Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Cpa makalaCPA Naniliu umetisha sana πΌπ
RIP Shujaa MagufuliAcha tumliipe jamaa wa Stiglers ili aondoke, keshamaliza kazi, tukilipa anawasha mitambo na kukabidhi mradi. Huo mradi ni mkubwa, huwezi linganishha ni vimiradi vya bilioni kumi au ishirini.
Stiglers yote imekamilika, mitambo iko tayari yote, ni kulipa tu! Nyi wengine mnaodai msubiri.
Hamchelewi kutuambia kama unaona nchi imefulia hamia Somalia.CPA Naniliu umetisha sana πΌπ
JP aliacha bado wanafyeka na kusafisha saiti ya ujenzi, mama kaanza na jiwe la msingiRIP Shujaa Magufuli
Unachoshindwa kuelewa ni kwamba Ufafanuzi wa Dr Mwigullu PhD ni wa kisiasa siyo wa kifinanceHamchelewi kutuambia kama unaona nchi imefulia hamia Somalia.
AnakujaHii ndio JF tunayoitaka, Hatimaye Mwigulu kaweka mpira kwapani
Acha tumliipe jamaa wa Stiglers ili aondoke, keshamaliza kazi, tukilipa anawasha mitambo na kukabidhi mradi. Huo mradi ni mkubwa, huwezi linganishha ni vimiradi vya bilioni kumi au ishirini.
Stihlers imekamilikaStiglers yote imekamilika, mitambo iko tayari yote, ni kulipa tu! Nyi wengine mnaodai msubiri.
Lucas and Choicevariable πΌHawezi kuja na akija atakuja kwa ID yake bandia kupima upepo.
Hapa utawaona wale machawa wake wawili kutoka Mbozi tu.