minister of finance ila ni lazima mambo yaende. Nikipendwa na wapiga kura wangu na mashabiki wa Yanga inatosha" ~ Mwigulu Nchemba"
======
Kama kweli haya maneno ni yake, hiki ni kiburi cha hali ya juu sana hahitaji kua waziri wa fedha. Hatuwezi kua na mtu kwenye wizara nyeti kama ya fedha na kujiona kama Mungu mtu. Hizi dharau si nzuri kwa watanzania, hajawahi kuyaishi maisha magumu ndio maana anatoa kauli hizi ambazo kimsingi hazina tofauti na zile za Albert Chalamila.
"Napendekeza kuongeza ushuru wa miamala na vocha, katika hili nawaonea HURUMA sana watanzania kwa kubebeshwa mzigo, naweza kuwa unpopular minister of finance ila ni lazima mambo yaende. Nikipendwa na wapiga kura wangu na mashabiki wa Yanga inatosha" ~ Mwigulu Nchemba"
======