kifukumkunyi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 234
- 188
Halafu huyu aliwahi kuchukuwa fomu ya uraisi 2015 . Jamaa mshamba sana huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangia lini ' Wanyiramba ' ni that Brainy?Hilo mbona dogo , hivi uliona body language yake ilivyojaa kibri cha kishamba ?
We umekariri vibaya Sana who is Mtei ?? Who is Msuya?? ni miungu kwani hawa? We mkosoe Mwigulu lakini kutaka tuamini kwamba kabila fulani ndiyo wao miungu this is nonsenseThat is why I say a good finance minister should be an urbanite.
Sio mtu alikua anachunga ng'ombe wa kienyeji leo ndio anatoa mwelekeo wa mapato na matumizi ya nchi.
Huyu anaweza kukaa meza moja na Mtei au Msuya wakanywa chai ?
Kwahiyo utabebwa na akina Mtei na akina Msuya sivyo? Au Mchunga ng'ombe mwingine?Kiasili dogo ana dharau na roho mbaya sana halafu ni mshirikina wa kutupwa.. Mganga wake wa safari hii kiboko ila baada ya mwaka tutarudi hapa kukumbushana hii post...next bajeti mkoba utabebwa na mwingine
Ukabila wa kijinga jingaTangia lini ' Wanyiramba ' ni that Brainy?
Besides being a city dweller.Kwani msuya na mtei ni watoto wa mjini?
Wewe Msuya unamuonaje?Kwani msuya na mtei ni watoto wa mjini?
Sijibizani na wagogoWe umekariri vibaya Sana who is Mtei ?? Who is Msuya?? ni miungu kwani hawa? We mkosoe Mwigulu lakini kutaka tuamini kwamba kabila fulani ndiyo wao miungu this is nonsense
2025 mbali sana mkuu, uchaguzi nikupoteza muda bila tume,ccm itaondelea kwanguvu kunadalili sio muda mrefu tuombe uzimaBajeti ya hovyo sana hii kuwahi kuishuhudia. Halafu anatuongezea mzigo wa kodi, kwa visingizio vya kipuuzi tu! Eti vya kuboresha huduma za afya na kujenga barabara za vijijini!
Unajiuliza miaka yote walikuwa wapi? Badala ya kupunguza vitendo vya rushwa na ufisadi, wameona waendelee kuwaumiza watanzania! Naamini vyama vya upinzani vikijipanga vyema, lolote linaweza kutokea 2025!
Serikali ya CCM haina faida kwa watanzania walio wengi! Isipokuwa tu kikundi chao cha watu wachache.
Chuki mbaya Sana na Kwanza Mimi siyo Mgogo lakini tabia ya kumhukumu mtu kwa kabila badala ya matendo yake ni upumbavuSijibizani na wagogo