Dkt. Mwigulu Nchemba awa Waziri wa Fedha wa kwanza kuingia na msafara huu Bungeni

Dkt. Mwigulu Nchemba awa Waziri wa Fedha wa kwanza kuingia na msafara huu Bungeni

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kila nikikumbuka mwaka 2015 alivyochora mawe na madaraja kwamba yeye ndie Rais ajaye naanza kuamini jamaa anapenda siku moja awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Juzi kaenda kusoma bajeti ya mwaka mpya wa fedha bungeni, msafara wake sio mdogo yaani hadi mapikipiki ubavuni mwa gari lakr kama mkuu wa nchi.

Ama kweli tumepata Waziri wa Fedha wa aina yake.

5C99B5D0-6CF2-4E16-AD13-1EF37AEDBA2E.jpeg
3DA260FD-6EAD-4457-96DA-929CEE16A8DB.jpeg
37D3F5C9-F8D0-4057-813B-B31BC0486202.jpeg
 
Kila nikikumbuka mwaka 2015 alivyochora mawe na madaraja kwamba yeye ndie Rais ajaye naanza kuamini jamaa anapenda siku moja awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Juzi kaenda kusoma bajeti ya mwaka mpya wa fedha bungeni, msafara wake sio mdogo yaani hadi mapikipiki ubavuni mwa gari lakr kama mkuu wa nchi.

Ama kweli tumepata Waziri wa Fedha wa aina yake.View attachment 2264594View attachment 2264595View attachment 2264597
Mtaalamu wa sifa za kijinga
 
Ukiondoa sababu za kidini (mlokole)
Mwigulu is a very Smart person kutokea Tanzania...na ana sifa za urais pengine kushinda rais yeyote tokea uhuru...tatizo ni Hilo moja tu la dini yake (mlokole)
NB Ili uwe rais wa Tanzania lazima uwe na sifa muhimu zifuatazo
a.mkristo(RC)
b.muslim(bakwata)
 
Back
Top Bottom