Dkt. Mwigulu rudi tena useme vizuri kanusho la serikali "kufulia"

Dkt. Mwigulu rudi tena useme vizuri kanusho la serikali "kufulia"

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Heshima kwenu wakuu wenzangu

Kama mtambuka juzi kati member wa JF na Waziri wa Fedha alikuja humu kukana kwamba serikali haijapungukiwa uwezo wa kifedha. Hoja yake ilijikita kuonyesha serikali ina uwezo mkubwa na kujiendesha na kutekeleza miradi yake.

Naomba wakuu wa JF wamuarifu kuna jamaa amekataa maelezo aliyotoa, labda arejee tena kutoa maelezo ya ziada kupitia haya nitakayoeleza.
Binafsi kwa utafiti mdogo nilioufanya, nimebaini mambo kadhaa yanayopingana na kanusho la Mwigulu.

1. Serikali kushindwa kufanya malipo kwa wakati
Watumishi wa serikali, wazabuni na wakandarasi mtaungana na mimi, ya kwamba kumekuwa na ucheleweshaji usio wa kawaida wa serikali kufanya malipo. Wenyewe wasema malipo hayajashuka. Unaweza kusubiri malipo kwa zaidi ya miezi mitatu. Wakuu wa taasisi wamekuwa wakinawa kwamba tatizo ni BOT na Mfumo wa Malipo wa Pamoja wa TSA. Upo ushahidi wa wakuu wa taasisi kupitisha malipo kwenye mfumo wa malipo MUSE, lakini yanabaki hewani kwa muda mrefu.
Zipo nyakati ambapo katika mwezi malipo yamekuwa yakiachiwa kidogo tu hasa kuanzia tarehe 15 kuelekea mshahara. Yaani mnanyunyiziwa kidogo tu.
Inasikitisha sana unaidai serikali, umewasilisha kila kitu, imepita hata miaka miwili, halafu unaambiwa hela zipo nyingi tu. Maelezo ya Waziri ni chonganishi kati ya wadai na wakuu wa taasisi. Kwamba wanafanya makusudi kutolipa.

2. Adhabu ya kuchelewesha malipo kwa wakandarasi na mifuko ya pensheni matrilioni ya fedha

Mh.Dkt Mwigulu uje hapa utuambie serikali imekuwa na mambo mengi kiasi cha kusahau kulipa wakandarasi na wazabuni wake, ila mapesa yapo mengi tu.
Kama fedha zipo na hamtaki kulipa kiasi cha kuongeza gharama za malipo, basi wewe na wenzako mnaingiza nchi kwenye hasara kubwa sana. Kama ni hivyo, basi unatakiwa kuachia ngazi mara tu baada ya kumaliza kusoma bandiko hili. Ili tukuonee huruma basi ukiri humu kwamba hamna fedha za kutosha. Tutatunza hii siri hapa JF watu wasisikie.
Hoja yangu hii itashadadiwa na taarifa za CAG kwa mwaka uliopita. CAG ameonyesha madeni makubwa na adhabu za matriloni ya fedha kutokana na serikali kushindwa kulipa kwa wakati. Hali hii ni tete kwa ngazi zote, serikali kuu na LGAs
Screenshot_20240720_061543_Microsoft 365 (Office).jpg

Screenshot_20240720_061832_Microsoft 365 (Office).jpg

Screenshot_20240720_062149_Microsoft 365 (Office).jpg


3. Serikali kutelekeza miradi mikubwa ya maendeleo

Mfano rahisi ni kwamba, unapanga kujenga nyumba, unaishia kusafisha kiwanja tu na kumwaga vifusi ya mchanga, kisha unapotea. Au unafika mpaka kwenye lenta, mafundi wanakomaa na kudai chao,unakimbia na hupokei simu. Maana yake nini, kama sio umefulia?

Ndio hali ilivyo kwa serikali ya Mwigulu. Miradi mingi ya serikali imeshindwa kabisa kutekelezwa licha ya kuwekwa kwenye mpango, na mingine imetekelezwa sehemu ndogo kutokana na ukosefu wa fedha. CAG ameyasema hayo katika taarifa zake. CAG anaendelea kusema, kuchelewa kwa miradi hiyo kunafanya gharama za miradi kuwa kubwa kutokana na ongezeko la gharama ya vifaa na ufundi.
Screenshot_20240720_062307_Microsoft 365 (Office).jpg

Screenshot_20240720_062327_Microsoft 365 (Office).jpg

Screenshot_20240720_062405_Microsoft 365 (Office).jpg

Screenshot_20240720_062437_Microsoft 365 (Office).jpg

.....nitaendelea, ngoja kwanza niote jua. Moderator mwiteni Waziri Dr. Mwigulu Nchemba
 
Serikali hii ya chura kiziwi itaachaje kufulia wakati imejaa ufisadi na matumizi ya anasa?!.
Kwa hapa Dom serikali imeuhuisha mradi wa ring road ya ndani wamepita wameweka alama kuonesha maeneo barabara itakapopita...huu ni mwezi wa pili sasa hata uthamini haujafanyika na baadhi ya wananchi wanaendelea na maboresho ya nyumba zao ambazo zitapitiwa na mradi.
Ina maana gharama ya fidia itazidi kwenda juu, sasa kama serikali haijafulia nn kimewazuia kukamilisha mradi ikiwemo kulipa wananchi fidia kwa wakati?!.
 
Serikali hii ya chura kiziwi itaachaje kufulia wakati imejaa ufisadi na matumizi ya anasa?!.
Kwa hapa Dom serikali imeuhuisha mradi wa ring road ya ndani wamepita wameweka alama kuonesha maeneo barabara itakapopita...huu ni mwezi wa pili sasa hata uthamini haujafanyika na baadhi ya wananchi wanaendelea na maboresho ya nyumba zao ambazo zitapitiwa na mradi.
Ina maana gharama ya fidia itazidi kwenda juu, sasa kama serikali haijafulia nn kimewazuia kukamilisha mradi ikiwemo kulipa wananchi fidia kwa wakati?!.
Unaona sasa. Basi tuseme hela zipo, ila wanakula wao tu
 
Acha tumliipe jamaa wa Stiglers ili aondoke, keshamaliza kazi, tukilipa anawasha mitambo na kukabidhi mradi. Huo mradi ni mkubwa, huwezi linganishha ni vimiradi vya bilioni kumi au ishirini.

Stiglers yote imekamilika, mitambo iko tayari yote, ni kulipa tu! Nyi wengine mnaodai msubiri.
 
Tatizo mods either kwa utashi wao wa kutaka kujipendekeza ama kwa maagizo toka kwa Mzee wa Tozo waliishia kufuta na kuhariri baadhi ya comments kwenye uzi wa Mzee wa TRAB and TRAT.

Offer yangu kwa Bw. Lameck ipo pale pale, najitolea awamu hii kuwa muandishi mkuu wa majabali na madaraja yote nchini kwa kuandika MPIGIE KURA MWIGULU 2025. Nitaenda mbali zaidi na kuandika mashuleni, guest houses, hospitals mpaka makaburuni.
 

Heshima kwenu wakuu wenzangu

Kama mtambuka juzi kati member wa JF na Waziri wa Fedha alikuja humu kukana kwamba serikali haijapungukiwa uwezo wa kifedha. Hoja yake ilijikita kuonyesha serikali ina uwezo mkubwa na kujiendesha na kutekeleza miradi yake.

Naomba wakuu wa JF wamuarifu kuna jamaa amekataa maelezo aliyotoa, labda arejee tena kutoa maelezo ya ziada kupitia haya nitakayoeleza.
Binafsi kwa utafiti mdogo nilioufanya, nimebaini mambo kadhaa yanayopingana na kanusho la Mwigulu.

1. Serikali kushindwa kufanya malipo kwa wakati
Watumishi wa serikali, wazabuni na wakandarasi mtaungana na mimi, ya kwamba kumekuwa na ucheleweshaji usio wa kawaida wa serikali kufanya malipo. Wenyewe wasema malipo hayajashuka. Unaweza kusubiri malipo kwa zaidi ya miezi mitatu. Wakuu wa taasisi wamekuwa wakinawa kwamba tatizo ni BOT na Mfumo wa Malipo wa Pamoja wa TSA. Upo ushahidi wa wakuu wa taasisi kupitisha malipo kwenye mfumo wa malipo MUSE, lakini yanabaki hewani kwa muda mrefu.
Zipo nyakati ambapo katika mwezi malipo yamekuwa yakiachiwa kidogo tu hasa kuanzia tarehe 15 kuelekea mshahara. Yaani mnanyunyiziwa kidogo tu.
Inasikitisha sana unaidai serikali, umewasilisha kila kitu, imepita hata miaka miwili, halafu unaambiwa hela zipo nyingi tu. Maelezo ya Waziri na chonganishi kati ya wadai na wakuu wa taasisi. Kwamba wanafanya makusudi kutolipa.

2. Adhabu ya kuchelewesha malipo kwa wakandarasi na mifuko ya pensheni matrilioni ya fedha

Mh.Dkt Mwigulu uje hapa utuambie serikali imekuwa na mambo mengi kiasi cha kusahau kulipa wakandarasi na wazabuni wake, ila mapesa yapo mengi tu.
Kama fedha zipo na hamtaki kulipa kiasi cha kuongeza gharama za malipo, basi wewe na wenzako mnaingiza nchi kwenye hasara kubwa sana. Kama ni hivyo, basi unatakiwa kuachia ngazi mara tu baada ya kumaliza kusoma bandiko hili. Ili tukuonee huruma basi ukiri humu kwamba hamna fedha za kutosha. Tutatunza hii siri hapa JF watu wasisikie.
Hoja yangu hii itashadadiwa na taarifa za CAG kwa mwaka uliopita. CAG ameonyesha madeni makubwa na adhabu za matriloni ya fedha kutokana na serikali kushindwa kulipa kwa wakati. Hali hii ni tete kwa ngazi zote, serikali kuu na LGAs
View attachment 3046794
View attachment 3046795
View attachment 3046796

3. Serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo

Mfano rahisi ni kwamba, unapanga kujenga nyumba, unaishia kusafisha kiwanja tu na kumwaga vifusi ya mchanga, kisha unapotea. Au unafika mpaka kwenye lenta, mafundi wanakomaa na kudai chao,unakimbia na hupokei simu. Maana yake nini, kama sio umefulia?

Ndio hali ilivyo kwa serikali ya Mwigulu. Miradi mingi ya serikali imeshindwa kabisa kutekelezwa licha ya kuwekwa kwenye mpango, na mingine imetekelezwa sehemu ndogo kutokana na ukosefu wa fedha. CAG ameyasema hayo katika taarifa zake. CAG anaendelea kusema, kuchelewa kwa miradi hiyo kunafanya gharama za miradi kuwa kubwa kutokana na ongezeko la gharama ya vifaa na ufundi.
View attachment 3046800
View attachment 3046801
View attachment 3046805
View attachment 3046806
.....nitaendelea, ngoja kwanza niote jua. Moderator mwiteni Waziri
Yule mtoto wake mdogo anatembelea Gari la M300 je huyu atakubali kwamba sisi wengine tuna ukame? Yeye kwake zimejaa
 
Hii sasa ndio Jamii forums ya enzi za Kina Zitto na Dr Slaa, Prof Mkumbo.

Heshima kwenu wakuu wenzangu

Kama mtambuka juzi kati member wa JF na Waziri wa Fedha alikuja humu kukana kwamba serikali haijapungukiwa uwezo wa kifedha. Hoja yake ilijikita kuonyesha serikali ina uwezo mkubwa na kujiendesha na kutekeleza miradi yake.

Naomba wakuu wa JF wamuarifu kuna jamaa amekataa maelezo aliyotoa, labda arejee tena kutoa maelezo ya ziada kupitia haya nitakayoeleza.
Binafsi kwa utafiti mdogo nilioufanya, nimebaini mambo kadhaa yanayopingana na kanusho la Mwigulu.

1. Serikali kushindwa kufanya malipo kwa wakati
Watumishi wa serikali, wazabuni na wakandarasi mtaungana na mimi, ya kwamba kumekuwa na ucheleweshaji usio wa kawaida wa serikali kufanya malipo. Wenyewe wasema malipo hayajashuka. Unaweza kusubiri malipo kwa zaidi ya miezi mitatu. Wakuu wa taasisi wamekuwa wakinawa kwamba tatizo ni BOT na Mfumo wa Malipo wa Pamoja wa TSA. Upo ushahidi wa wakuu wa taasisi kupitisha malipo kwenye mfumo wa malipo MUSE, lakini yanabaki hewani kwa muda mrefu.
Zipo nyakati ambapo katika mwezi malipo yamekuwa yakiachiwa kidogo tu hasa kuanzia tarehe 15 kuelekea mshahara. Yaani mnanyunyiziwa kidogo tu.
Inasikitisha sana unaidai serikali, umewasilisha kila kitu, imepita hata miaka miwili, halafu unaambiwa hela zipo nyingi tu. Maelezo ya Waziri na chonganishi kati ya wadai na wakuu wa taasisi. Kwamba wanafanya makusudi kutolipa.

2. Adhabu ya kuchelewesha malipo kwa wakandarasi na mifuko ya pensheni matrilioni ya fedha

Mh.Dkt Mwigulu uje hapa utuambie serikali imekuwa na mambo mengi kiasi cha kusahau kulipa wakandarasi na wazabuni wake, ila mapesa yapo mengi tu.
Kama fedha zipo na hamtaki kulipa kiasi cha kuongeza gharama za malipo, basi wewe na wenzako mnaingiza nchi kwenye hasara kubwa sana. Kama ni hivyo, basi unatakiwa kuachia ngazi mara tu baada ya kumaliza kusoma bandiko hili. Ili tukuonee huruma basi ukiri humu kwamba hamna fedha za kutosha. Tutatunza hii siri hapa JF watu wasisikie.
Hoja yangu hii itashadadiwa na taarifa za CAG kwa mwaka uliopita. CAG ameonyesha madeni makubwa na adhabu za matriloni ya fedha kutokana na serikali kushindwa kulipa kwa wakati. Hali hii ni tete kwa ngazi zote, serikali kuu na LGAs
View attachment 3046794
View attachment 3046795
View attachment 3046796

3. Serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo

Mfano rahisi ni kwamba, unapanga kujenga nyumba, unaishia kusafisha kiwanja tu na kumwaga vifusi ya mchanga, kisha unapotea. Au unafika mpaka kwenye lenta, mafundi wanakomaa na kudai chao,unakimbia na hupokei simu. Maana yake nini, kama sio umefulia?

Ndio hali ilivyo kwa serikali ya Mwigulu. Miradi mingi ya serikali imeshindwa kabisa kutekelezwa licha ya kuwekwa kwenye mpango, na mingine imetekelezwa sehemu ndogo kutokana na ukosefu wa fedha. CAG ameyasema hayo katika taarifa zake. CAG anaendelea kusema, kuchelewa kwa miradi hiyo kunafanya gharama za miradi kuwa kubwa kutokana na ongezeko la gharama ya vifaa na ufundi.
View attachment 3046800
View attachment 3046801
View attachment 3046805
View attachment 3046806
.....nitaendelea, ngoja kwanza niote jua. Moderator mwiteni Waziri
 

Heshima kwenu wakuu wenzangu

Kama mtambuka juzi kati member wa JF na Waziri wa Fedha alikuja humu kukana kwamba serikali haijapungukiwa uwezo wa kifedha. Hoja yake ilijikita kuonyesha serikali ina uwezo mkubwa na kujiendesha na kutekeleza miradi yake.

Naomba wakuu wa JF wamuarifu kuna jamaa amekataa maelezo aliyotoa, labda arejee tena kutoa maelezo ya ziada kupitia haya nitakayoeleza.
Binafsi kwa utafiti mdogo nilioufanya, nimebaini mambo kadhaa yanayopingana na kanusho la Mwigulu.

1. Serikali kushindwa kufanya malipo kwa wakati
Watumishi wa serikali, wazabuni na wakandarasi mtaungana na mimi, ya kwamba kumekuwa na ucheleweshaji usio wa kawaida wa serikali kufanya malipo. Wenyewe wasema malipo hayajashuka. Unaweza kusubiri malipo kwa zaidi ya miezi mitatu. Wakuu wa taasisi wamekuwa wakinawa kwamba tatizo ni BOT na Mfumo wa Malipo wa Pamoja wa TSA. Upo ushahidi wa wakuu wa taasisi kupitisha malipo kwenye mfumo wa malipo MUSE, lakini yanabaki hewani kwa muda mrefu.
Zipo nyakati ambapo katika mwezi malipo yamekuwa yakiachiwa kidogo tu hasa kuanzia tarehe 15 kuelekea mshahara. Yaani mnanyunyiziwa kidogo tu.
Inasikitisha sana unaidai serikali, umewasilisha kila kitu, imepita hata miaka miwili, halafu unaambiwa hela zipo nyingi tu. Maelezo ya Waziri na chonganishi kati ya wadai na wakuu wa taasisi. Kwamba wanafanya makusudi kutolipa.

2. Adhabu ya kuchelewesha malipo kwa wakandarasi na mifuko ya pensheni matrilioni ya fedha

Mh.Dkt Mwigulu uje hapa utuambie serikali imekuwa na mambo mengi kiasi cha kusahau kulipa wakandarasi na wazabuni wake, ila mapesa yapo mengi tu.
Kama fedha zipo na hamtaki kulipa kiasi cha kuongeza gharama za malipo, basi wewe na wenzako mnaingiza nchi kwenye hasara kubwa sana. Kama ni hivyo, basi unatakiwa kuachia ngazi mara tu baada ya kumaliza kusoma bandiko hili. Ili tukuonee huruma basi ukiri humu kwamba hamna fedha za kutosha. Tutatunza hii siri hapa JF watu wasisikie.
Hoja yangu hii itashadadiwa na taarifa za CAG kwa mwaka uliopita. CAG ameonyesha madeni makubwa na adhabu za matriloni ya fedha kutokana na serikali kushindwa kulipa kwa wakati. Hali hii ni tete kwa ngazi zote, serikali kuu na LGAs
View attachment 3046794
View attachment 3046795
View attachment 3046796

3. Serikali kutelekeza miradi mikubwa ya maendeleo

Mfano rahisi ni kwamba, unapanga kujenga nyumba, unaishia kusafisha kiwanja tu na kumwaga vifusi ya mchanga, kisha unapotea. Au unafika mpaka kwenye lenta, mafundi wanakomaa na kudai chao,unakimbia na hupokei simu. Maana yake nini, kama sio umefulia?

Ndio hali ilivyo kwa serikali ya Mwigulu. Miradi mingi ya serikali imeshindwa kabisa kutekelezwa licha ya kuwekwa kwenye mpango, na mingine imetekelezwa sehemu ndogo kutokana na ukosefu wa fedha. CAG ameyasema hayo katika taarifa zake. CAG anaendelea kusema, kuchelewa kwa miradi hiyo kunafanya gharama za miradi kuwa kubwa kutokana na ongezeko la gharama ya vifaa na ufundi.
View attachment 3046800
View attachment 3046801
View attachment 3046805
View attachment 3046806
.....nitaendelea, ngoja kwanza niote jua. Moderator mwiteni Waziri
CPA Naniliu umetisha sana 🐼😄
 
Back
Top Bottom