Dkt. Mwigulu Nchemba awa Waziri wa Fedha wa kwanza kuingia na msafara huu Bungeni

Kwa uelewa wangu wanao stahili kusindikizwa na "motorcade" ya namna hii Rais, Makamu wa Rais pamoja na Waziri Mkuu kwa upande huu wa Tanzania Bara. Sijui kama mawaziri nao katika mazingira fulani hustahili kupewa hiyo heshima.
 
๐Ÿ˜‚So huu Ni uchambuzi wa kitaalamu
 



Mwenyezi Mungu alituonesha rangi zake zote alipokuwa Waziri wa mambo ya ndani ya nchi awamu ile !

Kwa hiyo tunamshukuru sana Mungu Kwa hilo.

Hayo mengine ni ya kwako!
 
Jamaa ana tamani sana ukubwa.
Halafu huyu ndie ana sema ana wapimia wenzake mafuta.
Useless person.
Kila kukicha ana waza kucjora mawe.
Rais wa mawe ya Singida
 
halafu kwenye hotuba anaongelea kupunguza gharama kwa kubana matumizi ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜
 
Huu ni ushahidi tosha hii nchi ina Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Spika zaidi mmoja!
 
Kumbe ni mlokole
 
Huwezi kumsafusha mwigulu..mikoni yake imejaa damu
 
Juzi kaenda kusoma bajeti ya mwaka mpya wa fedha bungeni, msafara wake sio mdogo yaani hadi mapikipiki ubavuni mwa gari lakr kama mkuu wa nchi.[emoji23]
 
Uyo jamaa mchawi mchaawiii!!!

Usiwachafue WALIOOKOKA.
Kuokoka na tunguli wap na wap. Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ