Dkt Mwigulu Nchemba Ammiminia sifa na pongezi Rais Samia kwa kuendelea Kuaminiwa na Viongozi Mbalimbali Duniani

Dkt Mwigulu Nchemba Ammiminia sifa na pongezi Rais Samia kwa kuendelea Kuaminiwa na Viongozi Mbalimbali Duniani

Ndugu zangu Watanzania,

Waziri wa Fedha Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Amemmiminia sifa na pongezi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,kwa kuendelea kubeba imani na kuendelea kuaminika na viongozi wenzake Duniani Kwote.

Hii ni baada ya Rais wetu mpendwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) .ambapo Dkt Mwigulu Nchemba ambaye amewahi kuandika historia chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kupata daraja la kwanza katika uchumi yaani First Class.

Kwa ambao wamefika chuo wanafahamu ugumu wa kupata daraja hili .maana wengine wanaishiaga kusapua tu kila muhula na wengine ku disco kabisa au wengine kutandika makarai matupu utafikiri mafundi ujenzi.

Lakini huyu Field Marshal au waweza kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita aliweza kupata daraja la kwanza.Ndio maana aliweza kupata hata nafasi ya kufanya kazi BOT yaani Benki kuu ya Tanzania. Hapo waweza kujuwa hiki ni kichwa cha namna gani .ndio maana hata akisimama Bungeni kutolea ufafanuzi jambo linalogusa wizara yake huongea kwa kujiamini sana na kwa Takwimu.

Ushauri wangu kwa mr clean Dkt Mwigulu Lameck Nchemba ni kuendelea kuchapa kazi usiku na mchana kumsaidia Mheshimiwa Rais na kuhakikisha unatekeleza vyema sana maagizo na maelekezo ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa. Msaidie Mama kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote .

Lakini pia inapotokea kuna taarifa za upotoshaji zinazogusa wizara yako zimetolewa na watu wenye nia ovu ya kuchonganisha serikali na wananchi,basi ni vyema uwe una jitokeza haraka kutoa ufafanuzi.kama ambavyo umekuwa ukifanya ukiwa Bungeni.Fanya kazi na jiandae kumtafutia Mheshimiwa Rais kura za ndio za Urais hapo Mwakani.View attachment 3073567

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama bana! Hapo kabla hajapigwa picha alikuwa anasema

"Nipige kama nasoma hivi, alafu sina habari" 😂
 
Ndugu zangu Watanzania,

Waziri wa Fedha Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Amemmiminia sifa na pongezi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,kwa kuendelea kubeba imani na kuendelea kuaminika na viongozi wenzake Duniani Kwote.

Hii ni baada ya Rais wetu mpendwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) .ambapo Dkt Mwigulu Nchemba ambaye amewahi kuandika historia chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kupata daraja la kwanza katika uchumi yaani First Class.

Kwa ambao wamefika chuo wanafahamu ugumu wa kupata daraja hili .maana wengine wanaishiaga kusapua tu kila muhula na wengine ku disco kabisa au wengine kutandika makarai matupu utafikiri mafundi ujenzi.

Lakini huyu Field Marshal au waweza kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita aliweza kupata daraja la kwanza.Ndio maana aliweza kupata hata nafasi ya kufanya kazi BOT yaani Benki kuu ya Tanzania. Hapo waweza kujuwa hiki ni kichwa cha namna gani .ndio maana hata akisimama Bungeni kutolea ufafanuzi jambo linalogusa wizara yake huongea kwa kujiamini sana na kwa Takwimu.

Ushauri wangu kwa mr clean Dkt Mwigulu Lameck Nchemba ni kuendelea kuchapa kazi usiku na mchana kumsaidia Mheshimiwa Rais na kuhakikisha unatekeleza vyema sana maagizo na maelekezo ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa. Msaidie Mama kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote .

Lakini pia inapotokea kuna taarifa za upotoshaji zinazogusa wizara yako zimetolewa na watu wenye nia ovu ya kuchonganisha serikali na wananchi,basi ni vyema uwe una jitokeza haraka kutoa ufafanuzi.kama ambavyo umekuwa ukifanya ukiwa Bungeni.Fanya kazi na jiandae kumtafutia Mheshimiwa Rais kura za ndio za Urais hapo Mwakani.View attachment 3073567

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chawa tu kama wewe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Waziri wa Fedha Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Amemmiminia sifa na pongezi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,kwa kuendelea kubeba imani na kuendelea kuaminika na viongozi wenzake Duniani Kwote.

Hii ni baada ya Rais wetu mpendwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) .ambapo Dkt Mwigulu Nchemba ambaye amewahi kuandika historia chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kupata daraja la kwanza katika uchumi yaani First Class.

Kwa ambao wamefika chuo wanafahamu ugumu wa kupata daraja hili .maana wengine wanaishiaga kusapua tu kila muhula na wengine ku disco kabisa au wengine kutandika makarai matupu utafikiri mafundi ujenzi.

Lakini huyu Field Marshal au waweza kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita aliweza kupata daraja la kwanza.Ndio maana aliweza kupata hata nafasi ya kufanya kazi BOT yaani Benki kuu ya Tanzania. Hapo waweza kujuwa hiki ni kichwa cha namna gani .ndio maana hata akisimama Bungeni kutolea ufafanuzi jambo linalogusa wizara yake huongea kwa kujiamini sana na kwa Takwimu.

Ushauri wangu kwa mr clean Dkt Mwigulu Lameck Nchemba ni kuendelea kuchapa kazi usiku na mchana kumsaidia Mheshimiwa Rais na kuhakikisha unatekeleza vyema sana maagizo na maelekezo ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa. Msaidie Mama kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote .

Lakini pia inapotokea kuna taarifa za upotoshaji zinazogusa wizara yako zimetolewa na watu wenye nia ovu ya kuchonganisha serikali na wananchi,basi ni vyema uwe una jitokeza haraka kutoa ufafanuzi.kama ambavyo umekuwa ukifanya ukiwa Bungeni.Fanya kazi na jiandae kumtafutia Mheshimiwa Rais kura za ndio za Urais hapo Mwakani.View attachment 3073567

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hilo lilipangwa kwenye ratiba ya mzunguko wa hicho cheo kulingana na katiba yao. Cheo hicho kitashikwa na marais wa nchi zote kila mmoja kwa wakati wake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Waziri wa Fedha Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Amemmiminia sifa na pongezi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,kwa kuendelea kubeba imani na kuendelea kuaminika na viongozi wenzake Duniani Kwote.

Hii ni baada ya Rais wetu mpendwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) .ambapo Dkt Mwigulu Nchemba ambaye amewahi kuandika historia chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kupata daraja la kwanza katika uchumi yaani First Class.

Kwa ambao wamefika chuo wanafahamu ugumu wa kupata daraja hili .maana wengine wanaishiaga kusapua tu kila muhula na wengine ku disco kabisa au wengine kutandika makarai matupu utafikiri mafundi ujenzi.

Lakini huyu Field Marshal au waweza kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita aliweza kupata daraja la kwanza.Ndio maana aliweza kupata hata nafasi ya kufanya kazi BOT yaani Benki kuu ya Tanzania. Hapo waweza kujuwa hiki ni kichwa cha namna gani .ndio maana hata akisimama Bungeni kutolea ufafanuzi jambo linalogusa wizara yake huongea kwa kujiamini sana na kwa Takwimu.

Ushauri wangu kwa mr clean Dkt Mwigulu Lameck Nchemba ni kuendelea kuchapa kazi usiku na mchana kumsaidia Mheshimiwa Rais na kuhakikisha unatekeleza vyema sana maagizo na maelekezo ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa. Msaidie Mama kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote .

Lakini pia inapotokea kuna taarifa za upotoshaji zinazogusa wizara yako zimetolewa na watu wenye nia ovu ya kuchonganisha serikali na wananchi,basi ni vyema uwe una jitokeza haraka kutoa ufafanuzi.kama ambavyo umekuwa ukifanya ukiwa Bungeni.Fanya kazi na jiandae kumtafutia Mheshimiwa Rais kura za ndio za Urais hapo Mwakani.View attachment 3073567

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama pongezi zinatoka kwa waafrika wenzake ni sawa lakini kama hata wazungu wanampongeza hiyo ina walakini mkubwa. Ukiona mzungu anakusifu na kukupongeza kiongozi wa Afrika jitizame tena na ujiulize wanataka nini kwangu? Mahusiano ya waafrika na wazungu yamejaa mbigili njia nzima'; mitego mingi na unyonjaji mwingi. Wazungu kwetu hawana "win-win", siku zote ni "win-lose" kwenye kila aina ya mahusiano.

Wazungu ni watu ambao wana uchungu mkubwa na hela za walipakodi wao, kama ukiona wanakupa wewe hela ya walipakodi wao shituka kisha ukimbie uondoke eneo hilo haraka sana.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Waziri wa Fedha Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Amemmiminia sifa na pongezi Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,kwa kuendelea kubeba imani na kuendelea kuaminika na viongozi wenzake Duniani Kwote.

Hii ni baada ya Rais wetu mpendwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) .ambapo Dkt Mwigulu Nchemba ambaye amewahi kuandika historia chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kupata daraja la kwanza katika uchumi yaani First Class.

Kwa ambao wamefika chuo wanafahamu ugumu wa kupata daraja hili .maana wengine wanaishiaga kusapua tu kila muhula na wengine ku disco kabisa au wengine kutandika makarai matupu utafikiri mafundi ujenzi.

Lakini huyu Field Marshal au waweza kumwita Mr Clean kama ambavyo wengi hupenda kumwita aliweza kupata daraja la kwanza.Ndio maana aliweza kupata hata nafasi ya kufanya kazi BOT yaani Benki kuu ya Tanzania. Hapo waweza kujuwa hiki ni kichwa cha namna gani .ndio maana hata akisimama Bungeni kutolea ufafanuzi jambo linalogusa wizara yake huongea kwa kujiamini sana na kwa Takwimu.

Ushauri wangu kwa mr clean Dkt Mwigulu Lameck Nchemba ni kuendelea kuchapa kazi usiku na mchana kumsaidia Mheshimiwa Rais na kuhakikisha unatekeleza vyema sana maagizo na maelekezo ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa. Msaidie Mama kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote .

Lakini pia inapotokea kuna taarifa za upotoshaji zinazogusa wizara yako zimetolewa na watu wenye nia ovu ya kuchonganisha serikali na wananchi,basi ni vyema uwe una jitokeza haraka kutoa ufafanuzi.kama ambavyo umekuwa ukifanya ukiwa Bungeni.Fanya kazi na jiandae kumtafutia Mheshimiwa Rais kura za ndio za Urais hapo Mwakani.View attachment 3073567

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chawa mnajuana
 
Back
Top Bottom