Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Ni kilaza mmoja kasoma MD Uturuki sidhani hata kama alimaliza ikute alinunua cheti. Hajawahi kusoma chuo bongo. Hajawahi kupractice u daktari.umemaliza ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kilaza mmoja kasoma MD Uturuki sidhani hata kama alimaliza ikute alinunua cheti. Hajawahi kusoma chuo bongo. Hajawahi kupractice u daktari.umemaliza ?
Chuki binafsi hizo sasa kama kwa Babu taleNi kilaza mmoja kasoma MD Uturuki sidhani hata kama alimaliza ikute alinunua cheti. Hajawahi kusoma chuo bongo. Hajawahi kupractice u daktari.
Tehe tehe. Alitakiwa Vuai nini?Ni rais mtarajiwa wa wapi?????
Mboga mboga mna matatizo Sana ninyi!
Mchezo mliozoea kuucheza Zanzibar (Jecha Game) mwisho 2015!
This time tunawanyunyizia dawa ya kuua wadudu! Mbogamboga nyie!
Kama Waziri mwenye dhamana alishindwa hata kuitisha press conference juu ya tukio lile.Katika nchi zinazowajibisha wanasiasa, Hussein Mwinyi alitakiwa kujiuzulu siku nyingi tu, baada ya mabomu kulipuka kwenye ghala za silaha za jeshi.
Ni nchi kama Tanzania tu unaweza kuwa na tukio kama like halafu Waziri wa Ulinzi aka survive.
Ndo mdudu gani? Ushindi hauporwi mwaka huu, Zanzibar wanataka Uhuru waoTehe tehe. Alitakiwa Vuai nini?
Mwinyi ni Mtu Makin
Vuai Nahodha!Ndo mdudu gani? Ushindi hauporwi mwaka huu, Zanzibar wanataka Uhuru wao
Dr Mwinyi amehudumi pale Kariuki hospital kwa muda mrefu tu acheni uzushi jamani!Ni kilaza mmoja kasoma MD Uturuki sidhani hata kama alimaliza ikute alinunua cheti. Hajawahi kusoma chuo bongo. Hajawahi kupractice u daktari.
Nishakwambia kamwe siwezi kufanywa kilaza hahahahaaaaa nishashindwa aisee!Kachukue form bwana tena kwa ticket ya CCM. Wewe hautaki u RC ?Acha ku overthink.Kachukue form walau Pombe apate CV yako. Maisha raha sana ukiacha kuoverthink.
Alihudumu kama nani bwasheeDr Mwinyi amehudumi pale Kariuki hospital kwa muda mrefu tu acheni uzushi jamani!
Dr. Hussein MwinyiNi kilaza mmoja kasoma MD Uturuki sidhani hata kama alimaliza ikute alinunua cheti. Hajawahi kusoma chuo bongo. Hajawahi kupractice u daktari.
| Medical practice | Muhimbili Hospital (1993-95) HKMU (1998-2000) |
|---|
Dr. Hussein MwinyiAlihudumu kama nani bwashee
| Medical practice | Muhimbili Hospital (1993-95) HKMU (1998-2000) |
|---|
Alikuwa Daktari pale na akina Subilaga Kasesela, Chintowa nk!Alihudumu kama nani bwashee