uzio usio onekana
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 836
- 2,658
Wanzanzibar mlisha lala sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ukawa unasema kweli!Wanzanzibar mlisha lala sana.
Hahaha .... unanikumbusha ya Jecha. Yani Jecha kwa akili yake alifikiri CCM watamfanyia hisani kwa jinsi alivyokisaidia chama kwenye uchaguzi wa 2015. Atashangaa hata Uwaziri hawampi ... Labda Uwenyekiti wa Bodi ya Kampuni Flani!!Cheo pekee kinachomfaa Hussein Mwinyi huko Zanzibar ni cheo kama cha Jecha!
CCM inalea Usultani!
Sijataka lazima ajibu kama mimi ila ninaelewesha tu madhara ya namna anavyojibu! Awe makini! Atajichimbia kaburi!Akijibu kama unavyotaka hatakua yeye sasa, atakua ni wewe, na kwanini umpangilie mtu ajibu jinsi unavyotarajia wewe,
Sasa mbona raha sana bibie?Kwikwikwi ndo alishakua. Zingine chai tu.Tuwatengenezee majina wanetu. Hakuna shaka kuwa surname yake imeplay asilimia 99.99 katika ku excell kwake.
Kachukue form bwana tena kwa ticket ya CCM. Wewe hautaki u RC ?Acha ku overthink.Kachukue form walau Pombe apate CV yako. Maisha raha sana ukiacha kuoverthink.Sasa mbona raha sana bibie?