Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ephen wangu wewe endelea kutulia tu maana Ndoa yetu mimi na wewe imeshakaribia sana.kwenye send off yako watu watakula Pilau na wali mpaka mtaa mzima ubaki unabubujikwa na machozi ya furaha huku kila mmoja akiwa amebeba wali mwingine kwenye vifungashio ili wakale usiku kucha mpaka kuna kucha majumbani kwao.Utaoa kweli..?🤔
Ephen wangu wewe endelea kutulia tu maana Ndoa yetu mimi na wewe imeshakaribia sana.kwenye send off yako watu watakula Pilau na wali mpaka mtaa mzima ubaki unabubujikwa na machozi ya furaha huku kila mmoja akiwa amebeba wali mwingine kwenye vifungashio ili wakale usiku kucha mpaka kuna kucha majumbani kwao.Utaoa kweli..?🤔
Wewe kila kitu unaona wivu tu na kumuonea wivu kila mtu anayefanya vizuri katika majukumu yake.Jitahidi uende hospitalini uonane na madaktari upate matibabu ya haraka maana una matatizo makubwa sana kichwani mwakoUnategemea Mwigulu Nchemba atasema nini zaidi ya kujipendekeza?
😂😂😂😂😂 Nafurahi umestaarabika bichwaSijaliona CHOZI LA MWIGULU likibubujika katika mashavu yake manene?
Kwa yale mashavu hata abubujikwe vipi lazima chozi lidunde kama KITENESI.
Cc: Maghayo Lamomy Poor Brain
Mwigulu Hana lolote huyo ni chawa mkubwa TU Ili ale tozo zetu! Alaaniwe!!!Wewe kila kitu unaona wivu tu na kumuonea wivu kila mtu anayefanya vizuri katika majukumu yake.Jitahidi uende hospitalini uonane na madaktari upate matibabu ya haraka maana una matatizo makubwa sana kichwani mwako
Wewe ndiye huna lolote lile zaidi ya chuki binafsiMwigulu Hana lolote huyo ni chawa mkubwa TU Ili ale tozo zetu! Alaaniwe!!!
Acha wivu wako weweNafasi ya kuachiana hiyo.
Huwa inaenda kwa mzunguko wala hakuna kugombea lakini atasifiwa utadhani ni nafasi ya maanaNafasi ya kuachiana hiyo.
Kwanza anatosha anazoiba bila kukamatwa lazima asifie hata vitu vya kijingaMwigullu PhD anafukuzia uPM
Si nilishakuonya kuacha uropokaji wako? Kwanini unapenda kuropoka vitu usivyo na ushahidi navyo?Mwigulu lazima asifie ndiyo salama ake kwa wizi anaofanya pale Wizara ya Fedha bila hivyo atakamatwa uhujumu uchumi, hiki nacho ni cheo cha kusifia au ni mzunguko tu.
Acha ujinga wako dogoKwanza anatosha anazoiba bila kukamatwa lazima asifie hata vitu vya kijinga
We mjinga sijakusemesha kaa mbali na mimi vinginevyo utaumiaSi nilishakuonya kuacha uropokaji wako? Kwanini unapenda kuropoka vitu usivyo na ushahidi navyo?
Mabasi ya Ester ni ya kwako?Acha ujinga wako dogo
Utakufa na wivu wakoHuwa inaenda kwa mzunguko wala hakuna kugombea lakini atasifiwa utadhani ni nafasi ya maana
Aligombea na nani? acha ujinga wako wa kusifia vitu vya kijingaUtakufa na wivu wako