Kuna maneno yanatrend mtandaoni kua Mwigulu anasema kwamba hahitaji kupendwa na wengi wapigakura wake wanatosha kumpenda. Hii ni baada ya bajeti yake kuzua taharuki kubwa kuhusu kuongeza tozo kwenye miamala ya line simu.Anadai kua yeye amependekeza bajeti ili mambo yaende hajali watu wanaumia kiasi gani.
Kama kweli haya maneno ni yake, hiki ni kiburi cha hali ya juu sana hahitaji kua waziri wa fedha. Hatuwezi kua na mtu kwenye wizara nyeti kama ya fedha na kujiona kama Mungu mtu. Hizi dharau si nzuri kwa watanzania, hajawahi kuyaishi maisha magumu ndio maana anatoa kauli hizi ambazo kimsingi hazina tofauti na zile za Albert Chalamila.
"Napendekeza kuongeza ushuru wa miamala na vocha, katika hili nawaonea HURUMA sana watanzania kwa kubebeshwa mzigo, naweza kuwa unpopular minister of finance ila ni lazima mambo yaende. Nikipendwa na wapiga kura wangu na mashabiki wa Yanga inatosha" ~ Mwigulu Nchemba"
That is why I say a good finance minister should be an urbanite.
Sio mtu alikua anachunga ng'ombe wa kienyeji leo ndio anatoa mwelekeo wa mapato na matumizi ya nchi.
Huyu anaweza kukaa meza moja na Mtei au Msuya wakanywa chai ?
That is why I say a good finance minister should be an urbanite.
Sio mtu alikua anachunga ng'ombe wa kienyeji leo ndio anatoa mwelekeo wa mapato na matumizi ya nchi.
Huyu anaweza kukaa meza moja na Mtei au Msuya wakanywa chai ?
That is why I say a good finance minister should be an urbanite.
Sio mtu alikua anachunga ng'ombe wa kienyeji leo ndio anatoa mwelekeo wa mapato na matumizi ya nchi.
Huyu anaweza kukaa meza moja na Mtei au Msuya wakanywa chai ?
Hajawahi kuwa na akili wala busara kama yule wa "kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe" naye si alikuwa wizara hiyohiyo!!!? Kwani alitegemea siku moja atanyea debe!!?
Kiasili dogo ana dharau na roho mbaya sana halafu ni mshirikina wa kutupwa.. Mganga wake wa safari hii kiboko ila baada ya mwaka tutarudi hapa kukumbushana hii post...next bajeti mkoba utabebwa na mwingine
Hiyo wizara kama inakosa watu wa maana bora tu ibaki wazi na bajeti yake awe anakuja kusoma hata karibu mkuu tu, Mwigulu Viatu alivyovalishwa vinampwaya sanaa,Hafeet hata kidogo
Hata wizara zingine namuona yupoyupo tu kazi kusifia sifia hovyo ile agonge teuzi zaid
That is why I say a good finance minister should be an urbanite.
Sio mtu alikua anachunga ng'ombe wa kienyeji leo ndio anatoa mwelekeo wa mapato na matumizi ya nchi.
Huyu anaweza kukaa meza moja na Mtei au Msuya wakanywa chai ?
Mkuu Kwani humjui uyu jamaa ,kwanza uyu ni mpenda sifa ,kujipendekeza, na ana roho mbaya Sana ,cheo kwake Ndo kila kitu
Hawa ndo viongozi ccm wanajivunia kuwa nao hamna kitu pale
Ukiwa waziri unahudumia watanzania wote , Sasa kibri Cha madaraka naona kimefika mahala pake , kwamba wenye nchi sio kitu tena kwake , mwache tu jeuri ,kibri haijawai muacha mtu salama
Huyo kalewa madaraka au madaraka yamemzidi kimo kiasi kwamba hajui anachoongea kina madhara gani kwa umma kutokana na ulevi wa madaraka.
Hii haina tofauti na kauli ya Waziri mmoja aliyesema ndege itanunuliwa hata ikibidi watu wale majani, Mwingine aliwaambia watu wenyeshida ya usafiri; you can go to hell, na Mwingine aliwaambia wananchi; kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe, mwingine alipata kuwaambia watu; kama huwezi kulipa basi uvuke kwa kuogelea.
Basi kila awamu inao viongozi walevi wa madaraka, hao hawafai kuongoza watu bali wanyama, na hiyo ni tabia ya mtu aliyechunga ng'ombe utotoni yeye anadhani watu ni ng'ombe au mbuzi aliokuwa akichunga.