Dkt. Mwigulu Nchemba, acha kuwadharau Watanzania kwa kauli hizi

Dkt. Mwigulu Nchemba, acha kuwadharau Watanzania kwa kauli hizi

Hakuna Cha maana hapo, wangefanya vzr leo si tungekuwa uchumi wa juu ......hata huu wa kati umepatikana wkt wa Mpango

..mwaka 1985 tulikuwa na hali mbaya sana ya uchumi.

..Tusingekuwa makini ktk kufanya mageuzi kipindi kile leo tungekuwa ktk mazingira magumu kuliko tuliyonayo sasa hivi.

..huwezi kusema waziri aliyesimamia mageuzi hayo ni kiongozi asiyekuwa na maana.

..pia huwezi kudharau mchango wa Mtanzania aliyeongoza mchakato wa kuanzisha Benki Kuu na sarafu ya nchi yetu.
 
That is why I say a good finance minister should be an urbanite.
Sio mtu alikua anachunga ng'ombe wa kienyeji leo ndio anatoa mwelekeo wa mapato na matumizi ya nchi.
Huyu anaweza kukaa meza moja na Mtei au Msuya wakanywa chai ?
Ng'ombe ni uchumi mkubwa kuliko hata hiyo minazi na korosho za babu zako
 
Huyo kalewa madaraka au madaraka yamemzidi kimo kiasi kwamba hajui anachoongea kina madhara gani kwa umma kutokana na ulevi wa madaraka.

Hii haina tofauti na kauli ya Waziri mmoja aliyesema ndege itanunuliwa hata ikibidi watu wale majani, Mwingine aliwaambia watu wenyeshida ya usafiri; you can go to hell, na Mwingine aliwaambia wananchi; kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe, mwingine alipata kuwaambia watu; kama huwezi kulipa basi uvuke kwa kuogelea.

Basi kila awamu inao viongozi walevi wa madaraka, hao hawafai kuongoza watu bali wanyama, na hiyo ni tabia ya mtu aliyechunga ng'ombe utotoni yeye anadhani watu ni ng'ombe au mbuzi aliokuwa akichunga.
Na aliyekuwa akivuna senene utotoni anaona watu ni senene ?
 
Ng'ombe ni uchumi mkubwa kuliko hata hiyo minazi na korosho za babu zako
Babu yangu anaingiaje kwenye mjadala wa bajeti? Kama huna Cha kusema si unyamaze tu ndugu yangu.
Kesho unaweza ukachangia mjadala mwenyine Hadi tukajenga urafiki kuliko kuanzisha uhasama, chuki na kupandishana presha bure.
 
Kiasili dogo ana dharau na roho mbaya sana halafu ni mshirikina wa kutupwa.. Mganga wake wa safari hii kiboko ila baada ya mwaka tutarudi hapa kukumbushana hii post...next bajeti mkoba utabebwa na mwingine
Na watu wa kariba yake hiwa hawafiki mbali, hata kimaendeleo huwa wanasuasua tu
 
Kiukweli katika teuzi za mawaziri kama kuna sehem mama yangu mpendwa Mh. Samia Suluhu Hassan alidanganywa na kupotezwa ni huyu waziri wa Fedha yaani walimwingiza chaka, huyu waziri kwa hulka na historia yake ya majivuno, jeuri, ukatili, roho mbaya, unafiki, uzandiki na kila aina ya uchafu alonayo namshauri Rais ampige chini huyu mtu mapema iwezekanavyo vinginevyo asitegemee jema
 
Hakuna tofauti na chalamila kwa lugha za ukakasi na yeye atenguliwe. Kwanza hapo hazina kuna ulaji umefanyika juzi sijui yeye anawajibika kiasi gani maana kama amekingiwa kifua. Bora makamu wa rais angeendelea pia kama waziri wa fedha na mipango kama wamekosa mtu.
 
Bajeti haina shida acheni upuuzi unadhani mahitaji makubwa ya maji,afya,elimu na miundombinu atagharamia nani?

Au ulitaka aumie nani? Badala ya kujadili watu jadili hoja na uje na mapendekezo ya kutatua hizo kero hapo juu.
 
That is why I say a good finance minister should be an urbanite.
Sio mtu alikua anachunga ng'ombe wa kienyeji leo ndio anatoa mwelekeo wa mapato na matumizi ya nchi.
Huyu anaweza kukaa meza moja na Mtei au Msuya wakanywa chai ?
Msuya au Mtei ndio wameweka std za kuwa Waziri wa fedha au? Acha uboya wewe
 
Peleka ujinga wa kitoto huko,what is so spesho hapo? Anzisha vita uone kama waziri wengine hawatapatikana
 
Bajeti ya hovyo sana hii kuwahi kuishuhudia. Halafu anatuongezea mzigo wa kodi, kwa visingizio vya kipuuzi tu! Eti vya kuboresha huduma za afya na kujenga barabara za vijijini!

Unajiuliza miaka yote walikuwa wapi? Badala ya kupunguza vitendo vya rushwa na ufisadi, wameona waendelee kuwaumiza watanzania! Naamini vyama vya upinzani vikijipanga vyema, lolote linaweza kutokea 2025!

Serikali ya CCM haina faida kwa watanzania walio wengi! Isipokuwa tu kikundi chao cha watu wachache.
Wewe ulitakaje? Acha upumbavu..weka vyanzo vya mapato ya kufanya hayo? Ulitaka huo mzigo akubebee nani?

Kama miaka yote hawakufanya ndio wameanza kufanya sasa ,wamechelewa lakini kufika lazima
 
Kiukweli katika teuzi za mawaziri kama kuna sehem mama yangu mpendwa Mh. Samia Suluhu Hassan alidanganywa na kupotezwa ni huyu waziri wa Fedha yaani walimwingiza chaka, huyu waziri kwa hulka na historia yake ya majivuno, jeuri, ukatili, roho mbaya, unafiki, uzandiki na kila aina ya uchafu alonayo namshauri Rais ampige chini huyu mtu mapema iwezekanavyo vinginevyo asitegemee jema
Unaangalia ku deliver au hizo personalities? Muhongo alikuaje? Mbona wako wengi wa dizaini hii?
 
Kwa kauli nyingi za matusi nilizoziona toka kwako. Ni dhahiri kwamba wewe Dada Ni mchepuko wa Madelu.
Bora hata umemgundua mapema huyo kahaba. Nilitaka kumjibu ila nikaona nitumie tu busara kunyamaza.
 
Anadai kua yeye amependekeza bajeti ili mambo yaende hajali watu wanaumia kiasi gani.
huhkoby.png
 
Back
Top Bottom