DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Fatilia live channel ten, Tbc , clouds tv
Nipo hapa Mh. Daudi Albert Bashite.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fatilia live channel ten, Tbc , clouds tv
Ila ni mweupe kichwani sijapata kuona!Alikuwa Daktari pale na akina Subilaga Kasesela, Chintowa nk!
Zenji si VILAZA kama huku BARA. Hawawezi kukubali kuongozwa KI MAGUFULI MAGUFULI!Tusubiri lakini ataangalia sana huku bara tena kasema ataiga staili ya mkuu.
Ni mwema na anaogopa dhulma
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Utaonea wapi na wewe unaongozwa na Konyagi aka Bapa!Ila ni mweupe kichwani sijapata kuona!
Mkuu Kuna watu wana roho mbaya sana, eti mweupe kichwani! Hivi kati ya huyu mleta mada na huyo Mwinyi nani mweupe kichwani sasa? Mtu anapewa nafasi ya kuongoza wazara ya Ulinzi kwa miaka 11 kwa ufanisi mkubwa kabisa na watanzania tunajua tena kwa Marais wawili tofauti alafu mtu anakurupuka tu huko anakuja kumshambulia kwa chuki binafsi zake.Dr Mwinyi amehudumi pale Kariuki hospital kwa muda mrefu tu acheni uzushi jamani!
Kauli hiyo si lazima iwe ya mtu ambaye hawezi kuchangia mada.Kuna wadau wanasema hata kwenye CABINET alikuwa hawezi kuchangia mada
"'kama walivyosema wajumbe waliotangulia'"
Sasa unajisemea wewe au unamsemea yeye?Kuna kauli moja hapa JF mimi huwa inanishangaza sana, hii ya kusema una uwezo mdogo wa kupambanua mambo! Hivi mtu kawa mbunge kwa zaidi ya miaka 15, kawa waziri wa secta nyeti kabisa ya Ulinzi kwa miaka 11 kwa Marais wawili tofauti alafu eti unakuja hapa kusema ana uwezo mdogo wa kupambanua mambo? Tena inawezekana mtu mwenyewe unaye ongea hivo hapa enzi za shule huko hukuwahi kuwa hata kiongozi wa darasa achilia mbali ujumbe wa nyumba kumi au hata kwenye familia tu hupewi kuongoza kikao cha familia.
Kua mbunge miaka zaidi ya 10 , sijui waziri sijui nn.. hakumfanyi mtu awe na uwezo wa kupambanua mambo.Kuna kauli moja hapa JF mimi huwa inanishangaza sana, hii ya kusema una uwezo mdogo wa kupambanua mambo! Hivi mtu kawa mbunge kwa zaidi ya miaka 15, kawa waziri wa secta nyeti kabisa ya Ulinzi kwa miaka 11 kwa Marais wawili tofauti alafu eti unakuja hapa kusema ana uwezo mdogo wa kupambanua mambo? Tena inawezekana mtu mwenyewe unaye ongea hivo hapa enzi za shule huko hukuwahi kuwa hata kiongozi wa darasa achilia mbali ujumbe wa nyumba kumi au hata kwenye familia tu hupewi kuongoza kikao cha familia.
Hujui madhara ya majibu yake! Kwani unafikiri waliozua kuwa wapiga kura wa Zanzibari walikuwa 35 unafikiri walikuwa hawajui?Mbona kajibu vizuri sana tena kitakwimu hasa hilo hakupigiwa kura na wazanzibar kajibu kitakwimu kwamba alipata zaidi ya nusu ya kura zote toka zanzibar na kuwaziba vidomo domo wazushi.
Ila sasa cha ajabu eti wanataka asinhejibu kitakwimu ili waendeleze propaganda zao!
Seif ajiandae kwa kipigo.
Chadema ni fungu la kukosa.